Mke hataki ndugu zako, utafanyaje?

Mke hataki ndugu zako, utafanyaje?

Leo naomba mumsaidie rafiki yangu kumshauri, mimi ni nimeshashauri kwa upande wangu lakini nataka kuona fikra za watu zaidi.

Jamaa ana mke na watoto, hivi karibuni kaka yake alipoteza kazi ndugu wakamuomba asaidie kulea mtoto mmoja ambaye alikuwa kidato cha pili. Jamaa alimshirikisha mke wake kuhusu mgeni huyo mke akakubali lakini inaonekana alikubali kwa shingo upande.

Kwa sasa sio siri tena mwanamke kasema wazi kabisa hataki kuishi na huyo mtoto tena akaenda mbali zaidi kampigia simu mama wa mtoto kumueleza yeye hawezi kuishi na mtoto wake. Habari zikamfikia jamaa akashangaa sana aliporudi kumlaumu mwanamke kwanini amefanya hivyo mwanamke kaja juu na kusema hata yeye ana maamuzi kwenye familia na msimamo wake ndio huo, hataki kuishi na huyo mtoto.

Jamaa kabembeleza sana mke akawa kama kaelewa kumbe bado. Hivi juzi kalianzisha tena na sasa amefika mbali kamwambia mume wake achague moja aidha kuishi na yeye(mke) ama mtoto wa ndugu yake........

Mzozo uko hapo, mimi nilimshauri kama hana uwezo wa kumlea huyo mtoto amrudishe kwao lakini si kwasababu ya kukataliwa na mke wake maana hata yeye hajui kesho yake. Jamaa alinijibu uwezo anao maana mtoto anasoma shule za serikali halipi ada hata mia zaidi ya uniform na vifaa vya shule.

Kama nimekosea naombeni sababu, bado tuna nafasi ya kumsaidia jamaa. Kwa ndugu upande wa mume na narafiki zake wanashangaa sana maamuzi ya mwanamke lakini kwa ndugu wa mke anasema zaidi ya 80% wanamsapoti mwanamke [emoji848]
Mbona kama ni ishu yako na siyo ya rafiki yako mkuu. Humu hatujuani so ukiwa na tatizo lako sema tu kuwa ni lako inakuwa rahisi zaidi watu kutoa ushauri. Ikishasemekana ni ya third party watu hawaipi uzito sana.
 
Uzima wa Mtu haupo katika wingi wa Mali na vitu anavyovimiliki.
 
Leo naomba mumsaidie rafiki yangu kumshauri, mimi ni nimeshashauri kwa upande wangu lakini nataka kuona fikra za watu zaidi.

Jamaa ana mke na watoto, hivi karibuni kaka yake alipoteza kazi ndugu wakamuomba asaidie kulea mtoto mmoja ambaye alikuwa kidato cha pili. Jamaa alimshirikisha mke wake kuhusu mgeni huyo mke akakubali lakini inaonekana alikubali kwa shingo upande.

Kwa sasa sio siri tena mwanamke kasema wazi kabisa hataki kuishi na huyo mtoto tena akaenda mbali zaidi kampigia simu mama wa mtoto kumueleza yeye hawezi kuishi na mtoto wake. Habari zikamfikia jamaa akashangaa sana aliporudi kumlaumu mwanamke kwanini amefanya hivyo mwanamke kaja juu na kusema hata yeye ana maamuzi kwenye familia na msimamo wake ndio huo, hataki kuishi na huyo mtoto.

Jamaa kabembeleza sana mke akawa kama kaelewa kumbe bado. Hivi juzi kalianzisha tena na sasa amefika mbali kamwambia mume wake achague moja aidha kuishi na yeye(mke) ama mtoto wa ndugu yake........

Mzozo uko hapo, mimi nilimshauri kama hana uwezo wa kumlea huyo mtoto amrudishe kwao lakini si kwasababu ya kukataliwa na mke wake maana hata yeye hajui kesho yake. Jamaa alinijibu uwezo anao maana mtoto anasoma shule za serikali halipi ada hata mia zaidi ya uniform na vifaa vya shule.

