Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Chief hujui unachosemq ndio maana unapigia chapuo zaidi mahakama ya jamhuri.

Sheria za Mungu huwa zinapitwa na wakati?

Wewe na Mungu Nani anawajua vizur viumbe wake?
 
Chief hujui unachosemq ndio maana unapigia chapuo zaidi mahakama ya jamhuri.

Sheria za Mungu huwa zinapitwa na wakati?

Wewe na Mungu Nani anawajua vizur viumbe wake?
Wewe umelishwa Da'awa hatuwezi kufika muafaka. Kama ungetumia akili yako hata kidogo tungeelewana. Lakini upo kwanye what book say
 
Wewe umelishwa Da'awa hatuwezi kufika muafaka. Kama ungetumia akili yako hata kidogo tungeelewana. Lakini upo kwanye what book say
Nikuulize swali moja Tu ndo nitajua uelewa wako na huenda tukamaliza mjadala chap

Mahakama ya jamhuri ni kipi special inaweza fanya zaidi ya kuwa na nguvu za kisheria Tu?
 
Hivi yule mkewe wa kwanza tuli mwaka walishaachana ama? Maana naona huyu wa pili ndio anaitwa mkubwa!
Tuli mwaka ndio aliyeanza naye maisha huyu wa pili na wa tatu aliwaoa baadaye

Alishatosana naye, na sasa za chini ya kapeti ni kwamba ana mke mpya raia wa nchi jirani
 
Kweli la nne c 😂😂😂😂Ila safi
 
Hata post zake za nyuma huwa anampendelea Sana yule aliyenae huko vacation""utasikia next stop!bibie anajibu "Texas"...kumbe anarushwa roho mtu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ndio ilivyo, utapenda watu watatu kwa usawa wewe ni Yesu? Lazma kuna mmoja anajua kukufinyia vizuri na kupetipeti ndio utaoza kwake zaidi.
 
Ukiona mtu anajidaia mke au anampost post weka viulizo
Wengi wao wanakuwaga na msongo wa mawazo,Nimeona kwa baadhi ya jamaa na marafiki ukiona stutus kawa mshauri Sana,ana motivate kupita kiasi ukicheck mfumo wake wa Maisha kwa kipindi hicho utagundua anapitia wakati ngumu kimahusiano au kiuchumi
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ndio ilivyo, utapenda watu watatu kwa usawa wewe ni Yesu? Lazma kuna mmoja anajua kukufinyia vizuri na kupetipeti ndio utaoza kwake zaidi.
Shimmy kamfinyia kwa ndani Juma😂
 

Alieanza kumchafua ni nani au siku zote anaemaliza ndo mkosefu

Toeni talaka acheni kunsumbua dada wa watu
 

Ila Bakwata kuna shida mahali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…