MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Wanatumiana mkuu sio kumtumiaWakristo waliona mbali kutoachana hovyo kuepusha wahuni kama nyie yaani unamchoka tu mtu baada ya kumchakaza na kuutumia uzuri wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatumiana mkuu sio kumtumiaWakristo waliona mbali kutoachana hovyo kuepusha wahuni kama nyie yaani unamchoka tu mtu baada ya kumchakaza na kuutumia uzuri wake.
Mwanamke kama huyo hutakiwa kulala nyumbani au kula msosi wakeHuyo mwanamke uliyemchoka lakini bado kakung'ang'ania pamoja na kumwambia laivu kuwa umemchoka usipojiangalia atakuja kukuua!
Mwache ye anafikiri mchezo. Kama mimi ningehama kimya kimya. Mwanamke unamwambia laivu humtaki halafu anakung'ang'ania na bado unaishi naye. Hawajui wanawake nini?Mwanamke kama huyo hutakiwa kulala nyumbani au kula msosi wake
Wanaume tunakufa mapema sababu mambo mengine tunajitakia
Mda si mrefu atamuwahisha kwa sir God
Na haya yote yanafanya wanawake wateswe kwenye ndoa na bado kuendelea kuvumilia mtu anapiga ila haondokikuachika sio rahisi my dear
imagine: atatuambia nini akirudi mtaani? na wakati mtu akiolewa anajionaga Chosen one, anakua na kejeli kwa kila asieolewa ..
sasa umwache tena itakuaje [emoji23]
mtu ambae anamfanya mume kama Bullet proof haachiki kirahisi
Atapata anacho stahili mda si mrefuMwache ye anafikiri mchezo. Kama mimi ningehama kimya kimya. Mwanamke unamwambia laivu humtaki halafu anakung'ang'ania na bado unaishi naye. Hawajui wanawake nini?
sababu za kiuchumi zinachangia,mwanamke anawaza anaanzia wapi kwa mfano?Na haya yote yanafanya wanawake wateswe kwenye ndoa na bado kuendelea kuvumilia mtu anapiga ila haondoki
Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
Sio uchumi tu pekee ake mmezidi kuitukuza ndoa kana kwamba binti ambaye hakufanikiwa ku olewa mnamdharau na kumnyanyapa mna muona mtu asiye na maadili aliyepoteasababu za kiuchumi zinachangia,mwanamke anawaza anaanzia wapi kwa mfano?
Ndoa za uisilamu ni uzinzi hazina maana yoyoteIkiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
Wewe ni mpumbavu.Ndoa za uisilamu ni uzinzi hazina maana yoyote