Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo siku utajuta na hicho chakula, mkumbuke Yusufu wa Bible, alipokataa kumfanya mke wa boss ni nini kilimtokea.ni ngumu nikifikiri jinsi atakvyoipokea
Kuwa makini ndugu. Huyo itakua ni MBA- Married But Avairable na wewe ni bonge la SBU- Single But Used.Hapana mkuu, tunaheshimiana sana na pia mi sili vitu used
Sasa kumbe maamuzi tayari unayo,,,ulikuwa umemisi kutusumbua,wakubwa wenzio??Punguza Utovu wa Nidhamu Dogoo!!!Hapana mkuu me sili vitu used, nataka tu asinipe chakula chake
Kataa tu my son.Hapana naheshimiana na huyu dada hawezi kufika huko maana ananiogopa, nataka tu asinipe chakula chake
Mkuu umeandika sana, ila bado sijaona ushauri ninaoutaka hapo ebu basi jitahidi umalizie mwisho na jinsi ya kuepukana ili umake sense na uzi wangu...Piga menyu mzee ila uwe makini usije pigwa kimba. Siku hizi ukitaka kumla mgoni tigo, humli wewe unakodi wahuni wa stendi unawahaidi mzigo afu unaweka mtego. Ukimnasa mgoni unawavutia waya chapu wanakuja na mafuta. Wahuni wanakujazia maziwa tuu mpaka kwenye utumbo mdogo.
Na ole wako unye wakati unapigwa mashine😁
Hilo nalo nenoALete demu geto apike then ampelekee.Stori itaisha
Endelea tu kula chakula Cha Mwanaume mwenzio!!Hapana naheshimiana na huyu dada hawezi kufika huko maana ananiogopa, nataka tu asinipe chakula chake