farfat
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 258
- 498
Hiyo sio hoja.. ukiona hufikishwi dai talaka hakuna atakae kulaumu ila kufanya uzinzi ndani ya ndoa malipo yake huwa majuto[emoji56][emoji56]Wanaume mliooa hakikisheni mnawafikisha wake zenu kileleni...
Hapo huyo mwanamke anaonekana mumewe hamkuni ipasavyo....
Sasa mwanamke wa watu anatafuta mahali pa kupunguza naniliu[emoji23]