Mke wa Said Fella unatuharibia wadada hapa mjini

Mke wa Said Fella unatuharibia wadada hapa mjini

Hivi nyinyi mnataka TFDA ifanye nini??? kwani hawajui madhara ya mikorogo hiyo???
Tujuilize kwa nini kina dada zetu wanapenda sana kutumia hiyo mikorogo?
Jee haiwezekani chanzo cha yote haya ni sisi midume na kasumba zetu za kupenda kina dada wanaong'ara????
Cha hayo yote ni baadhi yetu sisi wanaume, mpaka issue ya makalio makubwa chanzo ni wanaume.
 
Umeongea jambo la maana sana.Nimekutana na mtu katumia sabuni ya maji zilizotengenezwa na hawa "Wajasiliamali" wa Mitaani.
Imemuadhibu yeye na nguo zake.Amechubuka mikono na vidonda juu kama kaungua na moto,mikono ipo hoi bin taabani.Nguo alizoloweka kwa sabuni hiyo zimechuja rangi na ukizishika zinapasuka kama zimemwagiwa maji ya betri.Sabuni yenyewe povu lake likikolea ukiinamia dishi unaanza kutoka machozi kama umeingiliwa maji ya vitunguu maji.

Hili ni tatizo kubwa sana,Mamlaka husika kama Wizara ya Viwanda na ile ya Afya,chini ya Mawakala wake wa viwango kama TBS na TFDA wachukuwe hatua stahiki.Kuna watu mitaani wanakufa sbb ya kemikali hizo ambazo watu wanazozichanganya hawana utaalamu wowote.Serikali ni kama "Baba" ichukue jukumu la kulinda "watoto" wa familia yake.

Huku kwenye Kuku wa kisasa ndio tunalishwa kila aina ya kemikali.Vidonge vya kila namna vya kukuza mapaja na vidali vya kuku.Kwa Mangi mkaanga "mdudu" kila weekend unapata kilo mbili na kachumbari za Ilula."Mdudu" ili anenepe na kutoa kilo nyingi na faida kwa Mangi lazima atiwe ARV ili anenepe.Nyanya ya Doma na Ilula ili isivamiwe na wadudu inapuliziwa kemikali ili ikue kwa "starehe"Na hii ni kwa sbb wakulima wengi wanatenda kazi zao bila wataalamu wa kilimo.

Hali ni mbaya;kila mahali sasa ni balaa.Wazee wetu wa Kipemba wauza pweza na mchuzi wake kwenye vituo vingi vya daladala wana-mix mchuzi wa pweza na mkuyati,mchuzi wa pweza na vidonge vya viagra,mchuzi wa pweza na "ile dawa ya kusukutua Mama yeyoo".Hii yote wanafanya ili kuvutia wateja.

Unakunywa mchuzi wa Pweza unadhani ni nguvu za zao la bahari,kumbe ni yale mambo ya San Abacha.Watu wanapiga show mpaka ya Mama Yeyoo inawaka moto.Hakika si kina dada tu wasio salama na mikorogo,hata akina Baba/kaka nao si salama sana kweny kilo za mdudu na mchuzi wa pweza.Kemikali ni kemikali...iwe kwa njia ya kupaka au kutafuna.Wote hatuko salama.
 
mimi siamini kipodozi chochote hapa bongo
ndo maana natengeneza mafuta yangu ya nazi kila week najipaka
unakuta mtu kachanika sijui michirizi utadhani nyoka mjane wa miaka mia
bora nionekane mshamba
natamani kuongeza chura wangu kidogo maana huku mjini msingi chura ila nitafanya tu mazoezi
Siingilii mtazamo wako kabisaa, mengine yote umesema vyema ila hapo kwenye kuongeza chura utapotea. .......ninavyoifahamu hiyo chura yako, inatosha kabisaaaaa.
 
