Mke akigoma kuachana, bila kutunia mahakama, namfukuzaje?

Mke akigoma kuachana, bila kutunia mahakama, namfukuzaje?

Mwachie kihalali kabisa mji, watoto na Mali zote mlizo nazo.

Weka ahadi nae ya kumtunza yeye na watoto kwa mahitaji yote ya matibabu, Kula, kusoma, kuvaa, bills....etc.

Baada ya hapo Muage vizuri na kwa upendo beba kibegi chako nenda kaanze upya
Hii nzuri maana huko aendako siku mambo yakiwa hovyo ataweze tena kurudi nyumbani kwa mke wake wa kwanza
 
Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
2023 imeanza kwa kasi sana, thread za kuachana tu. Muachie mji nenda kaanze upya mbele ya safari
 
Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
unataka kumuacha mwanamke kienyeji!ondoka mwachie kila kitu kaanze upyaa!hapo utakuwa umemkomesha
 
Ukute hapo wakati unamuoa ulimwambia asifanye kazi akae nyumbani alee watoto wewe utampa kila kitu. Leo unamfukuza unataka akaanzie wapi??? Tukisema tunaonekana tuna midomo. Wanawake akili kichwani nadhani mifano bado mnaiona
 
Mwachie kihalali kabisa mji, watoto na Mali zote mlizo nazo.

Weka ahadi nae ya kumtunza yeye na watoto kwa mahitaji yote ya matibabu, Kula, kusoma, kuvaa, bills....etc.

Baada ya hapo Muage vizuri na kwa upendo beba kibegi chako nenda kaanze upya
Bonge moja la ushauri, kama umemchoka ni vyema kuondoka kwa amani,kuliko kutoana damu,sepa kwa amani
 
Tafuta fundi akatoe bati juu ya nyumba.
Maana Kuna watu wengine wanajua kung'ang'ania hata umpige nusu ya kumuua haondoki.

Dah ila siyo fresh man kama hajawahi kukukosea kitu usimtimue
Umenikumbusha mke huko mwanza sinui shinyanga
Kapata kipigo nusura apoteze JICHO
Lkn kawaomba POLISI wamuonye MUMEWE aache kumpiga arudi waishi bado anampenda mumewe
 
Wakristo waliona mbali kutoachana hovyo kuepusha wahuni kama nyie yaani unamchoka tu mtu baada ya kumchakaza na kuutumia uzuri wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo mwanamke uliyemchoka lakini bado kakung'ang'ania pamoja na kumwambia laivu kuwa umemchoka usipojiangalia atakuja kukuua!

Mark my words. Soon watu wataimba parapanda. We kumbe humjui mwanamke aliyependa wewe!
Naona amesahau yule alimtia Handsome wake petrol [emoji23][emoji23]
 
Tueleze sababu ya kumchoka ni nini, labda nasi tunaweza jifunza kupitia kwako.. Maleven
 
hamia mkoa mwingine kaanzishe makazi hukoo, mkaapo mbali kwa muda mrefu yawapa muda wa kujitafakari, hapo manapokaa kwa sasa mwachie aishi hapo
 
Mwachie kihalali kabisa mji, watoto na Mali zote mlizo nazo.

Weka ahadi nae ya kumtunza yeye na watoto kwa mahitaji yote ya matibabu, Kula, kusoma, kuvaa, bills....etc.

Baada ya hapo Muage vizuri na kwa upendo beba kibegi chako nenda kaanze upya
Hawezi lala na wanaume wengine nyumba niliojenga, kama anataka nimpe hela ajenge ndo ainjoi na wengine watakaokuja
 
Tueleze sababu ya kumchoka ni nini, labda nasi tunaweza jifunza kupitia kwako.. Maleven
Kadri siku zinavyokwenda sitaki hata kumuangalia, pia hayuko smart sana na muonekano wake una deteriorate kilasiku
 
Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama huyu? Au unamuachia mji unanda kuanzisha mji wako? Kwanini mtu usikubali kuachika kama hupendwi
Hapo unakuwa hujaacha kitu bro.
Kama hakuna divorce ya mahakama manake ndoa inahesabiwa kuwepo.
hata mkikaa tofauti kwa miaka 10
 
Hawezi lala na wanaume wengine nyumba niliojenga, kama anataka nimpe hela ajenge ndo ainjoi na wengine watakaokuja

Toa sababu za kuachana nae ili usaidiwe ushauri maana umekuja jukwaani kuomba ushauri sio kutoa taarifa, kuna watu wa kada mbalimbali humu unaweza pata ushauri mzuri unaotaka….
 
Back
Top Bottom