Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

Umri....................
Kabila...............
Experience na wanawake....................
Shabiki wa timu gani................
Je unabeti...................
Elimu.................

[emoji23] [emoji23]
Umri 76
Kabila (lako)
Exp na wanawake- sina Exp yoyote
Shabiki - Wananchi
Je unabet- Sibeti
 
Kweli mkuu unamnyanyasa. Inavyoonekana unashindwa kuelewa kwamba ili mzazi mwenzake aweze kutoa hela lazima wawasiliane vizuri japo kwa mipaka. Wewe umekaba sana hilo eneo halafu hapohapo unataka lazima jamaa amhudumie mwanaye. Hiyo ni ngumu kwa mkeo kufanikisha mission zote mbili

Ukitaka wakate mawasiliano basi ungemhudumia huyo mtoto badala ya baba'ke

Kaa na mkeo vizuri muamue namna ya kuwezesha hayo mambo kwa urahisi bila urasimi na wivu wa kijinga. Wekeni mipaka na ushirikishwaji bayana baina ya pande zote ili uache kumtuhumu mkeo kwa usaliti ambao wala abadani sio nia yake. Unaweza kija Dm tukashauriana zaidi mkuu
Bila shaka kakutuma umtetee,muulize hivi,kilichomfanya aanze kumtafuta mzazi mwenzake ninini hali ya kuwa alishakataa? Na kama alishabadili maamuzi yake,kwanini alimtafuta kwa kificho pasipo kunishirikisha?
 
Iki unachokiongea mkeo pia anasoma ,hivi unahisi anajisikiaje ndo upendo umeisha kiasi icho??

Aisee single mamaz ifike pahala tujue kuwa ndoa kwetu si kipaumbele tena na ukibahatika basi ijue na kuitambua mipaka yako na baba mtoto wako ili usimkwaze uyo alie kusitiri na kuhatarisha ndoa



Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Vyovyote atakavyojisikia sawa tu ,hata yeye hajui najisikiaje anaponizunguka
 
uko sahihi hata maandiko yanasema mke ni kwa mume Mmoja tu. sasa wewe huoni ulioa mke wa mtu? kiukweli mkuu ni Mateso sana hawa viumbe hasa ukikikuta na kiumbe ambacho kilishazaliwa huko kabla yako balaa huwa kubwa zaidi. nadhani ulikuwa na nguvu ya pesa kwa wakati huo. kama ulivyosema. ukasahau maisha huwa yanabadilika leo mambo yameenda sivyo ndivyo unasema mwanae atafutwe baba yake atume matumizi ya mwanae!

sasa unadhani hapo hawatarudiana kwenye kufanya ile zinaa kwa kuwa hao ni kitu kimoja tayari? kuoa mwanamke mwenye mtoto ni Kitanzi kwa kweli.
Alikuwa na mume akafariki,sasa kumbe mtoto hakuwa wa marehemu mumewe alizaa kabla hajaolewa,na kwa mumewe hakubahatika kupata mtoto,hapo ndipo nilipigwa changa la macho,nilioa nikiamini baba wa mtoto ni yule mumewe aliyetangulia mbele ya haki.
 
Wewe hapo ndio una Makosa kwa mtazamo wangu. Makosa kivipi?

1. Kuoa (Sijui umri wako ila under 40 mapema sana)
2. Kuoa tayari mtu anamtoto hafu BABA YAKE yupo hai na mzima (inabidi awe alifariki au yupo Milembe)
3. Kumchunguza mke wako.
4. Kutumia condom kwa mkeo iyo dharau aisee. Sijaona lakini mh iyo dharau kubwa.
5..
Dharau Gani tena apoo.
 
Wewe hapo ndio una Makosa kwa mtazamo wangu. Makosa kivipi?

1. Kuoa (Sijui umri wako ila under 40 mapema sana)
2. Kuoa tayari mtu anamtoto hafu BABA YAKE yupo hai na mzima (inabidi awe alifariki au yupo Milembe)
3. Kumchunguza mke wako.
4. Kutumia condom kwa mkeo iyo dharau aisee. Sijaona lakini mh iyo dharau kubwa.
5..
We jamaa uko serious kweli!? Kuoa under 40 ni kuwahi 😆😆😆
 
Wivu ukizidi, mapenzi hupungua!. Umezidi sana wivu!. Ukioa mwanamke mwenye mtoto, lazima wazazi wenza wazungumze wellfare ya mtoto. Usiwe na wivu, mwamini mkeo ni wanazungumza tuu issues za mtoto na sio kukumbushia!.

P
Kukumbushia kunaanzia kwenye mawasiliano/ukaribu Mkuu PM,Mkeo ambaye alishakataa kumtafuta mzazi mwenzake halafu ukagundua anawasiliana naye kwa kificho,kama unampenda kwa dhati wivu haukwepeki.
 