Screenshot_2016-09-07-11-53-17-1.png
Story bila kapicha, hainogi
 
Huyo alivyo jichubua ukikaa nae karibu huwa wanatoa harufu flani kama mzoga! TFDA sijui wanafanya kazi gani, Bidhaa za Tanzania huwa zinaingia nchini zikiwa na nembo ya tbs kabisa!!
😀 harufu vepee
 
Duh!
Una hasira nao.
Pole sana.
ila vyanzo na visa vingi vya wanawake kujichubua nadhani ni wanaume.

Ila mie kwa uchunguzi wangu, naona wanawake wa mitaa ya fujo ie Mbagala, Manzese, Tandika, Tandale ndo wanaongoza.
Ila ni nadra sana kwa mwanamke wa Masaki au Oysterbay au huku Masaiti kumkuta amejichubua.
Huwa mpaka leo bado sijapata jibu
Mi binafsi sivutiwi na mwanamke aliejichubua, maana nishakutana nao najua walivyo ndani.

na baada ya miaka ka ndo umeoa atavyoanza kuharibika uso utatamani umuache
 
Yule atakuwa chura wa mvua za Vuli.
Kuna dada mmoja alisema kuwa aliwahi kumbinya Wema makalio...makalio yalibonyea.
Ila Muna chura wake wa godoro la Comfy.
Chura leo yuko tako hili, kesho tako lile
ahahaaa hata wa wema na snura yaani hawa vyura wa dar hawaeleweki kabisa! kwani wametokea mto gani eti
chura analegea mpaka mguuni?
hivi wanakunyaje kina wema?
 
Siingilii mtazamo wako kabisaa, mengine yote umesema vyema ila hapo kwenye kuongeza chura utapotea. .......ninavyoifahamu hiyo chura yako, inatosha kabisaaaaa.
kuongeza chura kwa zoezi nayo ina ubaya mkuu?
 
Kama kila binadamu wana jua madhara ya vitu wanavyo tumia basi hamna haja ya kuwa na TFDA kwasababu wana pokea mishahara ya walipa kodi Pasipo kufanya kazi!!
Tatizo langu mimi ni kwamba tunafanya mambo ya kipuuzi halafu tunamlaumu third party. TFDA mara nyingi inatuelimisha kupitia vyombo mbalimbali vya habari kuhusu madhara ya mikorogo pamoja na madawa mengin
 
Mmmmh, uko vzr my dada: "kwnza ameng'aa kawashinda hata wazungu mpka anatsha kawa kama nyau la kizungu plus anavojipaka hyo miMake up everytme everyday ni kituko cha karne."

kwnza ameng'aa kawashinda hata wazungu mpka anatsha kawa kama nyau la kizungu plus anavojipaka hyo miMake up everytme everyday ni kituko cha karne.
 
Mi binafsi sivutiwi na mwanamke aliejichubua, maana nishakutana nao najua walivyo ndani.

na baada ya miaka ka ndo umeoa atavyoanza kuharibika uso utatamani umuache
Kabisa.
Mwanamke anayejichubua kwanza ananuka akipigwa na jua.
Au usiombe upande nae haya magari madogo halafu mfunge vioo, muwashe AC...harufu.
Mie nina uzoefu na hawa wanawake wanaojichuna.
Wengine tuliowahoji wanakiri kuwa waume na wapenzi wao waliwashawishi
 
Mmmmh, uko vzr my dada: "kwnza ameng'aa kawashinda hata wazungu mpka anatsha kawa kama nyau la kizungu plus anavojipaka hyo miMake up everytme everyday ni kituko cha karne."
why??
 
ahahaaa hata wa wema na snura yaani hawa vyura wa dar hawaeleweki kabisa! kwani wametokea mto gani eti
chura analegea mpaka mguuni?
hivi wanakunyaje kina wema?
Bora hata wewe umejiuliza wanakunyaje...mie huwa najiuliza wakati wa lile tendo, ile style ya kifo cha mende, na mikorogo ile na mtako mbubujiko ule....mwanaume anapitaje?
Ila wanaume zetu hawa wana siri nyingi sana
 
Back
Top Bottom