Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakuletea mda gan? Anza kubadili ratiba yako kwa muda uo husika anaokuleteaga! Au mumewe akiwepo anakuletea pia?Habari wakuu,
As the head above explains, Imekuwa kama inataka kuwa kawaida tu sasa kila nishindapo nyumbani kuna mke wa jirani yangu ikiwa atapika mchana na kujua kuwa nipo basi ni lazima atanigongea mlango baada ya chakula kuiva.
Me ni bachela ndiyo na huwa sipendelei sana kupika kutokana uvivu na ikitokea nimepika basi nimekaanga mayai au kuchemsha so, mara nyingi nikiwa home nashinda zangu ndani na huwa naorder vyakula restaurant kikifika napigiwa simu tu natoka nachukua na kurudi ndani kula.
Tabia hii ya kupewa chakula na jirani yangu imeanza kunikera kwani huwa nafikiria kwamba kila siku ananipa yeye tu alafu mimi sipikagi wala hivyo sitiweza kumpatia na yeye wakati mwingi kama fidia sasa si nitakuwa kama namnyonya?
Natamani niwe nakataa ila sina njia yenye busara maana kuna siku nilimuambia nimeahakula akaniambia weka tu utakula hata baadae, Je.. nitumie njia gani ya kuwa ninakataa chakula chake bila kumfanya ajisikie vibaya?
Sio kwamba huo ni mtego, huyo anataka uwe mke mwenzake. Shauri yako.Habari wakuu,
As the head above explains, Imekuwa kama inataka kuwa kawaida tu sasa kila nishindapo nyumbani kuna mke wa jirani yangu ikiwa atapika mchana na kujua kuwa nipo basi ni lazima atanigongea mlango baada ya chakula kuiva.
Me ni bachela ndiyo na huwa sipendelei sana kupika kutokana uvivu na ikitokea nimepika basi nimekaanga mayai au kuchemsha so, mara nyingi nikiwa home nashinda zangu ndani na huwa naorder vyakula restaurant kikifika napigiwa simu tu natoka nachukua na kurudi ndani kula.
Tabia hii ya kupewa chakula na jirani yangu imeanza kunikera kwani huwa nafikiria kwamba kila siku ananipa yeye tu alafu mimi sipikagi wala hivyo sitiweza kumpatia na yeye wakati mwingi kama fidia sasa si nitakuwa kama namnyonya?
Natamani niwe nakataa ila sina njia yenye busara maana kuna siku nilimuambia nimeahakula akaniambia weka tu utakula hata baadae, Je.. nitumie njia gani ya kuwa ninakataa chakula chake bila kumfanya ajisikie vibaya?
[emoji23][emoji23]Mtumie mume wake ujumbe huu kila ukishashiba.
" Asante kwa chakula"
[emoji28]aiseeMtumie mume wake ujumbe huu kila ukishashiba.
" Asante kwa chakula"
wewe hutaki kabisa mahusiano na huyo mwanamke??WATU WANA MAONI YA KINGESE SANA HUMU
Naona watu wanakuza sana mambo wakati suala sio big issue wala, Me huyu dada tunaheshimiana nae na pia ana watoto na ana mimba bado na wala kimtazamo hatuwezi hata siku moja kufikiriana kulana ila ndo hivyo sipendi anavyonipa msosi wake tu ila nashindwa nikatae vipi asijisikie vibayawewe hutaki kabisa mahusiano na huyo mwanamke??
kwanini unajiskia vibayaNaona watu wanakuza sana mambo wakati suala sio big issue wala, Me huyu dada tunaheshimiana nae na pia ana watoto na ana mimba bado na wala kimtazamo hatuwezi hata siku moja kufikiriana kulana ila ndo hivyo sipendi anavyonipa msosi wake tu ila nashindwa nikatae vipi asijisikie vibaya
mwambie unaogopa mme wake atakuchukulia vibayaMimi najisikia vibay!!?