Jackson News
Member
- Mar 24, 2024
- 32
- 25
DUh Mikopo Hii Tazama Huyu Aliekopa kwa mamaye kilichomkuta Bonyeza hapa Instgram Habari & UdakuWale wanasheria wa Twitter aka x, wajitolee kumsaidia apate japo chochote. Namuonea huruma maana kila siku jamii itam-label kwamba alikopa mpaka akasababisha kifo cha mumewe😭😭😭, hapo mawifi watamsimanga hatari
DUh Mikopo Hii Tazama Huyu Aliekopa kwa mamaye kilichomkuta Bonyeza hapa Instgram Habari & UdakuLeseni ya kutoa mkopo ..then unaua amejiharibia brand
Hiyo ni bahati mbaya inayotokana na umaskini. Wote hao marehemu aliyegomea deni la elfu sitini, mke wa marehemu aliyekopa na hao wafanyakazi. Wafanyakazi wanalipwa kidogo, wanapewa malengo ya makusanyo makubwa, wana hali ngumu bila kulazimisha kulipwa hawapati kamisheni na wanapunguzwa kazi kuonekana hawasaidii kampuni.Ila hawa jamaa lakini, walishidwa hata kumpiga miguu mpaka washambulie shingo kweli? Hapa kesi ya kuua kwa kusudia inawakwepa kweli?
Hawatengenezi brand hawa hamna kilichoharibika. Wanaokopa wana njaa hawatafuti brand wanatafuta hela tu.Leseni ya kutoa mkopo ..then unaua amejiharibia brand
Scenario yako ni tofauti na kilichotokeaUkigongwa na gari la CocaCola utataka kampuni ifungwe sababu haikupewa kibali cha kugonga watu?
Hayo makosa ya wafanyakazi sio maelekezo ya kampuni. Yeye alileta ugomvi wakamzidi bahati mbaya na sheria ichukue mkondo wake. Kampuni haiwezi fungwa kwa makosa binafsi ya wafanyakazi wake.
Haya yote ccm ndo chanzoKwa kweli tuna hali mbaya hatari
Imagine tunaishi Nchi ambayo ukioga na kuvaa vizuri unaulizwa Leo una safari ya wapi Kijana wangu 😜🙌
Hawa kukopesha na kudai ndio core business ya leseni yao ukitekeleza tofauti core business ya leseni yako inatakiwa regulator wa leseni yako akufutie leseni maana umeshindwa kufuata sheria ya utekelezaji wa leseni yakoUkigongwa na gari la CocaCola utataka kampuni ifungwe sababu haikupewa kibali cha kugonga watu?
Hayo makosa ya wafanyakazi sio maelekezo ya kampuni. Yeye alileta ugomvi wakamzidi bahati mbaya na sheria ichukue mkondo wake. Kampuni haiwezi fungwa kwa makosa binafsi ya wafanyakazi wake.
Kabisa, Umasikini unatufanya tuzae watoto wenye udumavu wa akili pia Kwa kukosa mlo kamiliAisee,
Nachukia Sanaa umaskini 98% wa Tz sisi ni maskini Sana wa Hali, Mali,na kipato
Huyu dada anajikanyaga na kujikana kabisa kwenye maelezo yakeJuma Said Mfaume, mkazi wa Mbagala Mlandizi, Pwani, amefariki dunia baada ya kupigwa na watu wanaodaiwa kuwa wafanyakazi wa Kampuni ya OYA Microcredit. Tukio hilo lilitokea alfajiri ya Jumanne, tarehe 8 Oktoba 2024, wakati wafanyakazi hao walipofika nyumbani kwake kudai marejesho ya mkopo wa Tsh 60,000 ambao mke wa Juma, Khadija, alikuwa ameshindwa kulipa kikamilifu.
Baada ya mabishano, wafanyakazi hao walitaka kuingia ndani ili kuchukua mali kama fidia ya mkopo. Juma alikataa, hali iliyosababisha ugomvi ambapo mmoja wa wafanyakazi hao alimshambulia Juma kwa kigongo shingoni. Baada ya kuanguka, walimbeba na kumpeleka hospitali, ambako alipoteza maisha.
Khadija, mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyochukua mkopa huo
Soma:
=> Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
Tangu Mwaka 1961 tumeendelea kulowea kwenye Umasikini tupuHaya yote ccm ndo chanzo
Unadinywa na p.diddy kocho wewe...hivi pesa inaweza kununua roho ya mtu.Kifo ni kifo tu
Mtukane na raisi wako pia mimi nimetoa nukuu tu🙏Unadinywa na p.diddy kocho wewe...hivi pesa inaweza kununua roho ya mtu.
Watu wengine ni zaidi ya wangese humu....kmmyk
Hata vidole vyako mwilini havifananiHawa nao wake zetu wanashida elfu sitini ndio ya biashara Gani?