tzhosts
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 403
- 510
ALete demu geto apike then ampelekee.Stori itaishaKusema naomba usiwe unaniletea kuna ugumu gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ALete demu geto apike then ampelekee.Stori itaishaKusema naomba usiwe unaniletea kuna ugumu gani
lee we mpole sana😂Ndomana nimemwambia nimemuelewa...sitampa tena chakula changu 😌😌
Huu mwezi hautaisha bila kumwagiwa oil na mwenye gari lakeHabari wakuu,
As the head above explains, Imekuwa kama inataka kuwa kawaida tu sasa kila nishindapo nyumbani kuna mke wa jirani yangu ikiwa atapika mchana na kujua kuwa nipo basi ni lazima atanigongea mlango baada ya chakula kuiva.
ke bila kumfanya ajisikie vibaya?
SawaNdomana nimemwambia nimemuelewa...sitampa tena chakula changu [emoji18][emoji18]
Unapenda mseleleko mwanaume mwenzako hawezi kukulisha Bure, ukila nawewe lazima uliweUngekuwa na ubingwa usingeandika vitu ambavyo hujaulizwa...acha shobo
nilitegemea povu moja matata sanalee we mpole sana😂
usinichukulie serious my friend😂😂🙏🏼Napauka mdomo!!?? 😁😁😁 unanijua mimi wewe? anyways hii JF imekuwa kama Facebook tuu kwa sasa
jamaa amekutukana wewe ukamchora😂Ni kweli 😌,, mimi nlikua namuonea huruma anapauka tu midomo mda wote,, nampa chakula anaona najipendekeza..ubinadam kazi sana aisee 🤦♀️🤦♀️
Tatizo huwa siwazingatiagi watu wanaonidiss ndomana😂😂😂jamaa amekutukana wewe ukamchora😂
safi👍🏾
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Yaani sirembi nakupa kitu na box napita hivi.