Mke anatoa mashuzi usiku kucha; Kuna madhara ninayoweza kuyapata?

Ukioa ni vema mke awe na chumba chake na mume huwe na chumba chako ...hizo ni dalili za kuchokana kama ilivyo kwenye ndoa karibu zote kutokana na kuish nyumba moja na kulala siku zote chumba kimoja..
Sawa
 
bahati iliyoje napenda sana mwanamke akinijambia usoni ndio fatansy yangu nasikia raha sana. pia inaelezwa kunusa ushuzi wa mwanamke ni tiba
😳😳😳😳😳😳😳
 
Wewe mpuuzi, hapo ajaumwa unahona kero. Wanaume wakizaz hk https://jamii.app/JFUserGuide up
 
Ushuzi ni afya usiogope, hata mtu akifanyiwa operation kubwa akitoka salama anaulizwa ushajamba? Akisema Yes ndio daktari anasema operation was successfully na anaondoa mashaka ya complications
Oh, kumbe!!!!!😳😳😳😳😳
 
Mpunguze kula maharage kila siku, nunueni nyama au mara moja moja kuleni ndizi viazi na uje kuleta mrejesho apa, ugali maharage haujawahi kumuacha mtu salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…