Hakuna copy mkuu g og yuko mmoja tu mpwaaaaaNani sasa Mimi niliye Uganda au hao Waumini wake? Hapa nawasaidia tu na Taarifa zote nazipata kutoka kwa Watu Wawili Waaminifu kutoka mahala fulani panapoaminika Tanzania.
Na baadae nakuja na Exclusive yake nyingine hivyo Usibanduke hapa JamiiForums na kwa hii ID kwani Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE na hakuna wala hakutotokea mwingine.
Kawachapa nao kweli kweli Wake za Watu na Mabinti wa Vyuo Vikuu. Ole wao TACAIDS mwaka huu waje na Takwimu chache za Maambukizi ya UKIMWI Mkoani Dar es Salaam hasa Wilaya ya Temeke.Kiboko yao kweli kweli
Safi kabisa Wakome, Mamamamae...Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.
Na kawaambukiza Wengi sana Mkuu.Amakweli tanzania ni chaka la utajiri..kwamba anaweza kuja mkongo hapa na akatajirikia hapa kwa kufungua kanisa na zaid hio haitoshi kuwaambukiza ukimwi wanawake kwa kuwalaghai kulala nao
Nimependa zaidi ulipomalizia hapo mwishoni.Safi kabisa Wakome, Mamamamae...
Na wengine wamoo humuuu wanawaza kwenda kupimaNa kawaambukiza Wengi sana Mkuu.
Huyo mkewe kakosa nini?Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.
Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.
Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.
Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
Akamatwe kwani anawasiliana nae kila mara kwa Simu kujua yanayoendelea huku Mkewe sasa akihangika kuhamisha Fedha zake kutoka katika Benki moja Kubwa na Maarufu ya Tanzania.Ni kinyume na sheria kumkamata maana muhalifu siyo yeye ila ni mume wake anaepaswa kukamatwa ni mume wake
Wamezidisha ushambaNimependa zaidi ulipomalizia hapo mwishoni.
Mkuu nimecheka hadi basi.Na wengine wamoo humuuu wanawaza kwenda kupima
Na mwingine tabata kala na anasamba za ukimwi kama ana akilii nzuriiiNa bado kuna kanisa moja pale Kitunda Nyantira, lina Nabii mmoja anajiita sijui Uswege, naye msanii sana! Serikali imtupie macho.
serikali ifreeze pesa zake haraka. kama kuna wahusika humu ndani washughulikie haraka. freeze hizo account.Akamatwe kwani anawasiliana nae kila mara kwa Simu kujua yanayoendelea huku Mkewe sasa akihangika kuhamisha Fedha zake kutoka katika Benki moja Kubwa na Maarufu ya Tanzania.
inakuwaje mchawi anakuja kupiga pesa hapa halafu anaondoka nazo wakati tunaona? huko congo wanasema alikimbia baada ya kufanya maajabu, akaona Tanzania ni chaka la bibi. na kweli kapiga na kadanganya watu hadi waliokuwa viongozi.serikali ifreeze pesa zake haraka. kama kuna wahusika humu ndani washughulikie haraka. freeze hizo account.
Mkuuu kama uaminii before hili tukiooo wakishafanya haya mkuu ..serkl inamkono mrefuserikali ifreeze pesa zake haraka. kama kuna wahusika humu ndani washughulikie haraka. freeze hizo account.
πππππIla alikuwa anawalazimisha Kwan mkuu au walikuwa wanataka miujizaa ..hvyo wakakubali kuvua Pichu,na usikute na Kuna wanaume pia wamevuliwa ubingwaaaKawachapa nao kweli kweli Wake za Watu na Mabinti wa Vyuo Vikuu. Ole wao TACAIDS mwaka huu waje na Takwimu chache za Maambukizi ya UKIMWI Mkoani Dar es Salaam hasa Wilaya ya Temeke.