Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

[emoji2962][emoji3166][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] hii nimeipenda sana! Form 4 ulifaulu kwa akili zako au chabo zilikuokoa[emoji1787][emoji1787]
 
[emoji2959][emoji2959][emoji2957] kwa mimi mpaka hatua hio sirudi nyuma natamani ningekuwepo kushuhudia huu mkasa[emoji1787][emoji1787]
 
Bora wewe ulikuwa unaweza kujibizana nao na kuwaeleza, kuna introvert hatua hatuna maongezi kabisa kauli ni moja na biashara inaishia hapo
 
La halaullah! Hawa viumbe wamevalishwa tu mwili wa binadamu ila kiasili sifikirii kama ni binadamu! Na shida yao kubwa hua ni washauri, kama huyu alifuata ushauri wa shangazi zake na hapo ndipo walipo vamia mtumbwi
 
Safi sana! Tafuta ugomvi mwingine mkuu!![emoji2959][emoji2959][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duka kubwa vitu mlirudisha saa ngap?
 
Nimesisimka na hii story hakika wewe ni jasiri.
Mawazo yako na misimamo yako ni sawa na yangu tu.
 
You have a big heart brother. Haya mambo bora kuyasikia kama stori kutoka kwa wadau, hapa nimeamini emotional intelligence ya watu wengi bado ni ndogo
Uko Sahii Sana mkuu
Umeongea kitu kuntu Sana,
Hili suala linapaswa lipatiwe mjadala mpana sana
 
Nimesisimka na hii story hakika wewe ni jasili.
Mawaza yako na misimamo yako ni sawa na yangu tu.
Mkuu,
Kwa kipind kile sijui nilikua naongozwa akili ipi,
nlikasirika sana kichwa kikawa kinazunguka kwa Kasi sana, Moja haikai mbili haikai

Ilinibidi kuonyesha msimamo maana nilihisi mtu nilieoa hakua na mapenz na Mimi, aliolewa na Target zake tayar na dunia nzima imjue
 
La halaullah! Hawa viumbe wamevalishwa tu mwili wa binadamu ila kiasili sifikirii kama ni binadamu! Na shida yao kubwa hua ni washauri, kama huyu alifuata ushauri wa shangazi zake na hapo ndipo walipo vamia mtumbwi
Kingine nikigundua shangaz zake wasingeweza kumkanya maana alikua anawawezesha Sana kiuchumi.

Kwaiyo kumkosoa na kumkemea sponsor ilkua ngumu.

Nikipeleka kesi, Ni blah blah wanapiga stories zao na kumsikiliza yeye afu hamna kinachobadilika
 
Bora wewe ulikuwa unaweza kujibizana nao na kuwaeleza, kuna introvert hatua hatuna maongezi kabisa kauli ni moja na biashara inaishia hapo
Mi kumezea Jambo Siwez,
Nilimzingua live bila kupepesa macho
 
Hongera sana ,umekksea jambo moja tu hao mashanga,i ungepiga woote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…