Mkataba wa Yanga na Sport Pesa waingia mdudu baada ya Yanga kutambulisha mdhamini mpya

Mkataba wa Yanga na Sport Pesa waingia mdudu baada ya Yanga kutambulisha mdhamini mpya

Mdhamini mkuu wa young African ni sportpesa kwa miaka 5 na ndie mwenye haki yakukaa front kifuani kwenye jezi kwa miaka yote hiyo..Kama Kuna lolote yeye ndie atamua Nini kifanyike,,
Sasa sportpesa anakuambia uweke visit Tanzania kifuani wewe unasaini mkataba mwingine .
Makataba wao uko General sana. Unasema sportpesa ndie mzamini wa jezi sawa, ila haukusema anamiliki katika mashindano gani. Kuna Caf, Nbc na Azam. Kwa sababu wote (Sportpesa na Yanga ) hawakuainisha hilo, na tayari CAF ilishamkataa Sportpesa kwa kuwa wanae mzanimi mwenye biashara sawa na sport pesa, ndio maana Yanga katafuta mdhamini tofauti kwa Jezi za Caf tu.

Kiamsingi ni kwamba wote hapo wanamakosa. Maana ilitakiwa wapate udhamini mara tatu kama wangekuwa makini Yanga. (kwa hayo mashindano matatu). Yanga wangeweza Kusema NBC tutatumia jezi hizi, Azam tutakuwa na tofauti na CaF zitakuwa tofaut hapo sport pesa wangeamua kununua haki kwa hizo jezi zote au ligi tu. Ila kwakuwa Wali generalize wakubaliane tu
 
Makataba wao uko General sana. Unasema sportpesa ndie mzamini wa jezi sawa, ila haukusema anamiliki katika mashindano gani. Kuna Caf, Nbc na Azam. Kwa sababu wote (Sportpesa na Yanga ) hawakuainisha hilo, na tayari CAF ilishamkataa Sportpesa kwa kuwa wanae mzanimi mwenye biashara sawa na sport pesa, ndio maana Yanga katafuta mdhamini tofauti kwa Jezi za Caf tu.

Kiamsingi ni kwamba wote hapo wanamakosa. Maana ilitakiwa wapate udhamini mara tatu kama wngekiwa makini Yanga. (kwa hayo mashindano matatu). Yanga wangeweza Kusema NBC tutatumia jezi hizi, Azam tutakuwa na tofauti na CaF zitakuwa tofaut hapo sport pesa wangeamua kununua haki kwa hizo jezi zote au ligi tu. Ila kwakuwa Wali generalize wakubaloane tu
Mbona mnajitoa akili Sana ..unajua maana ya mdhamini mkuu wa klabu kwa kipindi Cha miaka 5..ulimskiliza bwana hersi Juz wakati wanazindua jeI alichoongea.
 
Eti GSM atalipa hahaaha kama ameshindwa kumlipa tuu dogo Fei mshahara anaoutaka ndo itakua mkataba wa mabilioni...??
Sijawahi kukukosoa rafiki yangu ila leo tu
Swala la fei sio kushindwa kumlipa. Tatizo ni utaratibu aliotumia Fei kuondoka. Makataba unasema anaruhusiwa kuvunja/ kununua mkataba wake kwa kushauriana na klab NA KUTOA SABABU zinazopelekea kuondoka kwake. Sababu za fei ni mshahara mdogo hiyo kisheria haikupi haki ya kuvunja mkataba.

Angepewa haki mapema kabisa kama angekuwa anadai mshahara halipwi, au hachezeshwi n. k. Kisheria mkataba hauamuliwi kimasirahi tu.

Nitakula mfano Kuna hilo jengo la sido hapo karibu na cbe. Sido walitoa notice wa wapangaji wote wahame ili livunjwe lakini ilifunguliwa kesi na sido walishindwa maana sababu zao zilikuwa ni kutaka kuliboresha jengo huku tayari wana mikataba hai na wapangaji.

Hope utanielewa raftiki. Kuna sheria na ushabiki.
 
Hilo unalolisema limeelezewa vizuri na SportPesa kwenye hilo bandiko lao

Means wanatambua sheria za ufadhili wa CAF na ndio maana wao wameweka wazi kuwa Yanga walipeleka ombi kwa SportPesa
kwa ajili ya kupewa ruhusa ya kupata mfadhili mwingine

Ombi ambalo lilikataliwa

Yanga ni kama waliamua kumzunguka kwa nyuma SportPesa na kumleta mfadhili mpya

Katika hili naona Yanga wana hatia
Usikute huyo ni kiongozi Yanga, mpaka inatoka taarifa kwa umma hajui nini kinalalamikiwa
 
Sportpesa kwenye michuano ya kimataifa kwanzia hatua ya makundi hakuna anachokiambulia kwa Yanga. Ila pia kama Yanga walivyoingia mkataba na sportpesa hawakuweza ku focus mbeleni endapo watacheza makundi michuano ya kimataifa, laiti kama wangeliwaza hilo basi wangesainiana mkataba ambao upo clear kuwaruhusu kufanya walichofanya. Ila kwasasa inaonekana kama tamaa na kutoheshimu mikataba. Yanga bado kuna tatuzo kubwa sana la mambo ya kimkataba, mikataba mingi sio ya kulinda maslahi ya mbeleni.
Tatizo la mikataba ni la kiichi sio Yanga tu. Fatilia mikataba serikalin na taasisi zote utaniambia.
 
