Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Nimejitahidi kuwa msomaji tu nimeshindwa! Naomba nikuulize, kama kweli alisomeshwa na wazazi wake hivyo hela yake ni kujali wazazi wake, je mume alisomeshwa na nani? Je, yeye hana haki ya kuwahudumia wazazi wake?
Mwanaume ni kichwa cha familia
 

Mie naongea very rarely
Sana akiniudhi
Halafu huwa naongea vya kumchoma

Hivyo huwa anatafuta njia mbadala nisiongee

Kupigana hapana aisee
 
Kaeni na viongozi wa dini mzungumze nao na wawaombee. Shetani yupo kazini hapo. Kama hamuamini katika dini tafuteni wasuluhishi watu wenu wa karibu wawasaidie. Mkiongea hayo matatizo yenu na watu wa karibu huyo mke wako atabadilika mwenyewe maana atapata aibu kutokana na ushauri mtakaopata.
 
Muda mwingine unamwangalia tu unatafuta Fanta passion ya baridiii au unaongeza ice cubes

Unakunywa huku unamwangalia hasira zitaondoka automatically

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘ŠπŸ‘Šleo shost umegeuka mlokole πŸ˜‚πŸ˜‚eti nachekaaw
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji109][emoji109]leo shost umegeuka mlokole [emoji23][emoji23]eti nachekaaw

Hahahaa ujue hapo ukijifanya kupiga vyombo utajikuta unaanzisha upya na hamtamaliza
Bora unywe Fanta yako tu
 
ana tiwa nje huyo kabisaaaa
 
Hahahaa ujue hapo ukijifanya kupiga vyombo utajikuta unaanzisha upya na hamtamaliza
Bora unywe Fanta yako tu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘πŸ‘πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯...aged with grace...thts nice!mie nikipiga masanga huwa nakuwa na dharau sana sana 😊..naweza kukaa kimya tu nikawa nakushusha tuπŸ˜‚πŸ˜‚...
 
unafik siujui aisee kila mtu na kuamini kwake babu we
Ni ujinga kufikiri wewe mwanamke umesomeshwa ili ukahudumie wazazi wako! Je mwanaume siyo binadamu? Kama wewe umesomeshwa na wazazi wako uwahudumie na mwanaume amesomeshwa na wazazi wake ahudumie wazazi wake! Kwa mantiki hiyo nani atahudumia familia yao? Michepuko?

Nikueleze mzazi lazima asomeshe watoto alowazaa kwa raha zake ( mwanamke wazazi wake na mwanaume wake pia). Hivyo wewe na mwanaume wako ni jukumu lenu kuhudumia watoto wenu ambao kwa raha zenu mmewaleta duniani! Jukumu lenu si kuhudumia wazazi ila watoto wenu! Ni mwanamke mpuuzi kama zenc anayeona kazi yake kuhudumia wazazi baadala ya watoto wake aliochekecha kiuno kuwazaa
 

Siku hizi wanaume wanataka haki sawa na wanawake

Nawachek nasema hihihiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…