Kama nimekosea naombeni sababu, bado tuna nafasi ya kumsaidia jamaa. Kwa ndugu upande wa mume na narafiki zake wanashangaa sana maamuzi ya mwanamke lakini kwa ndugu wa mke anasema zaidi ya 80% wanamsapoti mwanamke [emoji848]

Baba yupo ila ameachishwa kazi, mama yupo
Binafsi sioni sababu ya kumhamisha mtoto hapo, waishi na mwanao wakikwama ndio waombe msaada wasaidiwe mtoto akiwa kwao wazazi wake. Ukiendekeza haya mambo yanaweza kugharimu sana uko mbele na ukashindwa kureverse situation.
 
Je, kitu hiki kimeshatokea walipokuja ndugu wengine?

Kama jibu ni hapana

1. Akae na mke wake sehemu tulivu ikibidi nje ya nyumbani apige nae story, kujua changamoto ni nini kuishi na huyo mtoto

Huyo mtoto anaingia foolish age, umri ambao majority wanakuwa watukutu sana, viburi, dharau. Na kwa vile si mtoto wake na wazazi wake wapo hawezi kupata uhuru wa kumuadhibu anapokosea

Kama itaonekana mtoto ndo changamoto
Arudishwe kwao then baba yake mdogo sijui mkubwa awe anatuma hela za kusapoti

Kwenye ndoa kunahitajika hekima sana
There is no one answer fit all

Lakini kama ni tabia ya mkewe, inahitajika uvumilivu na maamuzi ya busara
Vinginevyo ajipange kwa ugomvi, mabishano, kununiwa, kukosa amani, kukosa hamu ya kurudi nyumbani

umesema vyema kabisa, watoto wa umri huu kama hajaoewa malezi mazuri huko matokeo yake anakuja kuwachonganisha tu kwa kuepeleka maneno ya uongo, utakua atheshimu baba yake mdogo tu lkn mke wake anamwona na yeye kama wakuja tu ligi zinaanza. Haya mambo huwezi kuelewa hadi yakukute.
 
Mkuu amua kama mwanaume kama kweli huyo mke yupo tayari kuachana na wewe sababu ya huyo mtoto mwambie mtoto lazima muishi naye kama anaondoka aondoke

Mkuu kwa mtu mwenye busara na hekima, ushauri huu ni mbovu kabisa maana ni hatari kwa afya ya mtoto kama akilazimisha mtoto aende akae hapo kinyume na matakwa ya mke wake maana kuna mengi uyo mtoto anaweza kufanyiwa na uyo mwanamke akaharibikiwa kisaikolojia.

Wanawake wenye roho kma hiyo ni hatari sana kufanya uamuzi kama huo kwani unaweza mleta mtoto wa watu kwenye dimbwi la manyanyaso, na Mungu akaacha kutoa baraka kwenye familia yako ukabaki unatafuta mchawi kumbe ni mke wako.
 
Mimi binafsi niliwahi kuishi kwa ndugu sababu ya umasikini wa baba yangu na si kwa matakwa yangu nilikuwa mdogo lakini nakumbuka mengi siwezi kuruhusu mtoto wangu akaishi kwa ndugu kamwe ila tu kwa kulazimishwa na hali ikiwemo kifo.

Sisi pamoja na hali yetu duni tuliishi hivyo hivyo na wazazi baba yangu tangu zamani hakua anaruhusu kwenda kuishi kwa ndugu hata bibi, na tulikua na ndg wenye uwezo mzuri tu, ilikua kwenda kusailimia na kurudi, alitupambania mwenyewe na mama hadi tumefika, sasa namwelewa
 
Leo naomba mumsaidie rafiki yangu kumshauri, mimi ni nimeshashauri kwa upande wangu lakini nataka kuona fikra za watu zaidi.

Jamaa ana mke na watoto, hivi karibuni kaka yake alipoteza kazi ndugu wakamuomba asaidie kulea mtoto mmoja ambaye alikuwa kidato cha pili. Jamaa alimshirikisha mke wake kuhusu mgeni huyo mke akakubali lakini inaonekana alikubali kwa shingo upande.

Kwa sasa sio siri tena mwanamke kasema wazi kabisa hataki kuishi na huyo mtoto tena akaenda mbali zaidi kampigia simu mama wa mtoto kumueleza yeye hawezi kuishi na mtoto wake. Habari zikamfikia jamaa akashangaa sana aliporudi kumlaumu mwanamke kwanini amefanya hivyo mwanamke kaja juu na kusema hata yeye ana maamuzi kwenye familia na msimamo wake ndio huo, hataki kuishi na huyo mtoto.

