Mke wangu alibadilika baada ya kumfungulia biashara. Nifanye nini kuokoa ndoa yangu?

Habari za jumapili wanajamvi.

Niende Moja kwa Moja kwenye mada inayoniumiza kichwa mpaka nakosa amani ya moyo kwa muda wa week sasa.
Mkuu kama ameisha ingia kingi kwenye mitongozo achana nae, wanawake hawafugiki...hata ukiamua kufunga biashara haisaidii, wakati upo Muhimbili miezi mitatu je una uhakika gani kama alikuwa haliwi na kama tayari ameshaliwa wewe ukimkaza unaona tofauti ya sasa na ya zamani? Kama huoni basi acha kumfuatilia, utaumia au kuumiza.

Wewe ishi maisha yako ukiwa naye, wewe sasa ivi huwezi mtimizia mahitaji yake ya mwili na familia.
Mwanamke hawezi kumlea mwanaume labda awe sugarmamy
 
Fanya hivii mdinye huyo rafiki yake alafu utengeneze mazingira mkeo ajue uyo rafiki yake ni msaliti anataka kumharibia ndoa yake
Samahani mkuu kwakukutag tena, ila huyu rafiki wa huyo mwanamke niwakupigwa mashineee.
 
Kukaa ndani kunamfanya asionekane kwa wanaume wengi. So kunapunguza kutongozwa

Kufanya biashara kunamfanya aonekane au akutane na wanaume wengi. So kunaongeza mitongozo. Na wanaume mbinu zetu unazijua. Swali la kujiuliza, je atakataa wangapi? Kukataa wote siyo rahisi

Mamamkwe na hao ndugu zake wengine lazima waje juu coz tayari alikuwa anawarushia visenti senti

Akili yako maamuzi yako
 
Umeongea vyema mkuu ingekuwa ni mimi kichwa kibovu wanaongea hivyo kuwa wamempa mtaji ningewaita baba na mama yake nikwaambia kama mnaona mtoto wenu simuhudumii leo hii afungashe muondoke nae unajaa sum kabisa huku nakipanga kilicho nolewa nyuma ya nyumba. [emoji23][emoji23]
 
Huyu mama ni mtu mzima wamejuana hapo Kwenye biashara ila yeye ni hawa wanawake wa kiswahili.

Nimeshachukua namba yake natafuta muda niongee naye pia huyu mama.

Ahsante kwa ushauri mkuu.
Mimi nikushauri tu; achana na huyu third party. Atapata sababu ya kusambaza mambo yako na mkeo eneo lote hilo, mkeo ataona biashara chungu. Anaweza kwenda hapo dukani akaanza kumbwatukia "kwahiyo umemwambia mumeo mimi ndo nakutaftia mabwana? Si ni umalaya wako" Tayari umefanya jambo dogo kuwa kubwa.

Zungumza na Mkeo kwa uwazi kabisa kuwa kuna vitu kama mume hutovumilia na vitapelekea kuvunja agano lenu. Kama huyo mama ndo kishawishi (i doubt this sana, nahisi huyu mama anatumika tu kama njia na mkeo) basi mwambie Mkeo akae naye mbali. Yeye atajua afanye nini. Hakuna mwenye jukumu la kulinda ndoa yenu zaidi ya nyie wawili.

All in all I pray mrudi katika hali ya awali.
 
Km ni hivyo usiifunge,Bali fanya km ambavyo mjumbe ameshauri.Mwekee restrictions za kutosha.
 
Habari za jumapili wanajamvi.

Niende Moja kwa Moja kwenye mada inayoniumiza kichwa mpaka nakosa amani ya moyo kwa muda wa week sasa.



Ahsante.
Ukiona mkeo hasumbuliwi sumbuliwi na wanaume wengine, ndugu, jua ulilamba garasa. Maadam anasumbuliwa basi atakuwa na viwango vya FIFA. Wacha kazi iendelee ila mbane bane asichepuke. Pia mdau upunguze wivu.
 
Ni vile unajiweka na ndivyo itakua. Mblna tunafanya biashara miaka sasa na hakuna tofauti kwny mahusiano?.yani mimi huwa sitaki mazoea ya kijinga na huwa straight kwny point nampa mtu ukweli wake akinuna anune akiendelea kuja aje tunaheshimiana. Sio kumchekea mtu kisa mteja mpk akugande kama ruba No. So ni vile mkeo alikua anawachekea chekea.
 
Mkuu kwa maelezo ya jamaa huyo mke hakua mpambanaji kama ilivyo kwa wanawake wengi wenye misimamo mikali hata kama ni wazuri, huyu yeye alikua goalkeeper akawekwa huru sasa hapo lazma awe na kiwewe cha uhuru tu, na kuna uwezekano akapokea mashauri mengi tu bila hata kuyachambua.

Mi namshauri mwamba aweke mtu kwenye hiyo biashara, yeye na mkewe wawe wasimamizi. Ama lah kama ataona jau kuajiri mtu basi awe ni mkaguzi mkuu wa hizo hesabu za mkewe. Trend ya biashara inaweza kukupa mashaka na ukiyafatilia ukapata jibu.

Kosa hapo ni kumpa uhuru uliopitiliza, hakuzoea hayo, ni mambo mapya kabisa kwake yaani ni kama vile form six wanapoingia chuo na kupewa boom(uhuru + pesa), lazma wengi wapagawe.
 
Huyu mama ni mtu mzima wamejuana hapo Kwenye biashara ila yeye ni hawa wanawake wa kiswahili.

Nimeshachukua namba yake natafuta muda niongee naye pia huyu mama.

Ahsante kwa ushauri mkuu.
Una hekima Sana! Ni kumpambania mke Safi sana
 
Mtafute mtu hawe anafanya kazi hapo kwa muda
 
Dah......huu use-ngerema siji kufanya.Yaani atoke akatoe chupi huko bila shuruti mi nijidhalilishe mbele ya mwnaume mwingine kuomba omba asimtie MKE WANGU?Kama kashindwa kuelewa nilipoongea nae si aende tu kwa amani?huku ni kujichoesha aisee!!
Siku ukioa utaelewa!
 

Mwache afanye biashara, leeni watoto!
 
Well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…