Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na Hezbollah unakaribia kukamilika

Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na Hezbollah unakaribia kukamilika

Miji imekua vifusi,alafu mnasema Israel Kashindwa vita.

Waulize sawa israel kashindwa vita.. je sababu ya Hezbolah kuanzisha vita ilikuwa nini.. maana kama
Ni kusaidia Hamas mbona wamekubali kusimamisha vita ikiwa hamas anaendelea kuchapika
 
Waulize sawa israel kashindwa vita.. je sababu ya Hezbolah kuanzisha vita ilikuwa nini.. maana kama
Ni kusaidia Hamas mbona wamekubali kusimamisha vita ikiwa hamas anaendelea kuchapika
Sababu za israel kuivamia lebanon kuwadisarm hezbollah, kurudisha wananchi wa north Israel by means of war, na kuwaondoa hezbollah maeneo yote ya south lebanon ila mpaka wanaomba poo hawajaachirve hata goal moja, 😂😂
 
Unachekesha wewe hapo litani walipita njia za uchochoroni wakaenda kupiga picha wakatoka nduki,
Malengo ya idf yalikuwa ni kuwadisarm hezbollah, kuwarudisha wananchi wa north, na kuwarudiaha hezbollah beyond litani river hawajaaccomplish goal hata moja, na mpaka now hezbollah wanashambulia deep in israel from the north karibu kabisa na mpaka
Wazayuni kwa propaganda hawajambo
 
FAFO CEASEFIRE tayari. Netanyahu kakubali mpango wa kusitisha Vita Lebanon.

Raia wa Israel wanarudi North na hakuna Gaidi la kuwagusa tena.

FAFO imeeleweka na Hezbola kapiga magoti kavua na Kanzu.
Acha uongo hakuna zayuni atarudi kaskazini
 
Baby FaizaFoxy haya Masharti waliyokubali Hezbollah angekuwepo Nasrallah asingekubali… siku zote nilikuwa na Mashaka na Huyu kiongozi wao Mpya haiwezekani asiwepo kwenye kila mikutano iliyokuwa inaua viongozi wakuu wa Hezbollah yeye anakuwa haendi, bila Shaka yeye ni asset ya Israel.

Kwenye haya Masharti, Israel itabaki Lebanon kwa siku 60
Jeshi la Lebanon kwa kusaidiana na Marekani na Ufaransa litatakiwa kupita Nyumba kwa nyumba na kila kichaka kuharibu miundombinu ya Hezbollah chini ya Uangalizi wa hizo nchi pamoja na Israel.

Ikitokea Hezbollah wameleta fyoko fyoko Israel inaruhusiwa kufanya operation ya Kijeshi, hii ni Kama ku Surrender.

Mwisho ni Kama Marekani na Ufaransa wanataka kupika Kamgogoro ndani ya Lebanon, Walebanon walikubaliana jeshi lisiwe na nguvu Ila haya makubaliano yako kwa ajili ya kuimarisha jeshi la nchi. now Washia wanachukuliwa nguvu zao za kujilinda… nawatakia amani wanachi wa kawaida wasio magaidi
 
Marekani kaona toto lake linafumuliwa Lina hali mbaya haraka anaanzisha mazungumzo kwa namna nyingine kaweka mtego hisbullah akikataa aonekane mkaidi mbona Gaza yeye ndio yupo mbele kukataa mazungumzo kwa kuwa anaona toto lake hapati upinzani sawia kama ilivyo huko kwa hisbullah
 
Waulize sawa israel kashindwa vita.. je sababu ya Hezbolah kuanzisha vita ilikuwa nini.. maana kama
Ni kusaidia Hamas mbona wamekubali kusimamisha vita ikiwa hamas anaendelea kuchapika
Nawe twambie sababu ya israhell kuingia Lebanon imefanikiwa maana alisema hatasimamisha vita mpaka wakazi wa kaskazini waregee
 
Baby FaizaFoxy haya Masharti waliyokubali Hezbollah angekuwepo Nasrallah asingekubali… siku zote nilikuwa na Mashaka na Huyu kiongozi wao Mpya haiwezekani asiwepo kwenye kila mikutano iliyokuwa inaua viongozi wakuu wa Hezbollah yeye anakuwa haendi, bila Shaka yeye ni asset ya Israel.

