Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Kuna mwanamke alitoaga mimba yangu kwa mpango ambao dada yake aliuratibu! Analia tu kila kukicha akikumbuka upumbavu alioufanya! Nikakuta karatasi za Ultra sound za Marie Stopes ambapo likely ndio aliitolea ile mimba akanidanganya ni miscarriage kumalamamaake! Sikuwahi kuumia namna ile!!!

Sahizi alipo huko mungu ndio anajua mjalaaana yule shwaini wahedi! Linajutia ujinga wake tu shenz taipu.


Sahizi nikiskia habari sijui za dada yangu hivi! Mara vile ninachomwambia tu huyo mtu ukitoa fito zako kuelekea huko uwe umenifuta katika akili yako na kumbukumbu zako!
So bado uko nae
 
Sikulaumu najua love is blind ila uhalisia utakufunza mzee baba! Huyo mwanamke unaemkumbatia atakufanyia mazito zaidi akili itakapokurudia amekurudisha nyuma mara 10 ndio utajua hujui!
Kashachanganyiwa kinyama huyo..mnajichosha tu hapa...hamwezi mwambia kitu akawaelewa huyo
 
Mkuu tatizo ana nyonyesha mtoto na kwao naona hawako vuzuri kabisa ukisema aende kwa Dada ake ana panga tu chuba na sembule.......


✓Je alikua Kwa dada kweli?
✓huko Kwa dada anakupendea nini?
✓ alikuwa wapi siku Ile kukuletea funguo yeye mwenyewe?
✓kwanini aliondoka punde Tu ulipoondoka nyumbani ?
✓anakosa nini hapo ambacho Kwa dada huko kipo?
✓ kwanini anakubali kuchapwa ili mradi arudi hapo jiulize kwann? ✓Una uhakika gani hatokwenda tena Kwa dada ukishamchapa na hili likapita ?
✓umejiridhisha kiasi gani kwamba alikua Kwa dada?

Sometimes, Hapa penye huu "unyonge" ndo wanapotupigia hapa...sio kila kitu cha kutumia hasira wala vilevile kukubali kirahisi bila kushughulisha akili.

au nasema uongo ndugu zangu....?😊
 
Hahahahah kwa akili za huyu mwanamke ukimletea mdogo wako wa kiume anaweza akawa anamkaza shemeji yake! Anachoogopa ni kitu gani hasa kama ana watoto tayari kashazaa si alale na wanae!
Mkuu huamin kama wanawake huogopa usiku,watoto tu hawatoshi kumuondoa hofu
 
Sasa blaza unataka umchape mwenzio kisa alienda kulea mtoto na baba yake? Wewe ndiyo tukuchape unayesema alienda kwa dada yake wakati alikuwa kwa baba wa mtoto.
 
Alikupa hiyo option ya vboko maana alijua uwezi kumchapa. Ninakubaliana na wewe kweli hapo huna mke. Very sad. Na ukimpa talaka unaweza kupata mwingine ambaye ni mbaya zaidi ya huyo. Endelea kumfundisha labda atapata akili huko tuendako.
 
Mkuu achana na viboko... Muonye tu then endelea kutafuta pesa...

Ukiendekeza wanawake utakuja kufa,,, kaa nae mueleze nini unachotaka then endelea na maisha... Akirudia tena piga chini...

Haijalishi yapi unapitia ila nakusihi sana usiache kitafuta pesa,,, wala kupoteza mood ya kusaka maisha.
 
Hapo haipingiki na ilipodhihirisha udhaifu ni pale anapoomba ushauri wa mwanamke ambaye akisafiri halali mwenyewe anaogopa na kwenda kulala anapopajua yeye kwa visa ya dada yake![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unaenda pokelea funguo kwa shemeji yako usiku wa kutisha na mkeo asitoke muondoke wote hehehe!
Hahahh..

Shughuli sana
 
Alikupa hiyo option ya vboko maana alijua uwezi kumchapa. Ninakubaliana na wewe kweli hapo huna mke. Very sad. Na ukimpa talaka unaweza kupata mwingine ambaye ni mbaya zaidi ya huyo. Endelea kumfundisha labda atapata akili huko tuendako.
Usimtishe mzee baba! Wanawake wazuri wapo and its easy to spot them if you have a good eyes, brain and well experienced!

Tena anaweza muacha akatulia akajitokeza mwanamke ambaye ndio hasa alitakiwa kumuoa toka awali mpaka akashangaa alikuwa wapi siku zote! Tatizo watu wana macho ila hayaoni wanawake sahihi🤓
 
Usimtishe mzee baba! Wanawake wazuri wapo and its easy to spot them if you have a good eyes, brain and well experienced!

