Mke akigoma kuachana, bila kutunia mahakama, namfukuzaje?

Mke akigoma kuachana, bila kutunia mahakama, namfukuzaje?

Mwenzako hataki fedheha kwahiyo kaamua bora lawama zako kuliko fedheha.

Linapokuja swala la talaka na kuachana bahati mbaya wanawake ndio huwa wanaonekana wakosefu mbele ya jamii sasa yeye hilo hataki.

Amini usiamini hata Mahakamani ukienda kutoa sababu uliyoieleza hapa kwenye huu uzi hupewi hiyo talaka, huwezi kupewa talaka kisa umemchoka mtu hiyo haiwezekani, labda ukahonge na ikikatiwa rufaa talaka inapigwa chini mama la mama anarudi nyumbani 😂
 
Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
Kama ulimtolea mahari laki mbili toroka asubui.
 
Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
Wenzako wanawaachiaga mji/nyumba.
 
Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
Embu ngoja kwanza..
 
Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
Ndoa bwana,yani hapo ukete ni issue ya mmoja tu kujishusha ili yaishe lkn kila mtu unakuta kakomaa...
 
Back
Top Bottom