Mkataba wa Yanga na Sport Pesa waingia mdudu baada ya Yanga kutambulisha mdhamini mpya

Mkataba wa Yanga na Sport Pesa waingia mdudu baada ya Yanga kutambulisha mdhamini mpya

Ukinunu kiwanja na mtu mungine aje kukitumia bila ridhaa yako utakubali?
Sportpesa kwenye michuano ya kimataifa kwanzia hatua ya makundi hakuna anachokiambulia kwa Yanga. Ila pia kama Yanga walivyoingia mkataba na sportpesa hawakuweza ku focus mbeleni endapo watacheza makundi michuano ya kimataifa, laiti kama wangeliwaza hilo basi wangesainiana mkataba ambao upo clear kuwaruhusu kufanya walichofanya. Ila kwasasa inaonekana kama tamaa na kutoheshimu mikataba. Yanga bado kuna tatuzo kubwa sana la mambo ya kimkataba, mikataba mingi sio ya kulinda maslahi ya mbeleni.
 
Naona Tarimba analalamika tu, anawaogopa utopolo, na lazima wampande kichwani, anachanganya ushabiki na kazi mshamba sana, ndio maana Simba Sc tulimuweka pembeni.

Wakienda kinyume na mkataba peleka mahakamani, ile timu inaongozwa na watoto wasiojua sheria, ni mbumbumbu haswa.
 
Hizi ndio akili zenu utopolo..hii timu kushabikia lazma Kuna fuse ziwe zimekatika kwanza..unadhan Simba walipenda kuvaa visit Tanzania mwaka jana

Simba Na Mashabiki Wake Mnajionaga Mko Smart Wakati Ni MBUMBUMBU Na Mafala Wakubwa… Yani Sisi Tusiingize Pesa Kisa Kuvaa Visit Tanzania…Kama Mlivaa Na Mtaendelea Kuvaa Ni Nyie Na Haituhusu, Nyie Mabwege Nn!!
 
1. Kuna kutumika kwa watu fulani kulazimisha neno fulani likae kwenye jezi za Yanga.

2. Ubinafsi wa sportpesa ( kama walipelekewa ombi la kuwepo kwa mdhamini mpya kwa michuano ya CAF, kwann walikataa hali ya kuwa biashara zao hazifanani, hivyo isinge muathiri)

3. Kujihami kwa sportpesa na kuleta taarifa kwa umma haraka mno, (anaogopa nini na anamuogopa nani)

4. Ulazima wa Yanga kuweka mdhamini mpya lengo ni kuitangaza timu zaidi, je hili sportpesa halitaki.? ( Hataki Yanga ijitangaze zaidi, ili ije kuwa faida kwake pia baadae.?

5. Soka ni biashara, biashara ni matangazo, "visit Tanzania" sio Tangazo la kibiashara kwa Yanga

6. Ikifika mahali mnaleta taarifa kwa umma, basi leteni na mikataba ili tuweze kuwatetea vizuri, (tujue ni nani yupo sahihi na nani ana kosa)
 
1. Kuna kutumika kwa watu fulani kulazimisha neno fulani likae kwenye jezi za Yanga.

2. Ubinafsi wa sportpesa ( kama walipelekewa ombi la kuwepo kwa mdhamini mpya kwa michuano ya CAF, kwann walikataa hali ya kuwa biashara zao hazifanani, hivyo isinge muathiri)

3. Kujihami kwa sportpesa na kuleta taarifa kwa umma haraka mno, (anaogopa nini na anamuogopa nani)

4. Ulazima wa Yanga kuweka mdhamini mpya lengo ni kuitangaza timu zaidi, je hili sportpesa halitaki.? ( Hataki Yanga ijitangaze zaidi, ili ije kuwa faida kwake pia baadae.?

5. Soka ni biashara, biashara ni matangazo, "visit Tanzania" sio Tangazo la kibiashara kwa Yanga

6. Ikifika mahali mnaleta taarifa kwa umma, basi leteni na mikataba ili tuweze kuwatetea vizuri, (tujue ni nani yupo sahihi na nani ana kosa)
Feisal alikuwa sahihi sana hii club inaendeshwa kihuni.
 
Hili swala lilitaka kufanyika Simba ila walikuwa bright sana wakaweza kuchanga vizuri karata zake
Kuna weza kukawa na mapungufu ya mkataba pia iliyopelekea Yanga kufanya walichofanya.

inajulikana kabisa kuwa kwanzia hatua ya makundi hakuna kampuni yeyote ya kamari inayotakiwa ionekane kwenye jezi za timu isipokuwa 1xbet pekee ndio ni mmoja wa wadhamini wa CAF. Hivyo ilijulikana kabisa kuwa Sports pesa haitowekwa kwenye jezi za Yanga, je mkataba wao waliosainishana uliwekwa wazi juu ukomo wa udhamini ni kwenye mashindano yapi na yapi na kwa hatua zipi.
 
Simba Na Mashabiki Wake Mnajionaga Mko Smart Wakati Ni MBUMBUMBU Na Mafala Wakubwa… Yani Sisi Tusiingize Pesa Kisa Kuvaa Visit Tanzania…Kama Mlivaa Na Mtaendelea Kuvaa Ni Nyie Na Haituhusu, Nyie Mabwege Nn!!
Umepanic tayari.......soma tena bandiko la Sportpesa ujue nini kimeandikwa, Simba ana husika vipi hapo. Viongozi wenu walitakiwa wawe makini na mkataba.
 
Simba Na Mashabiki Wake Mnajionaga Mko Smart Wakati Ni MBUMBUMBU Na Mafala Wakubwa… Yani Sisi Tusiingize Pesa Kisa Kuvaa Visit Tanzania…Kama Mlivaa Na Mtaendelea Kuvaa Ni Nyie Na Haituhusu, Nyie Mabwege Nn!!
Mkuu sio Simba, ni SportPesa ya Abas Tarimba mtopolo mwenzenu
 
Kuna weza kukawa na mapungufu ya mkataba pia iliyopelekea Yanga kufanya walichofanya.

inajulikana kabisa kuwa kwanzia hatua ya makundi hakuna kampuni yeyote ya kamari inayotakiwa ionekane kwenye jezi za timu isipokuwa 1xbet pekee ndio ni mmoja wa wadhamini wa CAF. Hivyo ilijulikana kabisa kuwa Sports pesa haitowekwa kwenye jezi za Yanga, je mkataba wao waliosainishana uliwekwa wazi juu ukomo wa udhamini ni kwenye mashindano yapi na yapi na kwa hatua zipi.
Hilo unalolisema limeelezewa vizuri na SportPesa kwenye hilo bandiko lao

Means wanatambua sheria za ufadhili wa CAF na ndio maana wao wameweka wazi kuwa Yanga walipeleka ombi kwa SportPesa
kwa ajili ya kupewa ruhusa ya kupata mfadhili mwingine

Ombi ambalo lilikataliwa

Yanga ni kama waliamua kumzunguka kwa nyuma SportPesa na kumleta mfadhili mpya

Katika hili naona Yanga wana hatia
 
Back
Top Bottom