Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
So bado uko naeKuna mwanamke alitoaga mimba yangu kwa mpango ambao dada yake aliuratibu! Analia tu kila kukicha akikumbuka upumbavu alioufanya! Nikakuta karatasi za Ultra sound za Marie Stopes ambapo likely ndio aliitolea ile mimba akanidanganya ni miscarriage kumalamamaake! Sikuwahi kuumia namna ile!!!
Sahizi alipo huko mungu ndio anajua mjalaaana yule shwaini wahedi! Linajutia ujinga wake tu shenz taipu.
Sahizi nikiskia habari sijui za dada yangu hivi! Mara vile ninachomwambia tu huyo mtu ukitoa fito zako kuelekea huko uwe umenifuta katika akili yako na kumbukumbu zako!