Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

Nitapata mjinga mwenzangu,huyu mwenye akili kama zako simuwezi,kwa jinsi ulivyonikomalia nimeshajua wewe ni mwanamke wa namna gani,kama umeolewa basi mumeo ni bwege fulani hivi unampelekesha tu utakavyo.
Tatizo lako unapenda kusifiwa yaani niandike hiyo roho yako ya ubaguzi ni nzuri umeniuzi ulipo sema mtoto wao mkuu acha ROHO MBAYA
 
Kwanzani serious kuwa mkeo yupo humu na anatumia IDs gani mnk naona Kama utani tu
 
Uko sahihi Kabisa. Hakuna mwanamke anaetelekeza mtoto
 
Jipeni likizo kila mmoja aende kwao, baada ya miezi 6 muanze kutafutana tena. Wakati wa likizo we gonga huko nje kadiri uwezavyo, na mwenzako naye agongwe huko nje kwa namna awezavyo. Mkija kukutana, akili itakuwa imekaa sawa
 
wewe huna kosa,ila mkeo siyo mstarabu na ameshindwa kujiongeza,kama ulimpenda pamoja na kuwa ana mtoto kwa mwanaume mwingine,haitakiwi yawepo mawasiliano ya moja kwa moja,ya yeye na baba wa mtoto,awe anawasiliana na eiza,,anko,babu,bibi nk.
 
Ana ubaguzi wa watoto inaonesha alibagua sana huyo mtoto kisa baba yake ana wasiliana na Mama yake
Unakurupuka tu ,nitambaguaje hali ya kuwa siishi naye nyumbani kwangu?
 
single mother jiongezeni,ukienda kwa mtu,nenda mazima,usigeuke geuke nyuma,,nimemaliza.
 
Sema jambo la kulea mtoto asiyo wako nacho kipaji ujue,harafu mapka unajiweka kwa single mother unafuata Nini ela au?ujui alikotoka kimemtoa Nini,

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Nilioa mjane mkuu,nilijua mtoto aliyekuwa ni wa Marehemu kumbe alishazaa kabla hajaolewa.
 
Wivu ukizidi, mapenzi hupungua!. Umezidi sana wivu!. Ukioa mwanamke mwenye mtoto, lazima wazazi wenza wazungumze wellfare ya mtoto. Usiwe na wivu, mwamini mkeo ni wanazungumza tuu issues za mtoto na sio kukumbushia!.

P
 
nae inabidi abaki na wanae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…