Sportpesa roho mbaya,hawataki mtu apige pesa kupitia nafasi waliyolipiaNimeona hayo maelezo nikabaki kujiuliza maswali. Yanga ikivaa visit Tanzania je sport pesa watafaidika na kipi hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sportpesa roho mbaya,hawataki mtu apige pesa kupitia nafasi waliyolipiaNimeona hayo maelezo nikabaki kujiuliza maswali. Yanga ikivaa visit Tanzania je sport pesa watafaidika na kipi hapo?
Ngada fc malalamiko fc mbumbumbu fc hili nalo tutaumbukanyoka fc mbona makasiriko? Sisi tulitangaza utalii kwa mmechi 8. Sasa nyoka fc nyie mtafika hapo au mtaishia mechi 6 za vipigo vikali?
Mashindano ya CAF haitakiwi timu shiriki kuvaa nembo ya kampuni ya kamari, sababu 1xbet wametoa hela CAF,so kifuani ya ga wangetakiwa kubaki patupu kwa mujibu wa sportpesaHeshimuni mikataba utopolo...mmekaa washari Shari Sana nyie.we una mkataba una saini mkataba ndani ya mkataba kisa mnaona mnamuweza tarimba..ile ni international company tarimba ni mwakilishi tu
kwa maelezo hayo ya SportPesa, sio lazima iwepo Visit Tanzania, panaweza pakawa wazi, lakini sharti pasiwepo mdhamini mwingine kama wao hawapo5. Soka ni biashara, biashara ni matangazo, "visit Tanzania" sio Tangazo la kibiashara kwa Yanga
Yanga haijawahi kujielewa kwenye swala la mikataba. Feitoto tu anawatoa jasho, wacha morison aliyewagalagaza. Bigirimana mnambembeleza kuvunja mkata. Kambole akafichwa avic kama msukule. Hayo ni yanayojulikana, yapo mengi tu yanavulundwa huko.Na wewe unahisi Yanga wamekurupuka?
Fei toto mbona hachezi!!!?..ingekua rahisi hivyo caicedo angekuwa arsenal Sasa hiviYanfa haijawahi kujielewa kwenye swala la mikataba. Feitoto tu anawatoa jasho, wacha morison aliyewagalagaza. Bigirimana mnambembeleza kuvunja mkata. Kambole akafichwa avic kama msukule. Hayo ni yanayojulikana, yapo mengi tu yanavulundwa huko.
Sportpesa yupo sahihi. Alinunua nafasi ya kifuani kwenye jezi official ya yanga sports club kwa timu zote na mashindano yote hata match za kirafiki.Sportpesa kwenye michuano ya kimataifa kwanzia hatua ya makundi hakuna anachokiambulia kwa Yanga. Ila pia kama Yanga walivyoingia mkataba na sportpesa hawakuweza ku focus mbeleni endapo watacheza makundi michuano ya kimataifa, laiti kama wangeliwaza hilo basi wangesainiana mkataba ambao upo clear kuwaruhusu kufanya walichofanya. Ila kwasasa inaonekana kama tamaa na kutoheshimu mikataba. Yanga bado kuna tatuzo kubwa sana la mambo ya kimkataba, mikataba mingi sio ya kulinda maslahi ya mbeleni.
Hata haier ana maslahi nayo. Gsm ndio msambazaji mkuu wa bidhaa za haiet kwa hapa tz na nchi nyingine za afrika mashariki.Kama ndio hivo, basi angeweka vigodoro vyake hapo
Ndio inavotakiwa au yeye aamue Nini Cha kukaa kifuani,ila ni mpaka yeye aridhie..ni sawa sawa t na kilichotokea kwa Simba last two season..kwani Simba alikua hataki pesa ,jibu ni no..mdhamini wa wakati ule ambae ni sportpesa alitaka Kama sio visit bas apake plainMashindano ya CAF haitakiwi timu shiriki kuvaa nembo ya kampuni ya kamari, sababu 1xbet wametoa hela CAF,so kifuani ya ga wangetakiwa kubaki patupu kwa mujibu wa sportpesa
Rejea mkataba uko general/ wazi hakuna sehem umeyataja mashindano yapi anakaa kifuani. "Wote wana haki na wote hawana haki"So unataka kusema hadi SportPesa wanatoa hili tamko ni kwamba hawambui mipaka yao? Sentensi ya mwisho imesema:
'SportPesa reserves its rights to seek compensation and recourse from the relevant authorities for the damages caused'
Tarimba hana nafasi kwenye hilo, ingekuwa ni tarimba angepiga iyo dili na yanga na yeye angepata cha juu. Hii ishu wameikomalia wenye sportpesa yao hiko kenya na lazima yanga atalipa fidia kubwa endapo atavaa hiyo jezi.Tarimba analalamika tu, anawaogopa utopolo, na lazima wampande kichwani, anachanganya ushabiki na kazi mshamba sana, ndio maana Simba Sc tulimuweka pembeni.
Wakienda kinyume na mkataba peleka mahakamani, ile timu inaongozwa na watoto wasiojua sheria, ni mbumbumbu haswa.
Yaani unavojigamba kujiita "sisi" utafikiri hata iyo kumi unaipata [emoji28][emoji28][emoji28] wewe endelea kununua jezi kumfaidisha gsm bhaasSimba Na Mashabiki Wake Mnajionaga Mko Smart Wakati Ni MBUMBUMBU Na Mafala Wakubwa… Yani Sisi Tusiingize Pesa Kisa Kuvaa Visit Tanzania…Kama Mlivaa Na Mtaendelea Kuvaa Ni Nyie Na Haituhusu, Nyie Mabwege Nn!!
Hakuna sehemu mkataba wao umetaja mashindano yote. Means wao (Yanga na Sportpesa) wanaweza kutafsiri yaonavyo wao. IIa caf na ligi ni platform tofauti mkuu.Sportpesa yupo sahihi. Alinunua nafasi ya kifuani kwenye jezi official ya yanga sports club kwa timu zote na mashindano yote hata match za kirafiki.
Tofauti na simba, mbet amenunua nafasi ya kifuani kwa senior timu tu ya wanaume ila kwa mashindano yote. Simba queens na under18 simba inaweza tafuta sponsor mungine.
Maneno ya Manara kuhusu wenye akili kule Uto...bado yanaishi.Yanga inaendeshwa kihuni.
Kumbe jamaa analeta jeuri kupitia Kinyago chake yaani Engine A Hese anajua ni maslahi yake, Utopolo wanachekelea tu hawajui nini anafanya. Wasubiri Supoti Feza achomoe mwiko awanyonye mtaro wa choo watakula mihogo mpaka wachanganyikiwe.🤣🤣🤣Hata haier ana maslahi nayo. Gsm ndio msambazaji mkuu wa bidhaa za haiet kwa hapa tz na nchi nyingine za afrika mashariki.
[emoji23][emoji23][emoji23]Umepanic tayari.......soma tena bandiko la Sportpesa ujue nini kimeandikwa, Simba ana husika vipi hapo. Viongozi wenu walitakiwa wawe makini na mkataba.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu sio Simba, ni SportPesa ya Abas Tarimba mtopolo mwenzenu
Sasa si mnasema yanga ni timu ya serikali au unajisahaulishaTatizo la mikataba ni la kiichi sio Yanga tu. Fatilia mikataba serikalin na taasisi zote utaniambia.