Jamaa kabembeleza sana mke akawa kama kaelewa kumbe bado. Hivi juzi kalianzisha tena na sasa amefika mbali kamwambia mume wake achague moja aidha kuishi na yeye(mke) ama mtoto wa ndugu yake........

Mzozo uko hapo, mimi nilimshauri kama hana uwezo wa kumlea huyo mtoto amrudishe kwao lakini si kwasababu ya kukataliwa na mke wake maana hata yeye hajui kesho yake. Jamaa alinijibu uwezo anao maana mtoto anasoma shule za serikali halipi ada hata mia zaidi ya uniform na vifaa vya shule.

Kama nimekosea naombeni sababu, bado tuna nafasi ya kumsaidia jamaa. Kwa ndugu upande wa mume na narafiki zake wanashangaa sana maamuzi ya mwanamke lakini kwa ndugu wa mke anasema zaidi ya 80% wanamsapoti mwanamke 🤔
Ushauri wangu achana naye.

Hawezi kuwa juu ya ndugu.

Kubla hujamjua yeye ndugu zako ndiyo waliokutengeneza hadi ukafikia kimo hicho hadi akakuona wewe.Hivyo yeye ni mpitaji TU. Hawezi kuwa na uchungu na wewe.
 
Kama ingekua ni mimi huyo mwanamke angeondoka asubuhi saa 11 namuamsha tena akikataa kipigo kinahusika, mwanamke gani hana aibu na roho mbaya kiasi hiko?, mtoto kafiwa ni mipango ya Mungu hakupenda mzazi wake afariki. Tena jamaa awe makini huyo mwanamke atampa sumu oneday... yani mie wanawake wenye tabia za kipumbavu hata awe mzuri kama malaika sitaki ushenzi akafie mbele, unanyenyekea mke! mke! , hata nyau ina mke.

kwani amefiwa au ni baba yake ameachishwa kazi? anyway, mimi kwa umri huo kama mtoto ana nidhamu nitaishi nae vizuri tu ila kama ni yule wa kiburi na uchonganishi kwa ndugu wa mume sitaweza.
 
Unadhan ni rahisi?tena mi naona akikataa inakuwa rahisi hataki kuwa mnafiki amtese mtoto ,bora akalelewe kwa ndugu zake kuliko muda mwingi ashinde na mtu baki
Mim napenda ningekaa nae tu maana kuishi na watoto mama mjengo hutagusa mikazi ya vyombo sijui kudeki sijui uwanja mchafu ,we unaonaje [emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji1][emoji1] unachekesha
ndio upate huyo atakayetambua kwamba hapo ni kama kwa wazazi wake ili a-assume majukumu ya nyumbani kama ambavyo angelia kwa wazazi wake. Anaweza akaja ambaye hagusi kitu na ukimwambia tu maneno yanafika ukweni mara moja unanyanyasa[emoji18] Haya mambo nyie yanahitaji busara sana.
 
Kwenu wakuu,
Kwa muda mchache nimepata ushauri wa kutosha kazi iliyobaki ni kufikisha ujumbe.

Kuna majibu ya aina tatu hapa:
1. Kuna ambao wanakubaliana na maamuzi ya mwanamke, mtoto aondoke
2. Kuna ambao wanapinga tabia ya mwanamke, bora mwanamke aondoke.
3. Kundi la mwisho wanachukizwa na tabia ya mwanamke lakini wanashauri mtoto aondoke kuepusha ugomvi.

Binafsi naungana na kundi la pili, mwanamke asepe. Kuna sababu ya msingi kwa mfano aliotoa scolastika

Ukichunguza kwa umakini hapa mwanamke ana roho mbaya tu Hana sababu yoyote ya msingi. Kama alivyosema scolastika leo kafanyiwa mtoto kesho akimfanyia mzazi wako?!

Naenda kufunguka kwa jamaa akiona ushauri unamfaa auchukue akiona haufai auwache

kuliko ukamshauri afukuze mke wake ni bora ukamfungulia huu uzi ausome mwenyewe. Usimshauri mtu amwache mke/mume wake mwache aamue mwenyewe.
 
