DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Ahsante kwa elimu safi ya lugha (sarufi ee?!!)= kumdhalilisha.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Mwanamke anaekuheshimu hawezi toa mashuzi mbele zako, huyo kashakuona boya ndo maana anafanya huo ujinga kwa kujikamua.Naombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.
Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!
Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!
Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
Sasa wewe dokta wa manesi halafu unaogopa vitu vidogo namna hiyo mpe tiba ama mpunguze kula mandondo.Naombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.
Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!
Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!
Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
Mkuu, hakuna madhara halafu Kisha nanenepa?😳😳😳 Sasa si ndiyo madhara yenyewe hayo, au?!!!!Hahahahaaaa,pfuuuu!
Hakuna madhara ila unaweza ukapata unene
Maskini Azarel wetu wa JFMaskini Tanganyika yangu
Waliozoea kicheatiwa na wake zao utawajua tu, wanahisi kudanganywa danganywa tu muda wote.Hii jamii forum ina watu watunga story wengi tu. Ujinga mwingi sana. View attachment 3123208
Yako imara kabisa!Mkague na marinda pia
Ushindwe na ulegeeTumia dole gumba 👍 kumziba njia ya upepo
Umeona ee?!!!Hatari sana
HanaMkuu naomba no za mkeo please!
Ndo hivyoAisee!
Wewe mkeo kama Hana michepuko zaidi ya miwili niiteni mbwa, nimekaa palee!!Hakuna mume wa mtu mwenye akili kama hizi aisee.
Hii ni chai kama chai zingine.
Ahsante sana mkuu kwa kuelewa na kutoa somo.Anti Flatulence zipo . mpatie ana tatizo la Gesi. Pia Azingatie kula na kunywa maji. Ja asile na kulala muda huo huo.
Tumeric na Ginger zitamsaidia labda kama unataka wadau wakuambie/wakuthibitishie kuwa anataka umle ndogo.
Ahsante sanalazima uwe mstahimuluvu sana kwenye ndoa,
zile shida na raha za ndoa ni pamoja na hizo sasa, lazima ukubali kuishi nazo.
infact,
hiyo hali haina madhara makubwa kiafya bali inachangamsha ndoa tu chumbani,
hizo ngurumo labda ndio kidogo zina athari kwasababu ni noise pollution gentleman
Ahsante mkuuHakuna madhara mkuu ila ni kikohozi na mafua tu ya hapa na pale...