Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

Ndo maana hahangaiki na wewe kumbe Yuko busy busy kidogo
 
Usiruhusu mkeo awe na biashara ya kushika hela nyingi sana, unakaribisha matatizo kwenye ndoa...
Hii principal naitekeleza Sana
Saiv hajui nyumba zangu Mpya Wala miradi yangu anachojua ni hii gari na nyumba moja tunayoishi
Aliwahi kutamka tugawane Mali bas nilimtoa hapohapo kwenye akili yangu
 
Hii principal naitekeleza Sana
Saiv hajui nyumba zangu Mpya Wala miradi yangu anachojua ni hii gari na nyumba moja tunayoishi
Aliwahi kutamka tugawane Mali bas nilimtoa hapohapo kwenye akili yangu
Ulifanya Jambo la akili,
Wanaume Lazima tutumie akili kuliko hisia,
Mtu akishakuonesha redflag chukua hatua haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mwenzo wako muache anyooke Kwanza, asipokaa sawa Itakua shida

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu namsikitikia kaponzwa na ndugu zake na nafahamu hilo nimeamua kimsamehe ila nothing can be the same, nothing can be fixed, huwezi kukaa na mtu ambae hakuna anaekuelewa kwao na yeye hakuna anaemuelewa kwetu japo haikua hivyo mwanzo na aliekua anategemewa saana kiweka haya mambo sawa alikua huyo kaka yake mchungaji maana mwanzo ya haya yote waliyaanzisha wadogo zake! Kuna swala walikua wanashinikiza nikalipangua na kuwafukuza nae akaja kuzamia humo humo kwa tiketi nyingine kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mwenzo wako muache anyooke Kwanza, asipokaa sawa Itakua shida

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli anapitia wakati mgumu sana, namuhurumia sana mbali na kumpenda ila sina namna kabsa, kwanza binafsi sina amani kabisa hata nikikaa nae nusu saa, kila anachoongea hata kama anakimaanisha najikuta simuelewi japo najua anamaanisha kweli, hua nahisi kuna mtego anataka niuvae, haishi kuwalaumu ndugu zake haishi kujilaumu yeye mwenyewe kwa kuhama kwake na kwenda kupanga, anatamani arudi ila ndio hivyo dalali yupo kazini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh hadi nimeogopa.
Poleni aisee na hizi changamoto za ndoa
 
Kwanza pole kwa kuoa magomeni they don't like working or any hardship life
 
Duh asee kaka pole na hongera sana maana hili jambo lilinianza hata mimi nilipofungua kampuni yangu ilibidi nibadili shares sabab ilikua bado changa na imeanza kuleta mambo mengi ya mali acha tu nimesoma hadi nimejikuta nalia [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my moto g power (2021) using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…