BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Apelekwe jandoniBaba O mbea, anatoa nje mambo ya ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apelekwe jandoniBaba O mbea, anatoa nje mambo ya ndani
KabisaApelekwe jandoni
Hii ni nzuri na inavutiaMwambie hapo kategwa kuulizwa 'hukupata wa kum**?', hapo ilitakiwa akatae kabisa aape na alambe hadi udongo amuambie 'sijapata mke wangu na siwezi nilikuwa nasubiri tu tamu yako'..!.
asingeamini vile ambavyo angepewa yote na angekuta Mama O yuko wet down there..!!
'Ishini nao kwa akili'...!
umetishaaaMwambie hapo kategwa kuulizwa 'hukupata wa kum**?', hapo ilitakiwa akatae kabisa aape na alambe hadi udongo amuambie 'sijapata mke wangu na siwezi nilikuwa nasubiri tu tamu yako'..!.
asingeamini vile ambavyo angepewa yote na angekuta Mama O yuko wet down there..!!
'Ishini nao kwa akili'...!
Wakwetu habari ya qwaresma.?umetishaaa
Kwaresma njema kabisa wakwetu..sijui upande wako dearWakwetu habari ya qwaresma.?
Ni swali la aibu sana kama mimi nakurudisha kwenu tena nakuuliza mara 3 nisiporidhirka nakutimua. Swali la udhalilishajiTunajua ni ngumu mwanaume kuvumilia zaidi ya wiki mbili, kaka yako kawezaje miezi 6? Lazima tuhoji
Swali la kichokozi tu..wife kakumiss unamvuta unampa denda la nguvu then unamtia kibabe..kwisha habari yake. Sio kila kitu mnachukulia seriousNi swali la aibu sana kama mimi nakurudisha kwenu tena nakuuliza mara 3 nisiporidhirka nakutimua. Swali la udhalilishaji
precedent ya background yenu ni muhimu pia kudictate jibu na mapokeoSwali la kichokozi tu..wife kakumiss unamvuta unampa denda la nguvu then unamtia kibabe..kwisha habari yake. Sio kila kitu mnachukulia serious
Ni kweliprecedent ya background yenu ni muhimu pia kudictate jibu na mapokeo
Kisaikolojia uko balanced sanaNi kweli
How?Kisaikolojia uko balanced sana
Anamaanisha kuwa muda wote huo akiwa kwao, lazima kaka yako atakuwa kapata pa kujishikizaSijui hata nianzie sehemu ipi kuelezea na wana MMU mlivyo wavivu kusoma sired ndefu.
Mama O alienda kwao kujifungua watoto mapacha huku kaka akiwa bize kutafta pesa, mama O kajifungua salama akaongeza miezi mitatu kubaki kwao ilipo timia miezi 6 ya mtoto ndio akarejea kwa kaka (baba O).
Mama O alipokelewa vizuri na mashamrashamra kama yote ya 40za mapacha. usiku huo hakuomba game (anasema baba O) kwamba alikuwa na furaha ya mapacha, na ha mama O hakuonesha uhitaji wa hilo.
Siku tatu zilipo fika baba O Akamwambia ”nilimiss”[emoji1][emoji1] mama O kwa mshangao akamwambia “ kwani siku zote hizo hujapata wakumtia [emoji15]”
Baba O anasema hakumjibu kitu ilibidi alale ndio akaja kuniuliza sisi wasicha huwa tunamaanisha nini kuitamka hiyo sentensi kwa mumeo? nikiri tu kwamba mimi sijawahi na sijui amemaanisha nini hapo.
Nafikiri nimeandika walau nimesomeka eti huyu mama O amemaanisha nini kwa kauli hiyo?
Karibuni.
How?
Utu uzima dawa😜. Thanks kwa kuniona hivyo.Siwezi kueleza but uko na brain Kali, umetulia ni mtii hata kama unajua vitu unajua mwanaume alivo na anatakaje, basically speaking uko super for permanent association. Kwa uchache