fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
dk mwaka alikuwa anafekisha life ili apate pesa tu lakini ukweli hana loloteWakuu
Huko Millard Ayo karipoti kuwa jamaa mke wake wa South Africa anadai talaka na toka mwaka jana hawako pamoja, sasa yule alitufanya wanaume tuonekane hatuna mapenzi na wake zetu kumbe nae ndani kuna waka moto.
Haya mambo tuulizane yale nafundisho yake tuyafuate au tumteme maana hata yeye kusomesha watoto kashindwa eti kisa arudiane na mke ndio atasomesha kumbe nae mwaka akili kisoda.
Wanaume tunasema hatutaki tena mafundisho yake uchwara ya ndoa, maana kwake hayajafanya kazi kwetu itakuaje si atafanya na ndoa zetu zivunjike.
View attachment 2493377
anachimba sanaMlango taka? Mwamba anachimba mitaro?
Mona watu wanabinuka tu. Baada ya Mkenya Kuna mpemba nae aliweka password hapo. Baadae akaja huyo Dr wa mchongo. Halafu Dr. Form 4 failure Ila confidence tu ndio imemfikisha hapo.Last born wa monalisa anafanana sana na huyu jamaa. Kuna comment niliona ikisema ni mwanae
mhh kumbe kweliMona watu wanabinuka tu. Baada ya Mkenya Kuna mpemba nae aliweka password hapo. Baadae akaja huyo Dr wa mchongo. Halafu Dr. Form 4 failure Ila confidence tu ndio imemfikisha hapo.
🤣Zuga tuu asomeshe watoto anaendaje kupumzika marekani wakati ada za watoto wake hajalipa?
Yaani ndoa yako unaiishi kwa kutegemea mafundisho ya huyo Mwaka?Wakuu
Huko Millard Ayo karipoti kuwa jamaa mke wake wa South Africa anadai talaka na toka mwaka jana hawako pamoja, sasa yule alitufanya wanaume tuonekane hatuna mapenzi na wake zetu kumbe nae ndani kuna waka moto.
Haya mambo tuulizane yale nafundisho yake tuyafuate au tumteme maana hata yeye kusomesha watoto kashindwa eti kisa arudiane na mke ndio atasomesha kumbe nae mwaka akili kisoda.
Wanaume tunasema hatutaki tena mafundisho yake uchwara ya ndoa, maana kwake hayajafanya kazi kwetu itakuaje si atafanya na ndoa zetu zivunjike.
View attachment 2493377
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana,Yule alikua anatueleza tusinywe soda, tule dona na mazoezi tusipate vitambi, siku moja mwaka juzi naingia mgahawa mmoja Arusha nakuta anapiga pilau na coca baridi na ashakua na kitambi kikubwa, ukiwasikiliza hawa jamaa unaweza kupotea
wapuuzi sana bakwata na sasa wameumbukaKundi kubwa la wamama waliovalia vazi nadhifu la hijabu huku wakiwa wamefunika nyuso zao kwa Nikabu , limevamia ofisi za Bakwata kwa madai ya kuchoshwa na kupigwa...
Kundi kubwa la wamama waliovalia vazi nadhifu la hijabu huku wakiwa wamefunika nyuso zao kwa Nikabu , limevamia ofisi za Bakwata kwa madai ya kuchoshwa na kupigwa...
Penye udhia penyeza rupiaBakwata hawajapewa mzigo kweli?
Vipi nae Dida na Lord Mayor.Mh nitakuja kuchangia baada ya kumaliza kumsikiliza hapa dida na juma lokole hapa wanaongelea
Ameshawabana BakwatA WamebanaPenye udhia penyeza rupia
Kulala na wanawake wawili wa kaliba tofauti kitanda kimoja kila siku kunahitaji akili ambayo hata malaika hawana!Kundi kubwa la wamama waliovalia vazi nadhifu la hijabu huku wakiwa wamefunika nyuso zao kwa Nikabu , limevamia ofisi za Bakwata kwa madai ya kuchoshwa...