Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Chelsea wana 3 na wana Trivago.. Unajua???Rejea kwa lugha ya kiingereza. Sportspesa is official main sponsor of young afrcn kits. Unaelewaje ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chelsea wana 3 na wana Trivago.. Unajua???Rejea kwa lugha ya kiingereza. Sportspesa is official main sponsor of young afrcn kits. Unaelewaje ?
Serikali ya Tanzania italipa ???Mbona taarifa ya Sportpesa imeandika kabisa kua iliwataka watumie visit Tanzania?
Kwahiyo katika mfano wako hebu rekebisha Ili ulete maana nzuri.
Ilipe nini wakati inataka ikae pale bureSerikali ya Tanzania italipa ???
Ban yako inaisha lini msomi wa SAUTViongozi wa sasa wa Yanga SC wanapenda Kukurupuka na wanachokiwaza muda wote ni Kushindana na Simba SC ( hasa katika Masuala ya Nje ya Uwanja ) wakati Kiuhalisia huwa Wanaharibu na inawagharimu Kiuchumi na hata Kiufanisi. Sifa zitawaponza kama Klabu.
KAGAME ANALIPA ARSENAL. Waache kupenda mserereko.Ilipe nini wakati inataka ikae pale bure
SP wako sawa kama wapangaji kulingana na mfano wangu... Yaan kama mpangaji anae lipa kodi ya kwa muda bila usumbufu kulingana na mkataba ana haki kamili ya kumuambia mmiliki wa fremu ibaki wazi au amuweke mwingine baada ya mpangaji kujiridhisha katika interest zao kibiashara kwa huo muda biashara yake itakapokua imesimama, na sio mwenye frem kumpangia nani aingie kwamaana mpangaji ndio anayo mamlaka na frem hiyo kwa wakati huo. Sasa hapo kwenye kuleta mpangaji mpya pia mwenye frem anaweza kuleta maombi ya mpangaji huyo wa muda ila nimpaka mpangaji wa muda mrefu aridhie.Mbona taarifa ya Sportpesa imeandika kabisa kua iliwataka watumie visit Tanzania?
Kwahiyo katika mfano wako hebu rekebisha Ili ulete maana nzuri.
Hapo ndo imekaa sawaSP wako sawa kama wapangaji kulingana na mfano wangu... Yaan kama mpangaji anae lipa kodi ya kwa muda bila usumbufu kulingana na mkataba ana haki kamili ya kumuambia mmiliki wa fremu ibaki wazi au amuweke mwingine baada ya mpangaji kujiridhisha katika interest zao kibiashara kwa huo muda biashara yake itakapokua imesimama, na sio mwenye frem kumpangia nani aingie kwamaana mpangaji ndio anayo mamlaka na frem hiyo kwa wakati huo. Sasa hapo kwenye kuleta mpangaji mpya pia mwenye frem anaweza kuleta maombi ya mpangaji huyo wa muda ila nimpaka mpangaji wa muda mrefu aridhie.
Mkataba upo wazi mwenye haki ya kuwa mbele ya jezi ni sportpesa na ndio anayeweza kuamua nani awe mbadala wake endapo kuna conflict of interest... Huwezi kumtoa mdhamini mkuu pasipo yeye kulidhia hapa nikukiuka mkataba. Yanga imekuwa kikundi cha kihuni kiasi hiki tunaharibu taasisi na kupoteza Imani za kibiashara kwa watu.Mkuu umeusoma mkataba wa Yanga na Sportpesa?
Sio watafaidika kipi, suala hapa wao wamekodi hilo eneo la jezi kifuani mpaka mwaka 2025.Nimeona hayo maelezo nikabaki kujiuliza maswali. Yanga ikivaa visit Tanzania je sport pesa watafaidika na kipi hapo?
Upo vzr kwenye hili haupo ki ushabiki japo ww ni Yanga...Mkataba upo wazi mwenye haki ya kuwa mbele ya jezi ni sportpesa na ndio anayeweza kuamua nani awe mbadala wake endapo kuna conflict of interest... Huwezi kumtoa mdhamini mkuu pasipo yeye kulidhia hapa nikukiuka mkataba. Yanga imekuwa kikundi cha kihuni kiasi hiki tunaharibu taasisi na kupoteza Imani za kibiashara kwa watu.
Hivi moangaji akikulipa kodi yako ya miezi sita, kisha miezi 3 ya mwanzo asitokee, hiyo itakupa uhalali wa kupangisha hko chumba!?Simba Na Mashabiki Wake Mnajionaga Mko Smart Wakati Ni MBUMBUMBU Na Mafala Wakubwa… Yani Sisi Tusiingize Pesa Kisa Kuvaa Visit Tanzania…Kama Mlivaa Na Mtaendelea Kuvaa Ni Nyie Na Haituhusu, Nyie Mabwege Nn!!
