Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,777
Tutoke huu uzi twende kwenye wazee wa kuweka mzigo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Karibu fazaa hawaa kenge bilaa hivyoo watatuchezea sanaa yani utatunza mafala watakulaa tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutoke huu uzi twende kwenye wazee wa kuweka mzigo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Karibu fazaa hawaa kenge bilaa hivyoo watatuchezea sanaa yani utatunza mafala watakulaa tuu
Na maamuzi magumu yatahitajika maana mwanamke ukimlegezea anataka akuchukulie falaaa, sasa siku moja jamaa anatakiwa asale na huyo mwanamke akute mizigo nje na aambiwe ondokaa aone hao ndugu zake kama watakuwa nae karibu tena akiwa nyumbani m@maeeMwambie achague moja kati ya ndoa au kuendelea na wanaume wengine, na Mwambie kabisa kuwa endapo ukija gundua issue yoyote ya usaliti anakwenda kwao....kuwa na sauti yenye maamuzi magumu.
Sent from my EVA-L19 using JamiiForums mobile app
Brother hakikisha huwi na wivu kumzidi mkeo itakugharimu ishi nae kwa akili,mimi niliwahi kuwa na demu nikamfungulia mgahawa akawa anatafutwa hadi usiku wa manane ikafika december krismas nikawa na simu yake ikaingia msg whatsap "mery chrismas my love" kutoka kwa jamaa anaitwa kevi...allow nikawaza niipasue au nifanyeje ila nikatumia hekima nikamwambia demu kama anataka nimfanye kitu mbaya huyo jamaa waendelee wala sikuhangaika nae tena akaona nna msimamo Nikaona tu yeye mwenyewe anawafokea..... mwanamke ukimganda sana atapigwa tuu maana wao wameumbiwa wivu,mpe uhuru pia mpe mipaka yenye kumgarimuHivyo nilifunga biashara for a while nikitafakari nini cha
Mkuu kuhusu outing hilo ni jambo nilifanyalo angalau mara mbili kwa mwezi kutokana na ratiba za kazi zinavyo tubana wote wawili.Inaonekana mkeo sasahivi anataka kuingizwa mjini kwa nguvu za ndugu na marafiki. Na inaonesha hio biashara ilikuwa ina wasaidia mkweo na shemegi zako.
1 Mkataze wife kutoa namba yake binafsi na awe anawapa wateja namba ya biashara.
2 Mrejeshe wife kazini sababu akiwa busy na kazi hatokuwa na muda wa kuongea/text na wanaume mwengine sana kama akiwa nyumbani tu.
3 Ongea na wife juu ya rafiki yake(kuwadi) ili ajuwe nyendo zake, jiongeze kuongea na wife kama rafiki pia mtowe outing weekend ajuwe ana mume na aondokane na mawazo ya mwanaume.
4 Jenga familia yako usishuhulike na ukoo/familia ya mke wako.
5 Mwanaume ni general wa familia kuwa na mikakati ya kifamilia jinsi unavyotaka iwe.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hii nitazingatia pia mkuu.Brother hakikisha huwi na wivu kumzidi mkeo itakugharimu ishi nae kwa akili,mimi niliwahi kuwa na demu nikamfungulia mgahawa akawa anatafutwa hadi usiku wa manane ikafika december krismas nikawa na simu yake ikaingia msg whatsap "mery chrismas my love" kutoka kwa jamaa anaitwa kevi...allow nikawaza niipasue au nifanyeje ila nikatumia hekima nikamwambia demu kama anataka nimfanye kitu mbaya huyo jamaa waendelee wala sikuhangaika nae tena akaona nna msimamo Nikaona tu yeye mwenyewe anawafokea..... mwanamke ukimganda sana atapigwa tuu maana wao wameumbiwa wivu,mpe uhuru pia mpe mipaka yenye kumgarimu
Mkuu mimi mwanamke kutoa pesa bila kunishirikisha hapana, anampaje kaka yake bila kukushirikisha? Kuwa na sauti na msimamo uone huyo mwanamke atakavyokuwa hatafanya upuuzi huo, mwanamke ni msimamo.Mkuu kuhusu outing hilo ni jambo nilifanyalo angalau mara mbili kwa mwezi kutokana na ratiba za kazi zinavyo tubana wote wawili.
Ila kuhusu baishara kuwasaidia kwao hili pia nimelijua baada ya kutaka kuifunga biashara maana nilihitaji kujua hela jumla iliyopo ndio ananiambia kunahela amempa kaka yake kama laki 5 hivi .
Mengine nitayazingatia hasa hili la kuanzisha namba mpya ya biashara kwa ajili ya kuwasiliana na wateja wake.
Ahsante sana kwa ushauri mkuu.
Fuata huu ushauri. Usiumie moyoni bila sababu.Mkute huyo rafiki yake mpige marufuku aache tabia mbovu, najua kumuacha mke ni ngum aisee ukizingatia mnawatoto dah! Em kaa na huyo mwanamke mzungumze maisha yalivyo na jinsi kipindi akiwa single mother itakuwaje?
Yes, yes, he's the General of the family.Inaonekana mkeo sasahivi anataka kuingizwa mjini kwa nguvu za ndugu na marafiki. Na inaonesha hio biashara ilikuwa ina wasaidia mkweo na shemegi zako.
1 Mkataze wife kutoa namba yake binafsi na awe anawapa wateja namba ya biashara.
2 Mrejeshe wife kazini sababu akiwa busy na kazi hatokuwa na muda wa kuongea/text na wanaume mwengine sana kama akiwa nyumbani tu.
3 Ongea na wife juu ya rafiki yake(kuwadi) ili ajuwe nyendo zake, jiongeze kuongea na wife kama rafiki pia mtowe outing weekend ajuwe ana mume na aondokane na mawazo ya mwanaume.
