Kivipi?Ombi la marehemu mtarajiwa
Nimuhimu kuliko kingine chochote kwasasa na asipofanya hivyo itamgharimu maishani mwake moto
Yeye akamwite x wake ,basi atimize hiyo furaha ya mwezake
Wosia huo ,athari zake kubwa usipotimiza
80% mnabakwa, likowazi ndomana bodaboda wakiwaotea hamchomoki Kwa urahisiPesa zinatuponza,lakini kiuhalisia 66% ya wanawake ndani ya ndoa wanabakwa na waume zao.Hajampenda mwanaume ila kaingia kwenye ndoa Ili avae shera, kachoka kukaa home.....anaogopa Wana -adamu wanaoongea
Hawa mazombie hawatakuelewa!Mke aliye olewa bila bikirahuyo sio wako
Paaap ex anatafuna miezi 9 halafu anapona kansaNingemletea na room ningewaachia, ni maisha tu na mwanadamu unapoambiwa umebakiza kipindi iki kabla ya umauti wako ni lazima kidogo akili ivurugane na ubongo. NINGEMLETEA.
Ishu ndogo sana hiyo uyo si anakufa tu baada ya miez 9. Itia uyo ex wake aje then na ww itia manzi yako ije then uone vile iyo ugonjwa ako nayo kama ni serious aki nakwambia miez 9 mingi sana.Aisee itakushangaza ila jua tu kwamba hapa duniani kuna mambo mengi sana ya kushangaza na kukuacha mdomo wazi hili likiwa mojawapo la huko Marekani ambapo unaambiwa mwanamke mmoja amemuomba mumewe amletee ex wake angalau afurahie tena mapenzi kwa mara ya mwisho kabla hajafariki.
Mwanamke huyo amegundulika na ugonjwa wa kansa na madaktari wamemwambia kwamba amebaki na miezi 9 ya kuishi hapa duniani.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke huyo ambaye ameishi kwenye ndoa kwa muda wa miaka 10 amemwambia mumewe kwamba alikuwa anafurahia tendo la ndoa kutoka kwa ex wake tu na tangu waoane hajawahi kabisa kufurahia tendo hilo. Mwanaume huyo ameomba ushauri kwa watu mbalimbali kwenye mtandao wa Reddit kama atimize matakwa ya mkewe ama aachane nayo.
Vipi wewe unamshauri nini huyu mwanaume mdau?
#MsasaKisasaZaidi
View attachment 2718053
[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji932]KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
NDOA NI UPUMBAVU
NDOA NI UTAPELI
π€£π€£π€£π€80% mnabakwa, likowazi ndomana bodaboda wakiwaotea hamchomoki Kwa urahisi
Hakuna jambozuri Kwa MwAnaMkE uume ukiingizwa na lango linauterezi wakutosha ,nasio ukavu
π€£π€£π€£π€Duuh! Asilimia 66?
Apia Mumy. ππ
Ok kumbe....sikujua hiliMwanamke hajaumbiwa kupenda,Mwanamke kaumbiwa kuheshimu.acheni hadithi zenu za sungura na fisi
Mm piaHata Mimi
Taraka unampa ili afe bila ndoa .ila unamhudumia ili ateseke muda mrefuUzinzi tu wala sio ugonjwa huo kama mimi ndio mwamba analambwa talaka aende akahudumiwe na huyo x wake.
NAKAZIAKATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
NDOA NI UPUMBAVU
NDOA NI UTAPELI
Imenibidi nijiunge chamani asee sio kwa hizi story za kidubwasha πKATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
NDOA NI UPUMBAVU
NDOA NI UTAPELI
Maruhusu amalize usakiti wake maana Mungu ameshatoa adhabuAisee itakushangaza ila jua tu kwamba hapa duniani kuna mambo mengi sana ya kushangaza na kukuacha mdomo wazi hili likiwa mojawapo la huko Marekani ambapo unaambiwa mwanamke mmoja amemuomba mumewe amletee ex wake angalau afurahie tena mapenzi kwa mara ya mwisho kabla hajafariki.
Mwanamke huyo amegundulika na ugonjwa wa kansa na madaktari wamemwambia kwamba amebaki na miezi 9 ya kuishi hapa duniani.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke huyo ambaye ameishi kwenye ndoa kwa muda wa miaka 10 amemwambia mumewe kwamba alikuwa anafurahia tendo la ndoa kutoka kwa ex wake tu na tangu waoane hajawahi kabisa kufurahia tendo hilo. Mwanaume huyo ameomba ushauri kwa watu mbalimbali kwenye mtandao wa Reddit kama atimize matakwa ya mkewe ama aachane nayo.
Vipi wewe unamshauri nini huyu mwanaume mdau?
#MsasaKisasaZaidi
View attachment 2718053
waache waoe, wajinga ndiyo wanaopigwaImenibidi nijiunge chamani asee sio kwa hizi story za kidubwasha π
Tapeli wa mapenzi huyo...ameona kuliko kutubu dhambi ni bora afe na dhambi ya kuzini...watu wengi wakifa huwa wanakimbilia kutubu ila huyu ni ibilisiAh wapi.
Hapigwi mtu...
π¨KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
NDOA NI UPUMBAVU
NDOA NI UTAPELI