Mke kwenda kujifungulia kijijini, huu ni uchawi

Unajua hii concept ya mwanamke mkimya haimaanishi mwanamke asiongee kabisa ila aongee tu panapostahili na ajue kipi cha kuongea kwa wakati upi.

Shida ya wanawake wengi ambao wamekosa maadili au kulelewa na mama pekeyake wakalishwa sumu kuhusu baba zao katika mazingira mabovu huwa wana ile tabia ya ujuaji. Mwanamke anakuwa mropokaji yani hawazi anachoongea anafyatua mineno kama chizi. Intention yake ni wewe ukerekwe tu sababu ya kauli zake zisizo na staha. Mara nyingi wanawake wa hivi wanapenda ku contest/compete na waume zao mtajibizana mwishowe unamzaba kofi anyamaze.
 
mWanamke ni kiumbe kinachozoea mazingira mageni haraka tofauti na unavyofikiria

Huwa ni vizur zaidi akienda kwa mama ake mzazi huko kijijini kama hayupo hata kwao bwana ake sio mbaya
 

Mkuu unatumia kinywaji gani mkuu?
 
Wanawake wa hivyo ndio kero. Jambo dogo la kuelekezana atalifanya ligi akujibize ilimradi unywee ajione anakuweza. Mwisho wa siku migogoro ndio inakuwa mtindo wa maisha.

Tazama Ile clip ya jana ya yule nesi aliokuwa anamjibiza mwenzie kuhusu vipimo vya MRDT kisha angalia namna ambavyo yule mwanamke alikuwa anamjibu jamaa utaelewa hasa nachojaribu kukuelewesha hapa. Thats a typical example of wanawake waongeaji kama spika ambao ni kero kwenye ndoa.
 
Kama umepanga chumba kimoja au viwili huyo mama mkwe itakuaje?
 
Kama anakwenda kwa baba mkwe ni sahihi. Lakini kama anakwenda kujifungilia kwao Kuna walakini na familia Yao. Mtoto lazima azaliwe kwenye asili ya baba yake ili aweze kuungwa kwenye ukoo wa asili yake.

Kwa wale wanaofuata Mila za kiarabu ambazo mjomba ana maamuzi kwenye ukoo hawatanielewa
 
Mtoto anaungwaje kwenye ukoo? Naomba ufafanuzi
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…