leadermoe
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 1,392
- 4,588
Ndio uelewa wako huo siwezi pingaHapa ni kama unajaribu kujificha kwenye kivuli cha mpapai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio uelewa wako huo siwezi pingaHapa ni kama unajaribu kujificha kwenye kivuli cha mpapai.
Hata kichaa ukimwambia wewe ni kichaa anakataa maana anakuona wewe ndio kichaa sio yeye.Kisingizio cha kijinga hiki. Why Yanga alienda kuwaomba SportPesa juu ya hili!? Kwa nini asingefanya tu!?
Mwamba nimekuelewa sana. Bonge moja la Pointi.Sijajua unauelewa gani kwenye masuala ya masoko ila kwa uchache, uuzwaji wa jezi mpya zenye udhamini wa kampuni mpya unaweza kuathiri uvaaji wa jezi zenye nembo ya sportpesa mtaani. Wanunuzi na wavaaji wa jezi ni wale wale. Hilo ni moja tu.
Kwenye hatua za awali, nani alikuwa kifuani !?Naomba niambie sportpesa kaahidi kutoa bonus ya sh ngapi endapo Yanga watafanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa? Maana kwenye NBC na Azam Federation cup limewekwa wazi kiasi cha bonus watakachopata Yanga kutoka kwa sportpesa. Kama hakuna sehemu yoyote ambayo sportpesa katamka kuhusu michuano ya kimataifa. maanake hao sportpesa walijua ukomo wao wa udhamini
Kwa nini walivaa jezi za SportPesa kwenye hatua ya awali!?Sheria inawabana kuanzia makundi. Uzamini wa caf unaanzia makundi
Kwa hiyo preliminary stage ilikuwa michuano ya ndani!?Mkuu hivi unaelewa kwanini walitumia jezi za Sportpesa kwenye preliminary stage na sasa hawawezi kutumia?
Hii ndiyo mfanano bora nimeuona mpaka sasa. Watu hawajui haya makampuni makubwa yanadili na makampuni mengi siyo wewe tu. SportPesa inawezekana huko kwingine anafanya kazi na washindani wa Haier kwa hiyo lazima awe na nafasi ya kutafakari na kuridhia. Wanaangalia mambo juu juu tu.SP wako sawa kama wapangaji kulingana na mfano wangu... Yaan kama mpangaji anae lipa kodi ya kwa muda bila usumbufu kulingana na mkataba ana haki kamili ya kumuambia mmiliki wa fremu ibaki wazi au amuweke mwingine baada ya mpangaji kujiridhisha katika interest zao kibiashara kwa huo muda biashara yake itakapokua imesimama, na sio mwenye frem kumpangia nani aingie kwamaana mpangaji ndio anayo mamlaka na frem hiyo kwa wakati huo. Sasa hapo kwenye kuleta mpangaji mpya pia mwenye frem anaweza kuleta maombi ya mpangaji huyo wa muda ila nimpaka mpangaji wa muda mrefu aridhie.
Na pia waulize kwa nini kama hawataki kufanya kazi za bure kama wanavyoikataa Visit Tanzania waliweka nembo ya SportPesa bila kulipwa katika mashindano wanayodai SportPesa hahusiki.Kisingizio cha kijinga hiki. Why Yanga alienda kuwaomba SportPesa juu ya hili!? Kwa nini asingefanya tu!?
Kwa kuwa CAF wanatoa pesa, hiyo haikuwa sababu ya Yanga kutohangaika na udhamini mwingine!?Huna uelewa wowote na hilo ulisemalo.
Nionyeshe wapi nimesema sport pesa hana mamlaka na Yanga?. Tumia akili kusoma na kuelewa kwanza bandiko la mtu kuliko kukurupuka kujibu usichokielewa.
MSAADA WAKO
Hatua za awali kila club inajitegemea kwa kila kitu ndio maana wanaenda na jezi zao za ligi.
Kuanzia makundi CAF inatoa pesa kwa clubs. Ili kufanya hivyo inatafuta mdhamini. Kama mdhamini wa club anafanya biashara sawa na wa caf ndipo sheria za caf zinaitaka club hiyo kutovaa jez za mdhamini huyo.
PUNGUZA NONGWA, NI SHIDA ZAKO TU
Nilitaka nimjibu hivyo nikampotezea maana kichwa chake ni kigumu sana.Kwa kuwa CAF wanatoa pesa, hiyo haikuwa sababu ya Yanga kutohangaika na udhamini mwingine!?
Unbeaten hata Azam Fc timu ya juzi tu anayo.We jamaa una akili mgando ndo maana Tz ni maskini wenye akili kama zako ni milion 60!
Yaani hata Yanga ichukue world cup bado utasema ni bahasha!
Hata tuwapige Makolo fc mara mia utasema ni hujma! Hivi hukuona Al Hilal walijiangusha dkk 80 Sasa utawafungaje na mpira Hawataki uchezwe? Hivi hukuona waarabu tuliwapiga kwao?
Hivi huoni possessing football ya Yanga Huwa unakuwa wapi?
Hii Yanga ingine boss unbeaten team! Amka!
Cha ajabu Fei Toto anaonekana kichaa kutoheshimu mkataba huku anayemuona Feisal kichaa, naye haheshimu mkataba aliosaini kwa hiari yake mwenyewe.Hata kichaa ukimwambia wewe ni kichaa anakataa maana anakuona wewe ndio kichaa sio yeye.
Inawezekana sera za ujamaa zimechangia sana kuchukuliana poa kwenye biashara.Hii ndiyo mfanano bora nimeuona mpaka sasa. Watu hawajui haya makampuni makubwa yanadili na makampuni mengi siyo wewe tu. SportPesa inawezekana huko kwingine anafanya kazi na washindani wa Haier kwa hiyo lazima awe na nafasi ya kutafakari na kuridhia. Wanaangalia mambo juu juu tu.
Kwa mikonoKwa nini walivaa jezi za SportPesa kwenye hatua ya awali!?
Punguza ujuajiKwa kuwa CAF wanatoa pesa, hiyo haikuwa sababu ya Yanga kutohangaika na udhamini mwingine!?
[emoji706][emoji706]Cha ajabu Fei Toto anaonekana kichaa kutoheshimu mkataba huku anayemuona Feisal kichaa, naye haheshimu mkataba aliosaini kwa hiari yake mwenyewe.
Mi nimeuliza swali na wewe unauliza swali sasa nani atujibu?Kwa hiyo preliminary stage ilikuwa michuano ya ndani!?
Achana nae mkuu. Badala atoe hoja yake yeye maswali tu kama tuko shule. Tetea hoja kwa hoja sio maswali, akiulizwa hajibu anaibuka na swaliMi nimeuliza swali na wewe unauliza swali sasa nani atujibu?
Ok sawaAkili yako imeishia kwenye nyumba za kupanga ni ngumu kuelewa haya mambo, kama SP anataka iwekwe visit Tanzania alipie hakuna kitu cha bure,