Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Limbwata amewekewa nani? Bachelor au mke wa jirani?Limbwata, hii kitu unaijua wewe? Hufanywa kupitia chakula na humfunga mwanaume kama mbuzi asijitambue wala kujielewa. Kuwa makini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Limbwata amewekewa nani? Bachelor au mke wa jirani?Limbwata, hii kitu unaijua wewe? Hufanywa kupitia chakula na humfunga mwanaume kama mbuzi asijitambue wala kujielewa. Kuwa makini.
Mwanamke malaya anafika kileleni kwa kipimo kipi? We sema wanaume msioe Malaya. Hawa wanawake wa kawaida anaingia ndani keshalowa hata hajaguswa, ukimgusa hata na kidole tayari vibration.Wanaume mliooa hakikisheni mnawafikisha wake zenu kileleni...
Hapo huyo mwanamke anaonekana mumewe hamkuni ipasavyo....
Sasa mwanamke wa watu anatafuta mahali pa kupunguza naniliu[emoji23]
ili nalo mkaliangalieMwanamke malaya anafika kileleni kwa kipimo kipi? We sema wanaume msioe Malaya. Hawa wanawake wa kawaida anaingia ndani keshalowa hata hajaguswa, ukimgusa hata na kidole tayari vibration.
We si mlokole lakini?Wanaume mliooa hakikisheni mnawafikisha wake zenu kileleni...
Hapo huyo mwanamke anaonekana mumewe hamkuni ipasavyo....
Sasa mwanamke wa watu anatafuta mahali pa kupunguza naniliu[emoji23]
Ndio mlokoleWe si mlokole lakini?
Nimeshtuka.
Hakuna lolote, ni hulka ya umalaya tu.Wanaume mliooa hakikisheni mnawafikisha wake zenu kileleni...
Hapo huyo mwanamke anaonekana mumewe hamkuni ipasavyo....
Sasa mwanamke wa watu anatafuta mahali pa kupunguza naniliu[emoji23]
Mkuu umeandika sana, ila bado sijaona ushauri ninaoutaka hapo ebu basi jitahidi umalizie mwisho na jinsi ya kuepukana ili umake sense na uzi wangu...
Mkuu mbona umetoa ushauri mzuri Sana na wenye point kubwa kuliko umekaribia kufa niniLabda kama ana intention nyingine, ila chakula sio cha kumnyima mtu.
Mleta mada angalia maisha ya hao wanandoa kama bado wana struggle usile chakula chao, kama wameshayapatia kiasi kwamba chakula sio tatizo pokea tu kula na usiwaze ujinga, kama huyo dada anawaza ujinga kwa kukuhonga chakula akiona huna mpango nae ataacha tu.
Kikubwa usitembee nae, kosa kubwa sana kuchepushana huku mnaishi nyumba moja.
Haaaa nafuta kwa jina la yesu hayo maneno ya mwisho, napenda sana kuishi mkuu.Mkuu mbona umetoa ushauri mzuri Sana na wenye point kubwa kuliko umekaribia kufa nini
Namimi nafuta kwa jina la Yesu Mkuu uendelee kuishiHaaaa nafuta kwa jina la yesu hayo maneno ya mwisho, napenda sana kuishi mkuu.
Anyways nikiwa sijanywa balimi nakuwaga na ka akili ahueni [emoji1787]