Mke wa Jirani yangu ananipa chakula kila apikapo

Mke wa Jirani yangu ananipa chakula kila apikapo

Habari wakuu,

As the head above explains, Imekuwa kama inataka kuwa kawaida tu sasa kila nishindapo nyumbani kuna mke wa jirani yangu ikiwa atapika mchana na kujua kuwa nipo basi ni lazima atanigongea mlango baada ya chakula kuiva.
ke bila kumfanya ajisikie vibaya?
Huu mwezi hautaisha bila kumwagiwa oil na mwenye gari lake
 
Mbwa anapoitwa na chatu Ili amezwe, huenda akiliia Kwa sauti ya huzuni sana, lakini kamwe haezi thubutu kukataa wito wa chatu,

Subiri tu yatakayokupata yawapatayo WAPUMBAVU!!!!
 
Huenda akawa anafanya Kwa Nia njema Ila fikra zako ni ovu , anyway dini Kando .. maadili Kando .

Ni mwanadamu huyo hamu anazo
 
Back
Top Bottom