Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Hizo ni story za abunuasi. Hakuna kilichojitosheleza hapo, mapungufu ni kibao ni kwa sababu hamruhusiwi kufanya amendment au kuhoji. Na hii ilisababishwa na baadhi ya watu kunyimwa elimu ya kawaida na kukaririshwa hiyo ilimu . Ona Sasa zama hizi za utanda wazi wale wanawake mliokuwa mnawafungia ndani Sasa wanatokana kuandamana hadi msikitini kudai haki zao na wao wanatambua kuwa mahakama Ipo ndio maana wanaomba certificate
Chief hujui unachosemq ndio maana unapigia chapuo zaidi mahakama ya jamhuri.

Sheria za Mungu huwa zinapitwa na wakati?

Wewe na Mungu Nani anawajua vizur viumbe wake?
 
Chief hujui unachosemq ndio maana unapigia chapuo zaidi mahakama ya jamhuri.

Sheria za Mungu huwa zinapitwa na wakati?

Wewe na Mungu Nani anawajua vizur viumbe wake?
Wewe umelishwa Da'awa hatuwezi kufika muafaka. Kama ungetumia akili yako hata kidogo tungeelewana. Lakini upo kwanye what book say
 
Wewe umelishwa Da'awa hatuwezi kufika muafaka. Kama ungetumia akili yako hata kidogo tungeelewana. Lakini upo kwanye what book say
Nikuulize swali moja Tu ndo nitajua uelewa wako na huenda tukamaliza mjadala chap

Mahakama ya jamhuri ni kipi special inaweza fanya zaidi ya kuwa na nguvu za kisheria Tu?
 
Hivi yule mkewe wa kwanza tuli mwaka walishaachana ama? Maana naona huyu wa pili ndio anaitwa mkubwa!
Tuli mwaka ndio aliyeanza naye maisha huyu wa pili na wa tatu aliwaoa baadaye

Alishatosana naye, na sasa za chini ya kapeti ni kwamba ana mke mpya raia wa nchi jirani
 
Kweli la nne c 😂😂😂😂Ila safi
Nahadithia sakata la dr mwaka kutokana na juma lokole na dida mnisamehe nitaiga lafudhi ya juma lokole mainitoe kwenye kundi [emoji23][emoji23][emoji23]

Basi bwana (hapa wanaongea chini chini) bwana yule kamfukuza mkwewe kwenye nyumba yake anataka atoke sasa hatishi wapi navyenyewe alikuwa anajidai mjini anapendwa

anadakia dida kwasauti ndio maana tunasema wanawake watafute vyao sio kujivunia vya mwanaume

Juma lokole tunakuomba sana dr mwaka msahehe yule dada aludi kwenye nyumba kwasabbu ana mtoto mdogo

Anadakia dida sasa wale wamama wenye baibui wameenda kufanya nini pale

Juma lokole kumpambania ex wife haludi kwenye nyumba hile hana pakwenda na mizigo yake hile

Wanaungana kwa pamoja kumuomba dr mwaka hamludishe ex wife pale nyumbani kuhusu taraka ishatolewa kwa mdomo hila mke anataka taraka hile ya bakwata kwhio kinacho wapeleka pale ni kudai haki ya mtoto abaki pale kwenye nyumba


Gafla huko wasp status kumbe dr mwaka anatuma vijembe kwamba waendelee walipo ishia na mke wake alie bakia wameenda dubai

Sijui kuandika nimeishia darasa la nne c sorry
 
Hata post zake za nyuma huwa anampendelea Sana yule aliyenae huko vacation""utasikia next stop!bibie anajibu "Texas"...kumbe anarushwa roho mtu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ndio ilivyo, utapenda watu watatu kwa usawa wewe ni Yesu? Lazma kuna mmoja anajua kukufinyia vizuri na kupetipeti ndio utaoza kwake zaidi.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ndio ilivyo, utapenda watu watatu kwa usawa wewe ni Yesu? Lazma kuna mmoja anajua kukufinyia vizuri na kupetipeti ndio utaoza kwake zaidi.
Shimmy kamfinyia kwa ndani Juma😂
 
Ndoa inamambo mengi sana ndugu zangu kama hujabahatika kuoa basi muombe mungu sana akujalie mwanamke mwenye hekma yote hayo unayaona kwa mke wa dr.mwaka n mwanamke kukosa busara na hekima kukimbilia mitandaoni lengo kimchafua jamaa ni seme tuu kuwa ikinyesha ndio utajua wapi panavuja Leo anatak taraka hadharani lakini kesho atataka warudiano kwa sirii ndivyo walivyo wanapokuwa wanatak kuondoka huondoka kwa kelele na kumwaga Siri zote ila akikaa akaona Mambo yamebuma anaitaji suluhu kwa Siri ili arudi aisee wanawake waonenii tuuu Kama hayajakukuta tema matee chinii

Alieanza kumchafua ni nani au siku zote anaemaliza ndo mkosefu

Toeni talaka acheni kunsumbua dada wa watu
 
Kundi kubwa la wamama waliovalia vazi nadhifu la hijabu huku wakiwa wamefunika nyuso zao kwa Nikabu , limevamia ofisi za Bakwata kwa madai ya kuchoshwa na kupigwa danadana ya kumalizwa kwa mgogoro wa ndoa kati ya Dr Mwaka na Mkewe.

Sizifahamu taratibu za BAKWATA, lakini inatuhumiwa kuchelewesha Talaka kati ya wawili hao.

Bali haijajulikana chanzo cha mgogoro huo hadi kufikia kudhalilishana kwa kiwango hicho.

Ila Bakwata kuna shida mahali
 
Back
Top Bottom