4 Jenga familia yako usishuhulike na ukoo/familia ya mke wako.
5 Mwanaume ni general wa familia kuwa na mikakati ya kifamilia jinsi unavyotaka iwe.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Masihara tu hayo boss jikazeHapa nimeshamdukua naendelea kufuatilia nyendo zake bila kujua ingawa kuna rafiki yake nahisi ndio aliyemtafutia huyo bwana sasa hivi ndio anatumia simu yake.
Maana niliona SMS imetumwa akiomba simu ili awasiliana na huyo mtu.
Ahsante mzee wa kula tunda kimasihara.
Masihara wakafanyie huko kwengine sio kwa mke wangu.Masihara tu hayo boss jikaze
Mkuu nimeshamuweka chini na kumueleza msimamo wangu.Fuata huu ushauri. Usiumie moyoni bila sababu.
Mleta mada eleza vyema msimamo wako auelewe. Atabadilika. Usifikirie kuachana. Tatizo dogo hilo linatatuliwa.
Mkuu biashara niliiacha huru mikononi kwa wife sikutaka kuifuatilia hasa kwa jinsi alivyokuwa anaimudu wala sikutaka kuwa CAG kwenye hii biashara.Mkuu mimi mwanamke kutoa pesa bila kunishirikisha hapana, anampaje kaka yake bila kukushirikisha? Kuwa na sauti na msimamo uone huyo mwanamke atakavyo kuwa hatafanya upuuzi huo, mwanamke ni msimamo.
Mkuu biashara niliiacha huru mikononi kwa wife sikutaka kuifuatilia hasa kwa jinsi alivyokuwa anaimudu wala sikutaka kuwa CAG kwenye hii biashara.
Hivyo hata alivyokuwa akitoa hela kwa ndugu zake nilikuwa sifahamu. Ila angetoa hela kwa kunishirikisha wala nisingemkatalia.
Ahsante
Mkuu usihangaike kumchunga mkeo kama ni wa kuchapwa atachapwa tu tafuta pesa kwaajili ya maendeleo ya familia yakoHabari za jumapili wanajamvi.
Niende Moja kwa Moja kwenye mada inayoniumiza kichwa mpaka nakosa amani ya moyo kwa muda wa week sasa.
Mimi na mke wangu tangu tufunge ndoa huu ni mwaka wa tisa . Hatukuwahi kuwa na migogoro mikubwa ingawa mikwaruzano ile midogo ilikuwepo.
Sasa katika kipindi cha miaka sita ya ndoa yetu nilimuweka tu nyumbani sikutaka ajishughurishe na biashara yoyote. Mwaka wa sita wa ndoa yetu nilipata ajali ya pikipiki iliyopelekea mimi kuvunjika baadhi ya viungo vya mwili. Hivyo nilikuwa admitted Muhimbili hospital kwa muda wa kama miezi 3 kabla ya kuruhusiwa.
Kutokana na uwekezeji wangu kwa kipindi chote hiki wakati naugua hatukuwahi kupata Shida ya mahitaji ya nyumbani. Baada ya lile tukio nikajiuliza hivi ikitokea nimefariki Huyu mama ataishije na watoto wangu. Nikamshirikisha nimfungulie biashara ili aanze kujifunza mbinu za utafutaji. Nilipopona tukafungua biashara ya kufanya miamala ya simu na kuuza soft drinks jumla na rejareja.
TATIZO:
Miaka mitatu ya hii biashara imeanza kuniletea matatizo Kwenye ndoa. Wanaume wamekuwa wanapiga simu mpaka juma pili Siku ambayo wanajua hafanyi biashara na mbaya zaidi kuna mmoja nilikuta SMS za mitongozo na wife alikuwa ameshaingia king. Sasa nilimtafuta yule kijana na kuongea naye ingawa alisema alikuwa hajui kama yule mke wa mtu tangu sasa hatomsumbua tena. Mke wangu yeye alijitetea kuwa alimwabia yule kijan kuwa yeye ameolewa lakini aliendelea kumsumbua tu.
Hivyo nilifunga biashara for a while nikitafakari nini cha kufanya.
NDUGU WA WIFE:
Hawa watu walianza kuongea maneno ya hivyo sana kuwa mimi sitaki maendeleo ya ndugu yao baada ya kuona sasa hivi ameanza kufanikiwa ndio nataka kumrudisha nyuma bila kuangalia kiini cha tatizo. Wengine mpaka wakadiri kwenda mbali na kusema wao ndio walimpa mtaji niliwauliza ni kiasi gani cha mtaji mlimpa wanasema laki saba. Niliishia kucheka tu kwa sababu hiyo lakini saba haitoshi hata kulipia kodi ya hilo eneo kwa mwaka.
NINACHOOMBA :
Wadau ninachoomba kutoka kwenu ni mawazo jinsi gani niweze kuliweka hili jambo sawa iwe kwa kufunga kabisa biashara yenyewe au vyovyote vile ili mradi ndoa yangu irudi Kwenye amani kama. Mwanzo. Mama mkwe amenikasirikia hivyo yeye sioni kama ni mshauri mzuri kwa mke wangu .
Mniwie radhi kwa maelezo marefu ila nitasoma kila comment ili niweze kupata suluhisho.
Ahsante.
Show ya akina Diamond platnumz au show ya malaika band? [emoji125][emoji125]Sasa mkuu wewe humpi show kali kitandani au maana pesa ipo anatafutiwà bwana kwa nini?
Show ya kina sholo sholo mwamba 😅 sio ya kumpakia mkongo saidi kichwaShow ya akina Diamond platnumz au show ya malaika band? [emoji125][emoji125]