JMipicha
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 704
- 1,083
Unaoshwa miguu huku kyupi iko nje
Unaliwa kimasihara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaoshwa miguu huku kyupi iko nje
Rahaaaa.Sawa, halafu unajiskiaje
Daaah Ila nyie wake zetu...kwani wewe unashindwa kujikata na kusugua kucha ukiwa kwako, Tena mbele ya mmeo ili unapoinua mguu mmoja aone mpaka ndani?Rahaaaa.
Daaah Ila nyie wake zetu...kwani wewe unashindwa kujikata na kusugua kucha ukiwa kwako, Tena mbele ya mmeo ili unapoinua mguu mmoja aone mpaka ndani?
Badili Tabia, umeanza lini hii tabia?[emoji23][emoji23]Waosha miguu oyeee......
Yaani wanaanza vizuri vere purofesheno...kusugua miguu...kucha...kuzikata...
Halafu taratiiiibu anaanza kutafuta angle yako.....
Atamasage nyayo.....
Atapandq mpaka kwenye kifundo huku anakuchora kwa chaaati
Atamasage supu zote na ugoko.....huku anakuzooo.
Kisha atakuwa anapita pita mpaka mwanzo wa mapaja........
Kwisha habari yake......... yaani mpaka hapo anajua wapi panamkoleza mteja wake.....
mbona nyie mnatembea na wale vidada vinavowafanyia scrub au massageOyaaa, kuna wanawake wamekuwa wameyakuta hayo maisha ndani ya familia .
Suluhisho.
Mwanaume nenda kwa hao wapaka rangi na Waosha miguu.., akuelekeze, ukanunue mazaga mazaga yaani mavifaa yao.
Alafu Anza kuwa unamuosha mkeo miguu angalau mara mbili kwa wiki na kumpaka Rangi, angalau kila wiki mara moja.
Swali ni je, ukiwahi kufa na umemzoesha itakuaje?
Jibu ni kwamba, kama ni kuliwa, hata ukiwa hai analiwa tu bila shida.
Mwisho...Hamna watu wanaokula papuchi za bureeee kama vijana waosha miguu na kucha.
basi na nyie msiende kufanyiwa massageMke wa mtu mwenye kujiheshimu hawezi kwenda kuonshwa miguu ,
Kuoshwa miguu ni dalili ya wazi ya kuvaa nguo fupi kimini lengo lake ni kuonyesha mguu wa watu kupata soko hivyo ni dalili za umalaya na sio kabisa katika kundi la urembo
Waosha miguu oyeee......
Yaani wanaanza vizuri vere purofesheno...kusugua miguu...kucha...kuzikata...
Halafu taratiiiibu anaanza kutafuta angle yako.....
Atamasage nyayo.....
Atapandq mpaka kwenye kifundo huku anakuchora kwa chaaati
Atamasage supu zote na ugoko.....huku anakuzooo.
Kisha atakuwa anapita pita mpaka mwanzo wa mapaja........
Kwisha habari yake......... yaani mpaka hapo anajua wapi panamkoleza mteja wAKE
Wape vidonge vya maana wamezidi kukariri maishaNyie nae.
Mnadhani ni rahisi Sana kuliwa kuwa ovyo eeeh?
Mwanamke lazima uwe na limits na ujielewe.
Unaenda kuosha miguu na micro mini unatarajia nini ? Si ataosha mpaka sketi/gauni inapofikia? Na ukikaa vibaya si atachungulia na nature ya wanaume ya kujaribu si atarusha ndoano?
It all comes back to your woman. What cloth is she cut from.
Kama ni wa kuliwa ovyo hata sio lazima akaoshe kucha Ili apate nyege....hapo tu jirani na home panamtosha.
Isitoshe foot spa zipo nyingi na sio zote wanahudumia wanaume so na wewe utachagua aende wapi.
mhh huyo atakuwa na ykUnaoshwa miguu huku kyupi iko nje
Hao waosha kucha ni washenzi sanaaa😂🤣😂🤣 daah!! aisee imbombo ngafu !
Scrub ya usoni? Hiyo haiketi ashki. Ukiona mwanaume mwenye mke anaenda kupewa massage ujue mke wake kafeli pakubwa. Hilo lilitakiwa alifanye mke.mbona nyie mnatembea na wale vidada vinavowafanyia scrub au massage
Uache, kucha jikate mwenyewe, miguu sugua mwenyeweWape vidonge vya maana wamezidi kukariri maisha
Mke anayeshikwa shikwa mwili wake na wanaume wengine huko mtaani hafai kuwa mke.Mkeo huwa anaoshwa miguu kisha kukaushwa na wataalamu wa kusafisha kucha?
Hii huduma imekuwa maarufu sana kwa wamama wa mjini, na wengi wao huwa wanapata huduma waume zao wakiwa kazini.
Mdau unasemaje juu ya hii huduma?
Zaidi soma:Mwanaume unaweza kukubali mkeo aoshwe miguu na kusuguliwa kucha na vijana wengine?
Nimekaa nimejiuliza sana lakini jibu linalokuja kichwani ni tofauti na ninayoyaona mtaani. Rejea kichwa juu. Una mke/mchumba unaweza kumruhusu asuguliwe miguu na kuoshwa kucha na vijana wanaofanya biashara hiyo? Una mume/ mchumba unaweza kukubali mumeo akafanye massage (kukandwa kandwa) na...www.jamiiforums.com
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wasiwasi wangu ni ujio wa waosha ku.ma....hayo mengineyo kawaida tu...