Mke wa Jirani yangu ananipa chakula kila apikapo

Mke wa Jirani yangu ananipa chakula kila apikapo

Siku utakapojiona mjinga na kichaa ni ile
Ambapo upo gerezani kwasababu umemdhuru, kumuua mkeo, jamaa au umemlawiti jamaa na hukumu yake ni kifungo cha miaka 30. Unamuacha mkeo yupo mtaani halafu wewe upo gerezani, na washikaji wanaendelea kumla. Sijui utakuwa umelinda nini.
Huyo mzee ni mjinga sana, ajitafakari. Mwanamke halindwi, akiamua kuliwa ataliwa hata kama upo naye kitanda kimoja. Atakuacha usiku umelala, anenda kuliwa na houseboy kisha anarudi anaendelea kulala na wewe.
Mimi siwezi kugombana na mwanaume mwenzangu kwasababu ya mwanamke. Wameelewana na wamewasiliana wakagongane.
shida ni kwamba hauna ubongo, unatafakari kwa kutumia makamasi. hujui hata unachoongea, ulishawahi kuoa wewe? au ndio wale wale wa kisasa.
 
shida ni kwamba hauna ubongo, unatafakari kwa kutumia makamasi. hujui hata unachoongea, ulishawahi kuoa wewe? au ndio wale wale wa kisasa.
Siku ukiwa jela ndiyo utanikumbuka kuwa nafikiria kwa kutumia makamasi. Nina mke na mtoto mmoja na huo upuuzi siwezi kuufanya.
Watu wameelewana, wamechukua mpaka chumba halafu wewe unachukua jukumu la kwenda kuwaua, sijui kumlawiti mgoni wako. Ni ujinga sana wa kiwango cha PHD
Utagombana na wanaume wangapi? Leo umemkuta na juma, umegombana naye, kesho umemkuta na mwingine umegombana naye. Siku anaenda kusalimia kwao, analiwa huko huko kwao, wewe unaacha shughuli zako, unamfuatilia mkeo. Ni upuuzi sana wa kiwango cha PHD
Kuna rafiki yangu mmoja naye alikuwa anampenda sana mkewe kama wewe, siku moja jamaa akagundua mkewe anamsaliti tena kwenye kitanda chake, akamuonya mkewe, akatulia, akamfuma tenana jamaa huyo huyo. Watu wakamshauri, achana na huyu mwanamke. Jamaa akasema anampenda sana, mkewe hawezi kumuacha. Akamfuma tena kwa mara ya tatu na jamaa yule yule. Alichokifanya, usiku wamelala, akaamka, akamuua mkewe tena kwa kumkata kata na panga, alitenganisha kila kiungo, mkono, miguu, kichwa, mpaka Kyum***a yenyewe aliikata. Alivyomaliza, akamfunika mkewe na shuka. Kumbuka hapo wapo kijiji, asubuhu akaenda kijijini kwao. Alipofika, usiku jamaa akajinyonga mpaka kufa. Wakazika, imepita siku 3 ndiyo wanagundua mkewe naye aliuliwa kwa kukatwa katwa na mapanga. Alipata faida gani? Mtu umekutana naye ukubwani ndiyo akuangaishe?
wanaume rijali huwa tunaangalia
1. Kutengeneza hela na kuandaa maisha mazuri ya uzeeni
2. Kuhudumia familia kwa ukamilifu
3. Unamchukulia mwanamke kama sehemu ndogo sana kwenye maisha yako, yupo pale ili akuzalie watoto na siyo kitu kingine. Sijui kumpenda mwanamke hiyo hakuna. Akifanya ujinga, anaachwa,
4. Ajue mwanamke misimamo yako, ajue kuwa ukimfumania, ndoa ndiyo imeishia hapo hakuna tena kuombana msamaha. Nihangaike kumchunga mtu mzima, hiyo ni big NO
Watu waliowapenda sana wake zao, wameishia jela na wengine kufa. Mwanamke akiamua kugongwa, atagongwa hata kama wewe upo, unaenda kazini, asubuhi jamaa anaingia kula mzigo.
MWANAMKE KAMA HAWEZI KUJITUNZA YEYE MWENYEWE, MUACHE AWE HURU. UWAZE HELA, UWAZE NA MWANAMKE AMBAYE UKIFA KESHO ANAOLEWA NA MWANAUME MWINGINE.
ACHA KUOA MWANAMKE MALAYA, UTATESEKA SANA
 
Nimegundua huku wanao-comment wengi ni watu wenye wake zao majumbani hivyo ndo maana mapovu yanawatoka sana, Mnatumia emotional sana kutoa maoni kiasi kwamba hadi mmeharibu aim ya uzi... Sasa sikieni nyie mbw nimegahiri siachi tena kula chakula cha huyu dada bali kuanzia sasa ndo nitakila vizuri sana pumbavzen📌
 
Nunua kopo kubwa la Vaseline au nenda kwa mafundi gari kule Garage wakupe Grease. Uweke tu mezani kwako na nyingine tembea nayo kwenye bag. Utakuja nishukuru baadaye
 
Nimegundua huku wanao-comment wengi ni watu wenye wake zao majumbani hivyo ndo maana mapovu yanawatoka sana, Mnatumia emotional sana kutoa maoni kiasi kwamba hadi mmeharibu aim ya uzi... Sasa sikieni nyie mbw nimegahiri siachi tena kula chakula cha huyu dada bali kuanzia sasa ndo nitakila vizuri sana pumbavzen[emoji419]

Umeomba ushauri unapewa halafu unatutukana, we ni mkundyu jamaa.
 
Umeomba ushauri unapewa halafu unatutukana, we ni mkundyu jamaa.
Mkundyu ni Wewe mzee, ningeona ushauri nisingewaona malofa ila naona majungu yanayowatoka wenye wake zenu tu
 
Nadhani si mda na wewe utaanza kupewa zawadi za mafuta ya kujipaka ya mgando na mtu asiyedhihirisha nia yake hasa nini ya kukupa mafuta hayo hapo ndipo pa kuwa makini
 
Wanaume mliooa hakikisheni mnawafikisha wake zenu kileleni...

Hapo huyo mwanamke anaonekana mumewe hamkuni ipasavyo....

Sasa mwanamke wa watu anatafuta mahali pa kupunguza naniliu[emoji23]
Yesu na kufikishana kileleni, wapi na wapi!
 
Hapana mkuu, tunaheshimiana sana na pia mi sili vitu used
Mbususu chache saaaana siyo "used". Je, wewe unapomtongoza mwanamke/msichana, swali lako la kuwanza huwa ni kujuwa kama ni bikira!
 
Ww nawe ushaelekeza auko juu namna ya kumwambia unatafuta visababu
Km unaogopa kumwambia live mwambie ht kwa simu

Ila kuna wanawake changamoto kila siku umpe mtu chakula amelua mtoto am ndo upendo
Mapenzi ya chakula ni mapenzi ya kipwani!
 
Wanaume mliooa hakikisheni mnawafikisha wake zenu kileleni...

Hapo huyo mwanamke anaonekana mumewe hamkuni ipasavyo....

Sasa mwanamke wa watu anatafuta mahali pa kupunguza naniliu[emoji23]
Ahhhhhh wapi. Hata utumie mpini wa jembe. Manamake mengi hayashikiki. Unakutana na lijitu limeshapitiwa na watu zaidi ya 100,unategemea utaliweza? Tundu,kama hadaki la urusi. Chipsi kuku lishashiba, Konyagi,labda inyeshe mvua ya bia. Ukiweka, ni sawa na kucheza karata huenda likwambie ebu shuka. Hii siyo kinanda. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom