Mke wangu alibadilika baada ya kumfungulia biashara. Nifanye nini kuokoa ndoa yangu?

Mke wangu alibadilika baada ya kumfungulia biashara. Nifanye nini kuokoa ndoa yangu?

Show ya akina Diamond platnumz au show ya malaika band? [emoji125][emoji125]
Kaka nisikilize kwa mara nyingine tena kwa picha nililoliona kwa jamaa na alivyo jieleza.

Ni kwamba huyo baby mama wake anasikia sikia kuna bwana mtamu mtamu nje na anayajua mapenzi na kubembeleza na haya anaambiwa na huyo mama shoga ake wakiswahili, yaani wanamuingiza mjini kwamba huyu wa njombe hakupi hivi na hivi na sababu kubwa ni kwamba huyo maza anataka naye afaidi salio la biashara ya hawa watu washaona biashara yao ipo located na wana earnings.

Na binti wa jamaa naye bila kujua maskini anavutwa na sauti ya maneno ya mama mswahili, inawezekana kuwa baby mama wajamaa pia ni mashallah kama hajafungasha furushi huko mkiani sijui😅 Ndiyo maana mleta mada ana wivu akafunga na kazi 🙅🙅🙅

Sasa hapa conclusion ni kuwa jamaa amuombe baby mama apunguze mazoea na huyo rafiki yake maana ndiyo jini mkata kamba mzuri mzuri.
Hawa vijana wa bodaa nikuishi nao kwa akili mke wake awapige pini yeye.
Mtoa mada soma ushauri hapa chap.
 
Hapa nimeshamdukua naendelea kufuatilia nyendo zake bila kujua ingawa kuna rafiki yake nahisi ndio aliyemtafutia huyo bwana sasa hivi ndio anatumia simu yake.

Maana niliona SMS imetumwa akiomba simu ili awasiliana na huyo mtu.

Ahsante mzee wa kula tunda kimasihara.
Fanya hivii mdinye huyo rafiki yake alafu utengeneze mazingira mkeo ajue uyo rafiki yake ni msaliti anataka kumharibia ndoa yake
 
Kufunga biashara wala hakutatui tatizo.......

Kinachotakiwa ni yeye kumshinda shetani!!!!

Pia mfanyie kazi penzi lenu lirudi upya!!!!
 
Fanya hivii mdinye huyo rafiki yake alafu utengeneze mazingira mkeo ajue uyo rafiki yake ni msaliti anataka kumharibia ndoa yake
Atampwerepweta bure huyo si size yake 😝😝😝😝
 
Mkeo ndio anavutia kwenye biashara hiyo ndio maana unaona mnapata, cha msingi muweke chini mueleze nini hutaki na hupendi katika kaz hiyo Ili muendelee kupiga pesa na hao ndgu acahana nao wasipende sana kuangilia maisha yenu, wapambane na yao wew wala wasikuumize kichwa watakaa sawa tu baada ya muda
 
Mrudishe kwao hata kwa miezi mitatu, alafu kula mikausho mikali. Alafu yeye mwenyewe atajifunza kama mama yake,hao ndugu zake na hao jamaa zake wanaomtumia meseji wataweza kumhudumia na kumtunza kama ufanyavyo....akirudi atakuwa na funzo la maisha.
 
NDUGU WA WIFE:

Hawa watu walianza kuongea maneno ya hivyo sana kuwa mimi sitaki maendeleo ya ndugu yao baada ya kuona sasa hivi ameanza kufanikiwa ndio nataka kumrudisha nyuma bila kuangalia kiini cha tatizo.

Wengine mpaka wakadiri kwenda mbali na kusema wao ndio walimpa mtaji niliwauliza ni kiasi gani cha mtaji mlimpa wanasema laki saba.

Niliishia kucheka tu kwa sababu hiyo lakini saba haitoshi hata kulipia kodi ya hilo eneo kwa mwaka.

Hapa ndio tatizo lilipoanzia inaonekana una mke muongo na ndugu waswahili Sasa hapo ni kuwa makini na ukaze mkanda haswa maana ukicheka na nyani utavuna mabua.

Tabia za uongo unakwenda na mambo ya kificho ambayo inawezekana mkeo ameshaanza kuonja dudu za nje na kupitia hiyo biashara inamuweka karibu na dudu nyingi zaidi kwaiyo kama hana akili hiyo ndoa imeshaingia mdudu ndio maana nakuomba uwe makini na ufunge mkanda

Ndugu waswahili inawezekana mkeo anaenda kuchukua pesa kwa ndugu bila wewe kujua anafanyia mambo yake ambayo hakushirikishi na ndugu wanajua hivyo either wanafaidika au wanamjaza mkeo ujinga akaze na biashara ili awe huru kutoka kwenye ndoa kiufupi hawafurahii hiyo ndoa
 
Mkuu
Well said , dhamira yetu ni Nzuri lakini inataka kutuharibia ndoa. Swala la kufanywa ni lengine ila kugundua ndio Shida. Afanywe lakini asioneshe ishara hizo mbele yangu.