True love is trust, transparency na respect.
Upelelezi ni sumu ya mapenzi.
Tatizo lako ni una wivu sana mpaka hujiamini!. Mapenzi ya dhati ni kuaminiana. Kitendo cha kumkataza mkeo asiwasiliane na mzazi mwenza ni dalili ya wivu ulioputiliza, hivyo kumlazimu mkeo kumtafuta mzazi mwenza kwa siri.
Kitendo cha kuipekua simu ya mkeo ni lack of respect, inayochangizwa na kutojiamini kwako.
A Way Foward.
  1. Kitendo cha kumbagua mtoto wa mkeo kuwa hali ngumu ya uchumi kutapunguza mapenzi kwako!. Ukipenda boga, penda na ua lake!.
  2. Ruhusu mawasiliano ya wazi na mzazi mwenza as long as unajua it was over, jiamini you are the one and only now!. Muamini mkeo!.
  3. Usimpepeleze kwa kumchunguza kwa siri, be open and transparent simu yako ashike, simu yake ishike sio kwa kuipepeleza but being open and transparent with nothing to hide!.
  4. Kitendo cha kumwambia kuanzia sasa 'mtatumia' ni kumdhalilisha kuwa amekosa uaminifu, wewe unaonyesha ni bullying type!.
  5. Choose your love and love your choice, ukipenda kweli penda jumla, upendo wa kweli huvumilia, vimilia yote.
HIli dogo tuu linakuumiza kichwa, jee ungekutana na hili kama langu... Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda! si ungemrudisha alikotoka!.
P
Upendo wa hivyo namwachia Baba Askofu sijui Mchungaji wa FFC.
 
Si unaona majibu Yako ee,yaan wewe Bado sanaaa[emoji1787][emoji1787][emoji2936]
Huwezi ukasema sitoshi bila maelezo halafu utarajie jibu tofauti,ungeniambia sitoshi kwasababu kadha wa kadha ningekuwa na la kusema,Mimi sitoshi na comment yako haitoshi pia.
 
Nikushauri kama mwanaume mwenzangu.
1. Kama ulimkubali mkeo akiwa na mtoto,then take responsibilities. Kumumbagua mtoto kwamba ahudumiwe na baba yule ni kumuweka mke wako kwenye mtego wa kurudi kule kule.
2. Ikiwa huwezi kumhudumia huyo mtoto please Fanya utaratibu aende kwa babake manake unamuumiza mkeo kisaikolojia hali itakayochochea mgogoro wa nafsi na mgogoro wa wazi.
3. Usimchunguze sana mkeo maana wewe ndio unafanya awasiliane na mzazi mwenzake kwa kificho.
NB: enyi akina baba mnaotulelea watoto kwa kisingizio cha kuoa masingo maza kumbuka unakuta hatujaachana,nyie ndio mnatuharibia mipango yetu kwa kutunyanganya wachumba.

watunzeni wake na watoto wetu msiwanyanyase....sisi muda wowote tukitaka tunapewa. Tunaletewa...tunachakata na kazi inaendelea.

it never ends!!!!
Siandiki umemaliza.
1.mlee huyo mtoto AU
2..akalelewe kwa baba yake.
Hakuna mwanamke atakaemuacha mwanae kwa sababu wewe tu umesema.bayupo...
Na
Sijawahi kuacha kumhudumia mtoto,ila baada ya hali ya uchumi kuyumba nikatoa wazo kwakuwa baba yake yupo na uwezo anao unaonaje ukaongea na dada yake mzazi mwenzako aongee na kaka yake aanze kumhudumia mwanaye,Mke wangu akakataa kufanya hivyo,hata baada ya kukataa sikusitisha huduma kwa mtoto aliendelea kupata hichohicho kidogo kama wanavyopata nduguze hawa wawili,kilicholeta mtafaruku ni hiki,alishakataa kumtafuta wifi yake ili amwambie kaka yake kuhusu hili suala la kumsaidia mwanaye halafu yeye akaanza kumtafuta mhusika kinyemela pasipo kunishirikisha mimi,nikuulize wewe kwanini alikataa halafu baadaye akaanza kumtafuta kinyemela pasipo kunishirikisha mimi?
Mkuuu.
Kama ni wako wite wa3 na uchumi umeyumba UNGEFANYAJE?
Uoni hapo wewe ndo umelitengeneza tatizo
La bibie awasiliane na baba mtu in the first place?
 
Bila shaka kakutuma umtetee,muulize hivi,kilichomfanya aanze kumtafuta mzazi mwenzake ninini hali ya kuwa alishakataa? Na kama alishabadili maamuzi yake,kwanini alimtafuta kwa kificho pasipo kunishirikisha?
Mkuu
Unatafuta sababu.
Nikwambie MWAMBIE TU MUACHANE
ni kama unaokoteza tu sababu.
Humpendi tena huyo mwanamke.
Ila fikiria watoto wenu wote kwa pamoja.tafuta soln kabla hujavunja ndoa.
Maana nakuona ur more than ready
 
Back
Top Bottom