Mkataba wa Yanga na Sport Pesa waingia mdudu baada ya Yanga kutambulisha mdhamini mpya

Mkataba wa Yanga na Sport Pesa waingia mdudu baada ya Yanga kutambulisha mdhamini mpya

Hii ndiyo mfanano bora nimeuona mpaka sasa. Watu hawajui haya makampuni makubwa yanadili na makampuni mengi siyo wewe tu. SportPesa inawezekana huko kwingine anafanya kazi na washindani wa Haier kwa hiyo lazima awe na nafasi ya kutafakari na kuridhia. Wanaangalia mambo juu juu tu.
Exactly.....
 
Achana nae mkuu. Badala atoe hoja yake yeye maswali tu kama tuko shule. Tetea hoja kwa hoja sio maswali, akiulizwa hajibu anaibuka na swali
Kaa kimya huna unachojua zaidi ya ngonjera. Wewe ni mmoja kati ya wale vichaa wanaotaka Feisal aheshimu mkataba huku wao hawaheshimu.
 
Dah! Ila viongozi wa Yanga wamezidi kuparamia mambo!
 
Back
Top Bottom