Nimeshaongea yote hayo ila napata Shida kwa ndugu zake hawamshauri kurekebisha ndoa yake bali wanamfundisha kukaza ili aendelee na biashara yake.

So nitazingatia pia ushauri wako Mamndenyi

Ahsante
Tafuta mtu muwekeni hapo....vinginevyo funga hiyo biashara ndugu....utachapiwa kimya kimya,hadi uje ugundue utakufa...na mwanamke ataendelea na raha zake...UELEWE
 
Mwanamke ni kiumbe mshamba sana wa asili, ishi nae kwa akili

Mtanisamehe wanawake.

Exposure kdg inamfanya awe limbukeni

Chagua kati ya biashara au ndoa.Hapo huweZi kupata vyote.

Na ndugu nao wanamfundisha kuharibu ndoa,balaa la pili hilo.Kwanza ndugu anaanzaje kuzoea ndoa yako?anaanzia wapi?

Kitu chochote kinachoweza mpa kibri mwanamke kuwa nacho makini maana kitampa kweli kibri tofauti itakuwa level ya kibri itatofautiana.
Mwanamke anapata kibri kwa vitu simple sana very simple things tena vile ambavyo unatafanya kwa upendo na huruma yako kwake.Be careful
 
Daah mm nishaamua kesi kama hizo tatu nazote jamaa zangu walifanya maamuzi magumu,Chagua biashara ao ndoa hapo ushatijia kwenye maagamivu tu mbali na yy kumdhania Anaweza kufanya uzinzi...!
Kama kutakuwa kuna uwezekano tafuta mfanyakazi Mkeo arudi nyumbani ili umalize plesha na upande wakwao.....!
 
Nakushauri usisi sikilize maneno ya ndugu zake. Kama ni maendeleo ya dada yao wangempa wakati yuko kwao. Wewe simamia familia yako kama mwanzo. Binafsi siamini katika mafanikio ya hawa viimbe. Kama unataka ndoa huyo mkeo asifanye biashara na kama kuna ndugu yake ime muuma amfungulie biashara mtoto wake wakike kabla hajaolewa.
 
Mkuu chakufanya hunganisha simu yake na yako track . ili ataye mpigia wew ndio hupokee sim na huongee na muhusika kwanza
Ilo lilishindkana muhulize hanataka Aishije
Kwa maana ya mtazamo wenu wa ndoa kama wewe ndio tatzo humridhishi its okay hawe wazi kusema
 
Habari za jumapili wanajamvi.

Niende Moja kwa Moja kwenye mada inayoniumiza kichwa mpaka nakosa amani ya moyo kwa muda wa week sasa.

Mimi na mke wangu tangu tufunge ndoa huu ni mwaka wa tisa . Hatukuwahi kuwa na migogoro mikubwa ingawa mikwaruzano ile midogo ilikuwepo.

Sasa katika kipindi cha miaka sita ya ndoa yetu nilimuweka tu nyumbani sikutaka ajishughurishe na biashara yoyote. Mwaka wa sita wa ndoa yetu nilipata ajali ya pikipiki iliyopelekea mimi kuvunjika baadhi ya viungo vya mwili. Hivyo nilikuwa admitted Muhimbili hospital kwa muda wa kama miezi 3 kabla ya kuruhusiwa.

Kutokana na uwekezeji wangu kwa kipindi chote hiki wakati naugua hatukuwahi kupata Shida ya mahitaji ya nyumbani. Baada ya lile tukio nikajiuliza hivi ikitokea nimefariki Huyu mama ataishije na watoto wangu. Nikamshirikisha nimfungulie biashara ili aanze kujifunza mbinu za utafutaji. Nilipopona tukafungua biashara ya kufanya miamala ya simu na kuuza soft drinks jumla na rejareja.

TATIZO:
Miaka mitatu ya hii biashara imeanza kuniletea matatizo Kwenye ndoa. Wanaume wamekuwa wanapiga simu mpaka juma pili Siku ambayo wanajua hafanyi biashara na mbaya zaidi kuna mmoja nilikuta SMS za mitongozo na wife alikuwa ameshaingia king. Sasa nilimtafuta yule kijana na kuongea naye ingawa alisema alikuwa hajui kama yule mke wa mtu tangu sasa hatomsumbua tena. Mke wangu yeye alijitetea kuwa alimwabia yule kijan kuwa yeye ameolewa lakini aliendelea kumsumbua tu.

