Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
- Thread starter
- #121
Sijaspecialise huko mkuuSasa wewe si dokta au ??
Unatuombaje ushauri sisi tena 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaspecialise huko mkuuSasa wewe si dokta au ??
Unatuombaje ushauri sisi tena 🤣🤣
Daah aisee sio mbayaSijaspecialise huko mkuu
Eti?!!!😳😳😳😳😳Yeah, madhara yapo.
Unaweza kujikuta unaanza kupenda sehemu yanakotokea hayo mashuzi.
SawaNitumie inbox nimkanye mkuu
SawaUkioa ni vema mke awe na chumba chake na mume huwe na chumba chako ...hizo ni dalili za kuchokana kama ilivyo kwenye ndoa karibu zote kutokana na kuish nyumba moja na kulala siku zote chumba kimoja..
We utakuwa na tatizo sawa na la mke wangu, polemkeo anadhalilika kwa kukubali kuolewa na hayawani.
Hii ni kweliUnajua hakuna set ya binadamu imekemilika,wengine wanakoroma,wengine wanaenda ndogo,wengine.wanachepuka,wengine wanalia wakiwa wanaliwa,ilimradi shida tuu.
OkWahuni wameshazibua karo la maji taka.
😄😄😄😄😂😂😂😂asee sikutarajia kucheka hivi dah
😳😳😳😳😳😳😳bahati iliyoje napenda sana mwanamke akinijambia usoni ndio fatansy yangu nasikia raha sana. pia inaelezwa kunusa ushuzi wa mwanamke ni tiba
Ahsante mkuuAjaribu kupunguza ulaji wa vyakula vya gesi kuondoa tatizo..
Kuhusu madhara sifahamu maana kutoa ushuzi ni tabia ya mwanadamu
Wewe mpuuzi, hapo ajaumwa unahona kero. Wanaume wakizaz hk https://jamii.app/JFUserGuide upNaombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.
Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!
Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!
Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
Oh, kumbe!!!!!😳😳😳😳😳Ushuzi ni afya usiogope, hata mtu akifanyiwa operation kubwa akitoka salama anaulizwa ushajamba? Akisema Yes ndio daktari anasema operation was successfully na anaondoa mashaka ya complications
Ndo maana nimeleta mada Ili nipate ushauri.Wewe mpuuzi, hapo ajaumwa unahona kero. Wanaume wakizaz hk JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala up
Watoto wote ndo walivyo, huliingia Kila jambo katika utoto waoUtoto nao ni shida!
Sawa mkuuMuulize anaotaga ndoto gani
Tafuta kimtungi cha oxygen uwe una lala nacho.
Akiona hicho kitendo atajiongeza na kuacha kujamba - jamba kila wakati.
Mpunguze kula maharage kila siku, nunueni nyama au mara moja moja kuleni ndizi viazi na uje kuleta mrejesho apa, ugali maharage haujawahi kumuacha mtu salamaNaombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.
Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!
Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!
Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!