Mkuu andikishana mkataba na huyo Manzi, kama hataki wa kwako na wewe sema wa kwao basi! Muishi na watoto wenu tu! Siyo anakatwa wa upande wa mwanaume halafu wa kwake anasema sawa!
 
Sad story ambayo sikupenda kuiweka kwenye uzi huu; Huyo mwanamke wazazi wake walifariki kwenye ajali ya gari akachukuliwa na mjomba wake kasomeshwa hadi anaolewa ametokea kwa kaka yake mkubwa 😢
..........Basi huyo mwanamke ana matatizo ya akili.
 
Leo naomba mumsaidie rafiki yangu kumshauri, mimi ni nimeshashauri kwa upande wangu lakini nataka kuona fikra za watu zaidi.

Jamaa ana mke na watoto, hivi karibuni kaka yake alipoteza kazi ndugu wakamuomba asaidie kulea mtoto mmoja ambaye alikuwa kidato cha pili. Jamaa alimshirikisha mke wake kuhusu mgeni huyo mke akakubali lakini inaonekana alikubali kwa shingo upande.

Kwa sasa sio siri tena mwanamke kasema wazi kabisa hataki kuishi na huyo mtoto tena akaenda mbali zaidi kampigia simu mama wa mtoto kumueleza yeye hawezi kuishi na mtoto wake. Habari zikamfikia jamaa akashangaa sana aliporudi kumlaumu mwanamke kwanini amefanya hivyo mwanamke kaja juu na kusema hata yeye ana maamuzi kwenye familia na msimamo wake ndio huo, hataki kuishi na huyo mtoto.

Jamaa kabembeleza sana mke akawa kama kaelewa kumbe bado. Hivi juzi kalianzisha tena na sasa amefika mbali kamwambia mume wake achague moja aidha kuishi na yeye(mke) ama mtoto wa ndugu yake........

Mzozo uko hapo, mimi nilimshauri kama hana uwezo wa kumlea huyo mtoto amrudishe kwao lakini si kwasababu ya kukataliwa na mke wake maana hata yeye hajui kesho yake. Jamaa alinijibu uwezo anao maana mtoto anasoma shule za serikali halipi ada hata mia zaidi ya uniform na vifaa vya shule.

Kama nimekosea naombeni sababu, bado tuna nafasi ya kumsaidia jamaa. Kwa ndugu upande wa mume na narafiki zake wanashangaa sana maamuzi ya mwanamke lakini kwa ndugu wa mke anasema zaidi ya 80% wanamsapoti mwanamke 🤔
Akikubali kulegea kwenye hili na ajiandae kwa litakalofata hapo ni kuwa mwanaume kamili.
 
Ujinga mkubwa alioufanya huyo jamaa yako ni kuoa. Ataendelea kutafta sana ushauri kwa mambo mengine mengi tu.
 
[emoji1][emoji1] unachekesha
ndio upate huyo atakayetambua kwamba hapo ni kama kwa wazazi wake ili a-assume majukumu ya nyumbani kama ambavyo angelia kwa wazazi wake. Anaweza akaja ambaye hagusi kitu na ukimwambia tu maneno yanafika ukweni mara moja unanyanyasa[emoji18] Haya mambo nyie yanahitaji busara sana.
Arudi ukweni kuishi
 
Mkuu amua kama mwanaume kama kweli huyo mke yupo tayari kuachana na wewe sababu ya huyo mtoto mwambie mtoto lazima muishi naye kama anaondoka aondoke

Ni kweli tena zaidi kama anasema mwanaume kuwa walishawahi kuishi na mtoto wa ndugu wa huyo mwanamke, basi huyo mwanamke ni mbinafasi
 
Ushauri wangu achana naye.

Hawezi kuwa juu ya ndugu.

Kubla hujamjua yeye ndugu zako ndiyo waliokutengeneza hadi ukafikia kimo hicho hadi akakuona wewe.Hivyo yeye ni mpitaji TU. Hawezi kuwa na uchungu na wewe.

Shida kubwa Tanzania ni Upagani, Kikristu baada ya kufunga Ndoa Mke na Mume wanakuwa kitu kimoja, hivyo ndugu hawezi kuwa juu ya Mke (Kikristu) kwa maana wewe siyo mwili mmoja na ndugu yako isitoshe hata ndugu yako atakuja kuwa na kwake, …
 
Back
Top Bottom