Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Mwenzako hataki fedheha kwahiyo kaamua bora lawama zako kuliko fedheha.
Linapokuja swala la talaka na kuachana bahati mbaya wanawake ndio huwa wanaonekana wakosefu mbele ya jamii sasa yeye hilo hataki.
Amini usiamini hata Mahakamani ukienda kutoa sababu uliyoieleza hapa kwenye huu uzi hupewi hiyo talaka, huwezi kupewa talaka kisa umemchoka mtu hiyo haiwezekani, labda ukahonge na ikikatiwa rufaa talaka inapigwa chini mama la mama anarudi nyumbani 😂
Linapokuja swala la talaka na kuachana bahati mbaya wanawake ndio huwa wanaonekana wakosefu mbele ya jamii sasa yeye hilo hataki.
Amini usiamini hata Mahakamani ukienda kutoa sababu uliyoieleza hapa kwenye huu uzi hupewi hiyo talaka, huwezi kupewa talaka kisa umemchoka mtu hiyo haiwezekani, labda ukahonge na ikikatiwa rufaa talaka inapigwa chini mama la mama anarudi nyumbani 😂