JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza nicheke[emoji1787]Gsm anapesa ya kuokota. Fidia sio ishu kubwa kwake. Atalipa.
Feki nyuuuzi
Pua komenti.Feki nyuuuzi
Ni habari ya ukweli mimi nilibidi nijiridhe kwanza ila ukiingia ukurasa rasmi wa Twitter wametoa hiyo taarifa.Feki nyuuuzi
Na uhuni ndo umeleta pesa pale YangaYanga inaendeshwa kihuni.
Nimeona hayo maelezo nikabaki kujiuliza maswali. Yanga ikivaa visit Tanzania je sport pesa watafaidika na kipi hapo?Watu Tunataka Pesa, Tuvae Visit Tanzania Kwani Sisi Ni Makolo?[emoji28]
Ukinunu kiwanja na mtu mungine aje kukitumia bila ridhaa yako utakubali?Nimeona hayo maelezo nikabaki kujiuliza maswali. Yanga ikivaa visit Tanzania je sport pesa watafaidika na kipi hapo?
Heshimuni mikataba utopolo...mmekaa washari Shari Sana nyie.we una mkataba una saini mkataba ndani ya mkataba kisa mnaona mnamuweza tarimba..ile ni international company tarimba ni mwakilishi tuNimeona hayo maelezo nikabaki kujiuliza maswali. Yanga ikivaa visit Tanzania je sport pesa watafaidika na kipi hapo?
Mkataba kweni unasemaje?Heshimuni mikataba utopolo...mmekaa washari Shari Sana nyie.we una mkataba una saini mkataba ndani ya mkataba kisa mnaona mnamuweza tarimba..ile ni international company tarimba ni mwakilishi tu
Wewe ndio hujui. Sportpesa ndio mmiliki halali wa eneo la kifuani la jezi ya yanga. Yeye sportspesa ndio anaamua lile eneo litumike vp, hata akiamua libaki wazi ni maamuzi yake yeye. Sasa yanga kulitumia eneo lililonunuliwa na sportpesa bila ridhaa yake ni kosa na inaweza kupelekea mgogoro wa kisheria kama huo. Hapo yanga wamefeli na wale wakenya wa sportspesa lazima watadai fidia.Kwani mkataba wao unasemaje sababu wote hatujui hapa tupo njia panda inamana mkataba ulikuwa unatakataza timu isiingie mkataba mwingine au
Sasa utavaaje visit Tanzania wakati utaishia kuburuza mkia?Watu Tunataka Pesa, Tuvae Visit Tanzania Kwani Sisi Ni Makolo?[emoji28]
Nimeona hayo maelezo nikabaki kujiuliza maswali. Yanga ikivaa visit Tanzania je sport pesa watafaidika na kipi hapo?
Mdhamini mkuu wa young African ni sportpesa kwa miaka 5 na ndie mwenye haki yakukaa front kifuani kwenye jezi kwa miaka yote hiyo..Kama Kuna lolote yeye ndie atamua Nini kifanyike,,Mkataba kweni unasemaje?
Sasa utavaaje visit Tanzania wakati utaishia kuburuza mkia?