Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

Sijataka chochote

Ila nawaza tuu vile nawapenda wifi zangu yaani wifi aje kwangu mie nisimsemeshe kaka yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wifi ndio aliunganisha halafu iende irudi jamaa anamakosa kuanza kumfuatilia mke wake alichokua anatafuta amekipata
 
Sijawahi kuacha kumhudumia mtoto,ila baada ya hali ya uchumi kuyumba nikatoa wazo kwakuwa baba yake yupo na uwezo anao unaonaje ukaongea na dada yake mzazi mwenzako aongee na kaka yake aanze kumhudumia mwanaye,Mke wangu akakataa kufanya hivyo,hata baada ya kukataa sikusitisha huduma kwa mtoto aliendelea kupata hichohicho kidogo kama wanavyopata nduguze hawa wawili,kilicholeta mtafaruku ni hiki,alishakataa kumtafuta wifi yake ili amwambie kaka yake kuhusu hili suala la kumsaidia mwanaye halafu yeye akaanza kumtafuta mhusika kinyemela pasipo kunishirikisha mimi,nikuulize wewe kwanini alikataa halafu baadaye akaanza kumtafuta kinyemela pasipo kunishirikisha mimi?
 
Jifunze kuheshimu michango ya Watu si kujiona we ndo umebeba solution la mtoa mada.. mwisho unabak unatatapa? We Endelea kugongwa nje Umewakilisha wengi wenye tabia hiz
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Jifunze kuheshimu michango ya Watu si kujiona we ndo umebeba solution la mtoa mada.. mwisho unabak unatatapa? We Endelea kugongwa nje Umewakilisha wengi wenye tabia hiz
Na wewe endelea kugongewa nje umewakilisha wanaume wengi wavumilivu [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Tawiree
 
Wifi ndio aliunganisha halafu iende irudi jamaa anamakosa kuanza kumfuatilia mke wake alichokua anatafuta amekipata
Kwahiyo alipokataa kwangu na kuanza kumtafuta kwa kificho yeye hakukosea?
 
Aliyekwambia aliniambia hana mtoto nani? Hakikisha umeelewa kilichoandikwa ndipo ucomment ,umekazana Mimi mjinga Mimi mjinga sawa mimi mjinga,hivi unafikiri ukimwambia mkeo kwakua humuamini akitaka mchezo mtakuwa mnatumia condom anaweza kwenda kununua kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…