Akili yako imeishia kwenye nyumba za kupanga ni ngumu kuelewa haya mambo, kama SP anataka iwekwe visit Tanzania alipie hakuna kitu cha bure,SP wako sawa kama wapangaji kulingana na mfano wangu... Yaan kama mpangaji anae lipa kodi ya kwa muda bila usumbufu kulingana na mkataba ana haki kamili ya kumuambia mmiliki wa fremu ibaki wazi au amuweke mwingine baada ya mpangaji kujiridhisha katika interest zao kibiashara kwa huo muda biashara yake itakapokua imesimama, na sio mwenye frem kumpangia nani aingie kwamaana mpangaji ndio anayo mamlaka na frem hiyo kwa wakati huo. Sasa hapo kwenye kuleta mpangaji mpya pia mwenye frem anaweza kuleta maombi ya mpangaji huyo wa muda ila nimpaka mpangaji wa muda mrefu aridhie.
Naomba nami nigusie hapa. Hapa hakuna hoja. Fact kwamba Yanga waliwafata SportPesa kuhusu hilo, ni wazi walijua haki ya SportPesa ilikuwepo hapo. Kwamba mkataba hausemi kuhusu michuano gani itahusika, ilikua ni juu ya Yanga kuweka hivyo vipengele kabla ya kusaini mkataba.Usije kwangu na mihemko. Nimeeleza hoja yangu kisheria ilivyo na ilivyopaswa kuwa. Swala la kujitoa akili utakuwa nalo wewe. Simama na hoja acha matusi
Chukulia mfano mtu umemkodisha gari matumizi yake ni kuanzia jumatatu mpka ijumaa , jumamosi ukaenda kulipiga mishe zako ni makosa?SP wako sawa kama wapangaji kulingana na mfano wangu... Yaan kama mpangaji anae lipa kodi ya kwa muda bila usumbufu kulingana na mkataba ana haki kamili ya kumuambia mmiliki wa fremu ibaki wazi au amuweke mwingine baada ya mpangaji kujiridhisha katika interest zao kibiashara kwa huo muda biashara yake itakapokua imesimama, na sio mwenye frem kumpangia nani aingie kwamaana mpangaji ndio anayo mamlaka na frem hiyo kwa wakati huo. Sasa hapo kwenye kuleta mpangaji mpya pia mwenye frem anaweza kuleta maombi ya mpangaji huyo wa muda ila nimpaka mpangaji wa muda mrefu aridhie.
Naomba tuletee huo mkataba tusome woteMkataba upo wazi mwenye haki ya kuwa mbele ya jezi ni sportpesa na ndio anayeweza kuamua nani awe mbadala wake endapo kuna conflict of interest... Huwezi kumtoa mdhamini mkuu pasipo yeye kulidhia hapa nikukiuka mkataba. Yanga imekuwa kikundi cha kihuni kiasi hiki tunaharibu taasisi na kupoteza Imani za kibiashara kwa watu.
Acha kuwa mbishi kwenye Mambo yaliyowazi mkuu!!.... Kutetea ujinga kama huu nikuonesha watanzania tulivyo wajinga na tusiojua Mambo kabisa. Yanga imefanya mabadiliko ya kiutendaji hivyo inapaswa kuendeshwa kisasa na kisomi sio kihuni na kishamba kiasi hiki... Kuna uhitaji wa pesa lakini sio kwakukiuka mikataba na wadhamini hili ni Jambo la hovyoo...!!.Naomba tuletee huo mkataba tusome wote
Hapa ni kama unajaribu kujificha kwenye kivuli cha mpapai.Kimsingi spots pesa ana haki na jezi zinazotumika NBC tu. Ndio maana nimesema mkataba uko general sana, hautaji Azam wala Caf ila umetaja jezi za yanga za msimu ndio maana akapata misimu 5 means ni kwa NBC
Kisingizio cha kijinga hiki. Why Yanga alienda kuwaomba SportPesa juu ya hili!? Kwa nini asingefanya tu!?Kimsingi spots pesa ana haki na jezi zinazotumika NBC tu. Ndio maana nimesema mkataba uko general sana, hautaji Azam wala Caf ila umetaja jezi za yanga za msimu ndio maana akapata misimu 5 means ni kwa NBC
Bora wewe umenielewaNaomba nami nigusie hapa. Hapa hakuna hoja. Fact kwamba Yanga waliwafata SportPesa kuhusu hilo, ni wazi walijua haki ya SportPesa ilikuwepo hapo. Kwamba mkataba hausemi kuhusu michuano gani itahusika, ilikua ni juu ya Yanga kuweka hivyo vipengele kabla ya kusaini mkataba.