Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Mkuu kuliwa sina ushahidi wowote ila chagamoto iliopo nikimtoa ntamuacha nani nyumbani kwasasa, kuoa tena nahofu kubwa sinaga bahati ya wanawake wote napataga vibomu tu.
Kaka tafuta hata ndugu, sista zetu wa vijijini aje akushikie nyumba. Huyo sio mwanamke. Utakuja nikumbuka siku moja. Ukiachilia kwenda kuliwa, je wezi wangekuja kuiba vitu? Mi mtu ambae hajali
 

Wewe ni mtu wa mikoa ipi, maana maelezo yako yana kiswahili kichafu sana! Hovyo, hivi kwamba kama ulivyosema una elimu yako naona inatia shaka kwa kweli! Huyo mke wako amua cha kumfanyia mwenyewe kama ambavyo mlikutana barabarani! Mambo ya ndani ya nyumbani siyo mahali pake hapa! Huku tunataka threads za ufundi za kujenga jamii! Hiyo issue peleka huko instagram! Hapa ni mahali pa The Great Thinkers tu, siyo mambo ya unyumba!
 
Mtie tu, inatosha. Manake ashakutawala huyo
 
Mkuu ndoa Ni upendo na heshima, Ni wazi kabisa huyo mkeo hakuheshimu na si mama wa familia. Utaachaje nyumba mwezi mzima uende kukaa kwa dada yako?
Na ukitumia kigezo Cha mtoto ndo kinafanya usimwache atakunyanyasa Hadi ushangae, Maana anajua huna namna unamvumilia huwezi mfukuza.
 
Ndugu kwanza nikupe pole arafu, pili nikushangae kwa kupenda kuyaweka madhaifu ya mke wako mtandaoni sio jambo zuri, tatu nikuulize una 38 yrs, umeoa unafamilia umekuja kuomba ushauli ni public kwa kutegemea kupata majibu toka kwa watu tofauti tofauti wengine wana rika chini yako na hawana ata familia unategemea nini? Hapo anyway elewa ya kuwa familia ni taasisi kukwa na we ndo kiongozi yakupasa kubili changamoto za familia yako wewe mwenyewe sio mtu mwingine mfano umesema mke wangu means wako kwanini ukusema mke wetu amekubali viboko vitano ndo tujadiliane cha kufanya kwasababu ni mke wetu.
 
Umefika home huna hata 30 minutes, tayari umeshaandika uzi mrefu hatari. Hebu kunywa ya maji halafu utulize kichwa halafu mvute chumbani wife mpelekee moto kwa hasira. Kuhusu viboko Nakushauri mpeleke ofisi ya sungusungu.
 
Sawa nakubaliana nawewe ila hofu yangu unaijua siwezi kuoa tena at 39 kweli ntapata mke mzuri au tapata singo maza nawenyewe wana chagamoto zao, nilisha wahi kuoa nikagukia pua mara mbili na ogopa tena
 


Mwanamke mwenye mji wake, tena mke wa ndoa, mwenye watoto2 anahama nyumbani kwake mwezi kweli🤔🤔🤔 au ana ndoa mbili!??

Dah mimi mwanaume kama wewe simtaki kwa kweli, maana u mpole kupita kiasi. Mungu asaidie watoto wetu wa kiume wasiwe na huu upole kama wako jamani kha!

Raha ya mwanaume awe mkali kwa mambo ya kipuuzi kama hayo ya kuhama nyumba na awe na upendo haswa!

Yaani msimamo msimamo kweli
 
Hiyo ya viboko ndio poa
 
Utampata wapi mwanaume wa hivyo? maana akiwa mkali anatafsiliwa hana upendo!
 
Kwa hili mkuu sioni kosa kwasabb unijui sikujui wala mke wangu umjui public opinion ni nzuri sana katika kufanya maamuzi muhimu tena ukiwa unajua kuchuja ushauri, so far nimejifunza mengi, mimi sio mtu wakukaa na mambo kifuani na punguza stress kwa njia ya kujadili na watu wasio nijua manaake hawana upendeleo wowote.
 
Una uhakika huyo mtoto ni wako?
Tuanzie hapo kwanza maana usikute alikuwa kwa baba wa mtoto
 
Unamaanisha tano?Una weza kumchapa mke tano kwanza?Wewe na mkeo mnahitaj reletionship councelor
 
Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…