Hivyo nilifunga biashara for a while nikitafakari nini cha kufanya.

NDUGU WA WIFE:

Hawa watu walianza kuongea maneno ya hivyo sana kuwa mimi sitaki maendeleo ya ndugu yao baada ya kuona sasa hivi ameanza kufanikiwa ndio nataka kumrudisha nyuma bila kuangalia kiini cha tatizo. Wengine mpaka wakadiri kwenda mbali na kusema wao ndio walimpa mtaji niliwauliza ni kiasi gani cha mtaji mlimpa wanasema laki saba. Niliishia kucheka tu kwa sababu hiyo lakini saba haitoshi hata kulipia kodi ya hilo eneo kwa mwaka.

NINACHOOMBA :

Wadau ninachoomba kutoka kwenu ni mawazo jinsi gani niweze kuliweka hili jambo sawa iwe kwa kufunga kabisa biashara yenyewe au vyovyote vile ili mradi ndoa yangu irudi Kwenye amani kama. Mwanzo. Mama mkwe amenikasirikia hivyo yeye sioni kama ni mshauri mzuri kwa mke wangu .

Mniwie radhi kwa maelezo marefu ila nitasoma kila comment ili niweze kupata suluhisho.

Ahsante.
Funga biashara

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
A- Haraka sana funga hiyo biashara, halafu baada ya muda anzisha biashara yako yeye awe kama mwajiriwa tu au aendelee kubaki nyumbani.
Wanaume tunalinda ndoa zetu kwa gharama sana. Asilimia kubwa ya wake za watu walioachwa huru kufanya biashara wamezivunja ndoa zao. Kwa ninaowafahamu mimi ni asilimi 100 wamevunja ndoa zao.

B- Mkeo anatakiwa ajue kuwa akiondoka leo kwako, kesho kuna wife material nyingine inaweza kuwa pale kwenye jiko lake ikisababisha madhara makubwa zaidi ya yale ya kwake. Wewe mwenyewe sometimes uone hivyo, kuwa akiondoka tu fulani anajaza nafasi haraka iwezekanavyo.

NDOA ITADUMU kwani wanaume ndio tunasimamia hizi ndoa kwa mbinu kali.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Well said , dhamira yetu ni Nzuri lakini inataka kutuharibia ndoa. Swala la kufanywa ni lengine ila kugundua ndio Shida. Afanywe lakini asioneshe ishara hizo mbele yangu.

Nimeshaongea yote hayo ila napata Shida kwa ndugu zake hawamshauri kurekebisha ndoa yake bali wanamfundisha kukaza ili aendelee na biashara yake.

So nitazingatia pia ushauri wako Mamndenyi

Ahsante
Mdogo wangu lazima uwe strong ili ndoa yako ipate heshima. Binafsi kwa makosa hayo kungekuwa tayari hakuna ndoa. Ila kuna comment nimekushauri hapo juu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kufunga biashara ni sehemu ya maamuzi magumu, lakini fanya hivyo.
Kipindi nafunga biashara nilifikiria majirani na watu watanionaje, nimefilisika, nina wivu au nini, lakini mwisho nilifunga biashara.
Ondokana na stress,
kwa mwanamke biashara ikikolea, kuhusu kukusemesha kama anaongea na house girl wake ni kitu chepesi sana zaidi ya uzito wa wembe
 
Kufunga biashara ni sehemu ya maamuzi magumu, lakini fanya hivyo.
Kipindi nafunga biashara nilifikiria majirani na watu watanionaje, nimefilisika, nina wivu au nini, lakini mwisho nilifunga biashara.
Ondokana na stress,
kwa mwanamke biashara ikikolea, kuhusu kukusemesha kama anaongea na house girl wake ni kitu chepesi sana zaidi ya uzito wa wembe
Pole mkuu lilikukuta jambo aisee hawa Viumbe hawaa...
 
Mkuu haya mambo nimagum kama amenza hayo hakuna dawa kikubwa angalia yasiathiri kazi hayo mengine tunavumilia ili walau watoto wakue vema kifupi angalia faida zake kwenye maisha yako ndipo uangalie hasara kitakachozidi hapo ndousimie
 
Waambie hao vijana hivi uwachimbe mkwara sana😁😁😁
View attachment 1903093
Dah......huu use-ngerema siji kufanya.Yaani atoke akatoe chupi huko bila shuruti mi nijidhalilishe mbele ya mwnaume mwingine kuomba omba asimtie MKE WANGU?Kama kashindwa kuelewa nilipoongea nae si aende tu kwa amani?huku ni kujichoesha aisee!!
 
Back
Top Bottom