Tena anaweza muacha akatulia akajitokeza mwanamke ambaye ndio hasa alitakiwa kumuoa toka awali mpaka akashangaa alikuwa wapi siku zote! Tatizo watu wana macho ila hayaoni wanawake sahihi🤓
well said...
mniombee nisiyakose hayo macho ...😁
 
Kwa nilivyoelewa chapchap tu ni kwamba ww na mke wako mna Communication Zero na hilo tayari ni tatizo kubwa sana na kingine acha kukurupuka ukitaka kuoa! Lazima umfahamu unayetaka kufunga nae ndoa ili ujue unajikita wapi kaka,inakuwaje kila unayekutana nae hana nidhamu?Hebu keti chini ujiulize unakosea wapi?

Mwezi mzima umesafiri hujui mkeo yupo wapi? Hivi unajua how abnormal that sounds?
 
Kwa nilivyoelewa chapchap tu ni kwamba ww na mke wako mna Communication Zero na hilo tayari ni tatizo kubwa sana na kingine acha kukurupuka ukitaka kuoa! Lazima umfahamu unayetaka kufunga nae ndoa ili ujue unajikita wapi kaka,inakuwaje kila unayekutana nae hana nidhamu?Hebu keti chini ujiulize unakosea wapi?

Mwezi mzima umesafiri hujui mkeo yupo wapi? Hivi unajua how abnormal that sounds?
Hahahaha kama mpaka mwanamke anaweza kuona kwamba mtoa mada anayumba this mus be a tragedY!
 
Hahahaha kama mpaka mwanamke anaweza kuona kwamba mtoa mada anayumba this mus be a tragedY!
Ni tragedy kubwa vitu vingine sio kawaida au huyu jamaa ametunga hii mada?

Maana mimi binafsi siwezi kwenda mahali bila kumjulisha mwenzi wangu hata kama niwe wapi,inaweza kutokea case hujaaga kabla lkn lazima umjulishe mwenzio ulipo na kwake yeye inaapply hivohivo najua whereabouts zake zote.

Sasa huyu mwenzangu mwezi mzima hujui mwenzio alipo duh!Sio kwa uhuru huo hata kusaidiwa unaweza kusaidiwa vizuri.Inapoteza mantiki ya ndoa!

Inawezekana hata kuwasiliana hawawasiliani hawa 🤔
 
Ni tragedy kubwa vitu vingine sio kawaida au huyu jamaa ametunga hii mada?

Maana mimi binafsi siwezi kwenda mahali bila kumjulisha mwenzi wangu hata kama niwe wapi,inaweza kutokea case hujaaga kabla lkn lazima umjulishe mwenzio ulipo na kwake yeye inaapply hivohivo najua whereabouts zake zote.

Sasa huyu mwenzangu mwezi mzima hujui mwenzio alipo duh!Sio kwa uhuru huo hata kusaidiwa unaweza kusaidiwa vizuri.Inapoteza mantiki ya ndoa!

Inawezekana hata kuwasiliana hawawasiliani hawa [emoji848]
Mkuu naona hujanuelewa vizuri wakati naondoka nilimuacha nyumbani na communication zote kila siku kwa wakati wote tulikua tunaongea vuzuri tu bila shida......tatizo ni pale wakati wa kurudi nilianza safari bila kumtaarifu ndo nikakuta haupo nyumbani kumbe kipindi chote tuna communicate iko kwa Dada ake......mimi swali kubwa kwangu ni kwanini hukunitaarifu wakati unatoka
 
Mkuu naona hujanuelewa vizuri wakati naondoka nilimuacha nyumbani na communication zote kila siku kwa wakati wote tulikua tunaongea vuzuri tu bila shida......tatizo ni pale wakati wa kurudi nilianza safari bila kumtaarifu ndo nikakuta haupo nyumbani kumbe kipindi chote tuna communicate iko kwa Dada ake......mimi swali kubwa kwangu ni kwanini hukunitaarifu wakati unatoka
Ndo still hamcommunicate properly kama hujui mienendo yake kaka!Unatakiwa kujua alipo na kama alitoka kwasababu ni kawaida kumjulisha mwenzio ulipo.

Au lah ameshajenga mazoea anafanya anachotaka na humuonyi na kumkanya kumaanisha umejitafutia matatizo mwenyewe!Mwanzoni kabisa ukiona mtu anaenda kinyume na unavyopenda unatakiwa umuweke sawa.

Ndoa ni makubaliano na kuna mipaka yake na ili idumu lazima kila mtu awe na heshima kwa mwenzi wake kwa mfano kutokufanya vitu ambavyo unajua vitamkera au kumkwaza mwenzako kama alichofanya mwenzako.
 
Back
Top Bottom