Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

5f
 
Wanawake wa siku hz wana tamaa sana. Ili kukwepa hlo,,, ntaoa mtoto wa mtoto wa shangazi yangu. Hata akitaka tugawane mali pw tu mana mali zangu najua haziend mbali!!!
Binamu yako Tena,
Imani yako inaruhusu[emoji848]
 
[emoji2962][emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi kwanini hua wanafikiria kua sisi wanaume ndio tutawahi kufa!? Eti siku ukifa ........ Sijui fikra hizi hua wanazitoa wapi!? Maaa mae
 
Nilipofika hapa machozi yamenilenga aisee nimemkumbuka mzee wangu Mungu amrehemu, kaka una baba bora mwenye hekima sana!

Asante kwa ku share nasi kisa chako, ubarikiwe.
 
Umetisha mkuu...Wanawake hawa wakishaota mapembe na usipoonyeshabkwa vitendo kua uko tayari kumuacha for good asee watakufrustrate kwa viwango vya kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…