Kwenye haya Masharti, Israel itabaki Lebanon kwa siku 60
Jeshi la Lebanon kwa kusaidiana na Marekani na Ufaransa litatakiwa kupita Nyumba kwa nyumba na kila kichaka kuharibu miundombinu ya Hezbollah chini ya Uangalizi wa hizo nchi pamoja na Israel.

Ikitokea Hezbollah wameleta fyoko fyoko Israel inaruhusiwa kufanya operation ya Kijeshi, hii ni Kama ku Surrender.

Mwisho ni Kama Marekani na Ufaransa wanataka kupika Kamgogoro ndani ya Lebanon, Walebanon walikubaliana jeshi lisiwe na nguvu Ila haya makubaliano yako kwa ajili ya kuimarisha jeshi la nchi. now Washia wanachukuliwa nguvu zao za kujilinda… nawatakia amani wanachi wa kawaida wasio magaidi
Acha uongo
 
Miji imekua vifusi,alafu mnasema Israel Kashindwa vita.
Kama miji kuwa vifusi ndo goals za vita basi israel kashinda
Baby FaizaFoxy haya Masharti waliyokubali Hezbollah angekuwepo Nasrallah asingekubali… siku zote nilikuwa na Mashaka na Huyu kiongozi wao Mpya haiwezekani asiwepo kwenye kila mikutano iliyokuwa inaua viongozi wakuu wa Hezbollah yeye anakuwa haendi, bila Shaka yeye ni asset ya Israel.

Kwenye haya Masharti, Israel itabaki Lebanon kwa siku 60
Jeshi la Lebanon kwa kusaidiana na Marekani na Ufaransa litatakiwa kupita Nyumba kwa nyumba na kila kichaka kuharibu miundombinu ya Hezbollah chini ya Uangalizi wa hizo nchi pamoja na Israel.

Ikitokea Hezbollah wameleta fyoko fyoko Israel inaruhusiwa kufanya operation ya Kijeshi, hii ni Kama ku Surrender.

Mwisho ni Kama Marekani na Ufaransa wanataka kupika Kamgogoro ndani ya Lebanon, Walebanon walikubaliana jeshi lisiwe na nguvu Ila haya makubaliano yako kwa ajili ya kuimarisha jeshi la nchi. now Washia wanachukuliwa nguvu zao za kujilinda… nawatakia amani wanachi wa kawaida wasio magaidi
Wewe mwehu unaona vita ni nzuri si ndio, Hezbullah wamefanya kwa uwezo wao wameonyesha wapo pamoja na ghaza while nchi nyngne zote za kiislam zipo kimya kwa hiyo ni sawa tu vita kuisha
 
Kwa mara nyengine Israel imepigwa na Hizbollah. Israel inaweza kuua watoto na wanawake na kuvunja shule na hospital
Wakikutana na wanaume wenye silaha kama Hizbollah hamna kitu
 
Mbona hii ceasefire agreement imefikiwa chap chap na kusapotiwa na US fasta?

Ceasefire gafla baada ya Askari 124 wa Israel kuuwawa, 1000 kujweuhiwa, vifaru 60 kuharibiwa na miji ya Israel kupewa vichapo mfululizo sio?

Hii sio ceasefire ni defeat. Hizbollah imeshinda vita..aibu kubwa kwa taifa teule
 
Viongozi wengine wa nchi za kiarabu ni wanafiki sana. Mapenzi ya dunia na mali vimewajaa wanaangalia wenzao hapo Palestine wanauliwa, wao kimya.

Hizbollah tu imemtia adabu Israel ndani ya miezi 2 ka surrender. Wangeungana hapo nchi kama 3 hiyo Israel ingefutwa kwenye ramani.

Unafiki ni mbaya sana. Hawa Viongozi wa hizi nchi za waarabu wanatakiwa waondolewe wapatikane watu kama Nasrallah
 
ISRAEL angekuwa anafanya vizuri huko Lebanon asingesaini ceasefire haraka haraka hivyo..
Mbona Gaza wamekataa ceasefire? Sababu Gaza hawana silaha kama Hizbollah. Kwa Hizbollah casualties kubwa sana

CEASEFIRE =DEFEAT = SURRENDER

HIZBOLLAH NI moto
 
Salamu zimfikie Nasrallah huko aliko, ameacha vijana wachapa kazi. Israel imeelewa maana halisi ya vita na kuomba amani yenyewe. Israel has lost again to Hizbollah
 
Back
Top Bottom