Mke anatoa mashuzi usiku kucha; Kuna madhara ninayoweza kuyapata?

Mwanamke anaekuheshimu hawezi toa mashuzi mbele zako, huyo kashakuona boya ndo maana anafanya huo ujinga kwa kujikamua.
 
Sasa wewe dokta wa manesi halafu unaogopa vitu vidogo namna hiyo mpe tiba ama mpunguze kula mandondo.
 
Ahsante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…