Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu mkeo?Na wewe unagongwa njeee??
Sijataka chochote
Ila nawaza tuu vile nawapenda wifi zangu yaani wifi aje kwangu mie nisimsemeshe kaka yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijawahi kuacha kumhudumia mtoto,ila baada ya hali ya uchumi kuyumba nikatoa wazo kwakuwa baba yake yupo na uwezo anao unaonaje ukaongea na dada yake mzazi mwenzako aongee na kaka yake aanze kumhudumia mwanaye,Mke wangu akakataa kufanya hivyo,hata baada ya kukataa sikusitisha huduma kwa mtoto aliendelea kupata hichohicho kidogo kama wanavyopata nduguze hawa wawili,kilicholeta mtafaruku ni hiki,alishakataa kumtafuta wifi yake ili amwambie kaka yake kuhusu hili suala la kumsaidia mwanaye halafu yeye akaanza kumtafuta mhusika kinyemela pasipo kunishirikisha mimi,nikuulize wewe kwanini alikataa halafu baadaye akaanza kumtafuta kinyemela pasipo kunishirikisha mimi?Nyie wote mnaomlaumu huyo singo maza HAMNA AKILI, mmeshindwa kuona kosa alilolifanya huyo mwanaume la kuacha kuhudumia mtoto mmeliona la singo maza kuwasiliana na baba mtoto, narudia tena HAMNA AKILI
huyo mwanaume kaonesha ubinafsi kwa kuacha kumuhudumia mtoto mlitegemea huyo mama afanye nini? Na uzuri mawasiliano aliyoyakuta hayana kielelezo chochote kwamba wana mahusiano ya kimapenzi sasa kosa lake ni nini hapo?
Mwanamke hajakosea kitu anachofanya ni kumsidia mtoto ambaye mume wake hana msaada tena na kuficha ni katika kuilinda ndoa ili mume asijisikie vibaya.
Wewe mwanaume lea huyo mtoto usisingizie uchumi kumbuka hao wote ni watoto wa mkeo na kwa mkeo hao watoto wote ni sawa sasa hawezi kuvumilia mmoja anakula mwingine anashinda njaa. Kama mwanzo ulikua ukipata 100 unagawa 50 kwa 50 sasa hivi ukipata 50 gawa 25 kwa 25. TUMIA AKILI YAKO VIZURI.
Alafu nyie ambao hamjaoa singo maza mna uhakika hamgongewi? Mna uhakika kabisa?.
Jifunze kuheshimu michango ya Watu si kujiona we ndo umebeba solution la mtoa mada.. mwisho unabak unatatapa? We Endelea kugongwa nje Umewakilisha wengi wenye tabia hizVipi kuhusu mkeo?
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Jifunze kuheshimu michango ya Watu si kujiona we ndo umebeba solution la mtoa mada.. mwisho unabak unatatapa? We Endelea kugongwa nje Umewakilisha wengi wenye tabia hiz
Na wewe endelea kugongewa nje umewakilisha wanaume wengi wavumilivu [emoji4][emoji4][emoji4]Jifunze kuheshimu michango ya Watu si kujiona we ndo umebeba solution la mtoa mada.. mwisho unabak unatatapa? We Endelea kugongwa nje Umewakilisha wengi wenye tabia hiz
TawireeUliwahi sikia Serikali ikiwalaumu wananchi?
Uliwahi sikia Wazungu wakiwalaumu Waafrika?
Uliwahi sikia Watawala wakiwalaumu watawaliwa?
Unapoingia kwenye mahusiano yoyote hakikisha wewe ndiwe tabaka la juu, unayepewa lawama.
Hakikisha wewe unakuwa mshtakiwa sio mshtaki.
Kama Mwanamke anakusumbua FUKUZA, Kama huwezi MPE kichapo akakushtaki huko atoe lawama yeye sio wewe.
Kulialia mtoto wa kiume ni kumaanisha huna mbinu, huna akili, umezidiwa steps.
Aliyekwambia aliniambia hana mtoto nani? Hakikisha umeelewa kilichoandikwa ndipo ucomment ,umekazana Mimi mjinga Mimi mjinga sawa mimi mjinga,hivi unafikiri ukimwambia mkeo kwakua humuamini akitaka mchezo mtakuwa mnatumia condom anaweza kwenda kununua kweli?Na baada ya kujua ulichukua hatua gani mkuu, yani mwanamke akudanganye hana mtoto kumbe ana mtoto alafu unakuja kugudua na hauchukui hatua ??? Ebo !! Kwanza huyo mwanamke kishakudharau sanaa na ndio maana mpaka sasa anakudanganya na kufanya maujinga nyuma ya pazia akijua hata ukijua huchukui hatua yoyote.
Eti unaamua kutumia condom wewe jamaa ni mjinga sana sana. Yani hapo unaalalisha kwamba hata akisaliti huwezi kumuacha wewe jamaa ni mjinga.
Kwa hiyo mimi nikimtomba mke wako hatua ktakayochukua ni kutumia condom kwake ?! Samahani kukutukana ila mkuu wewe ni goigoi, mshamba, zoba na mjinga sana sana na utaumizwa sana,
ushauri hata huyo mtoto wa pili unaesema ni wako kapime DNA nakuhakikishia utakuja na uzi mwingine hapa
Kwangu mwanamke ni liability tu, hyo haitakaa inisumbue...hta wewe upo unanisubir mimi. Kwanini nipate shidaNa wewe endelea kugongewa nje umewakilisha wanaume wengi wavumilivu [emoji4][emoji4][emoji4]
Upige mashine uku una stress 🤣🤣We piga mashine mpaka amsahau jamaa ake