Mbona mnajitoa akili Sana ..unajua maana ya mdhamini mkuu wa klabu kwa kipindi Cha miaka 5..ulimskiliza bwana hersi Juz wakati wanazindua jeI alichoongea.
Usije kwangu na mihemko. Nimeeleza hoja yangu kisheria ilivyo na ilivyopaswa kuwa. Swala la kujitoa akili utakuwa nalo wewe. Simama na hoja acha matusi
 
1. Kuna kutumika kwa watu fulani kulazimisha neno fulani likae kwenye jezi za Yanga.

2. Ubinafsi wa sportpesa ( kama walipelekewa ombi la kuwepo kwa mdhamini mpya kwa michuano ya CAF, kwann walikataa hali ya kuwa biashara zao hazifanani, hivyo isinge muathiri)

3. Kujihami kwa sportpesa na kuleta taarifa kwa umma haraka mno, (anaogopa nini na anamuogopa nani)

4. Ulazima wa Yanga kuweka mdhamini mpya lengo ni kuitangaza timu zaidi, je hili sportpesa halitaki.? ( Hataki Yanga ijitangaze zaidi, ili ije kuwa faida kwake pia baadae.?

5. Soka ni biashara, biashara ni matangazo, "visit Tanzania" sio Tangazo la kibiashara kwa Yanga

6. Ikifika mahali mnaleta taarifa kwa umma, basi leteni na mikataba ili tuweze kuwatetea vizuri, (tujue ni nani yupo sahihi na nani ana kosa)
Fei toto alipovunja mkataba mkalia weee,leo ninyi mmekiuka mkataba. Unataka mkataba uwekwe hadharani, mkataba wa Yanga na Fei uliuomba ili uchague upande ?
 
Hivi CEO wa Yanga
Makataba wao uko General sana. Unasema sportpesa ndie mzamini wa jezi sawa, ila haukusema anamiliki katika mashindano gani.
SportPesa ndiye anatakiwa aridhie nani akae kwenye jezi ya Yanga ikitokea mwenye ligi akawa na mdhamini wanayegongana maslahi na SportPesa. Sasa Yanga hawakumshirikisha SportPesa wakaenda kuprint kimya kimya, hapo ndipo alipoamua kutoka na tamko
 
Ubinafsi wa sportpesa ( kama walipelekewa ombi la kuwepo kwa mdhamini mpya kwa michuano ya CAF, kwann walikataa hali ya kuwa biashara zao hazifanani, hivyo isinge muathiri)
Je mkataba walioingia Yanga na Sportpesa ulikuwa unahusu hadi michuano ya kimataifa?
Kama ulikuwa unawapa haki Sportpesa hadi kwenye mashindano ya kimataifa basi Yanga wamefanya kosa kukiuka mkataba.
 
Je mkataba walioingia Yanga na Sportpesa ulikuwa unahusu hadi michuano ya kimataifa?
Kama ulikuwa unawapa haki Sportpesa hadi kwenye mashindano ya kimataifa basi Yanga wamefanya kosa kukiuka mkataba.
Kimsingi mkataba wao uko too general. Nbc Azam na Caf ni mashindano tofauti. Mkataba wao haukuweka mipaka. Wangekuwa makini kila jez ya mashindano ( Azam, nbc na caf) ingepata mdhamini wake. Hata kama angekuwa huyo huyo ila dau lingekuwa tofauti na sasa maana ni platform tofauti.
 
Kimsingi mkataba wao uko too general. Nbc Azam na Caf ni mashindano tofauti. Mkataba wao haukuweka mipaka. Wangekuwa makini kila jez ya mashindano ( Azam, nbc na caf) ingepata mdhamini wake. Hata kama angekuwa huyo huyo ila dau lingekuwa tofauti na sasa maana ni platform tofauti.
Uko sahihi kabisa.
Ishu ni kupata maximum possible mpunga kutokana na udhamini.

Wenzetu hata jezi za mazoezi zina wadhamini tofauti.
 
Hivi CEO wa Yanga

SportPesa ndiye anatakiwa aridhie nani akae kwenye jezi ya Yanga ikitokea mwenye ligi akawa na mdhamini wanayegongana maslahi na SportPesa. Sasa Yanga hawakumshirikisha SportPesa wakaenda kuprint kimya kimya, hapo ndipo alipoamua kutoka na tamko
Kimsingi spots pesa ana haki na jezi zinazotumika NBC tu. Ndio maana nimesema mkataba uko general sana, hautaji Azam wala Caf ila umetaja jezi za yanga za msimu ndio maana akapata misimu 5 means ni kwa NBC
 
Kimsingi spots pesa ana haki na jezi zinazotumika NBC tu. Ndio maana nimesema mkataba uko general sana, hautaji Azam wala Caf ila umetaja jezi za yanga za msimu ndio maana akapata misimu 5 means ni kwa NBC
So unataka kusema hadi SportPesa wanatoa hili tamko ni kwamba hawambui mipaka yao? Sentensi ya mwisho imesema:
'SportPesa reserves its rights to seek compensation and recourse from the relevant authorities for the damages caused'
 
Back
Top Bottom