Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Inaoenekana bado unampenda, msamehe tu.. hata hivyo kukaa kwa dada ake sio vibaya
 
Ashajus udhaifu wako ndo maana amechagua adhabu ambto anajua huwezu kuitekeleza
 
bro yule anae kula mirungi kwan alikuwa na shida nyingne? hizo ni changamoto zitatue uendelee na mke wako ila hakikisha unakamilisha adhabu uliyoaahidi la sivyo itakuwa ndio mchezo.
 
Mkuu maisha ni uvumilivu, unataka kusema tangu uanze nae hili ndo kosa kubwa sana kuliko alivyo wahi kukukosea?

Naamini kuna makubwa na bado upo nae, kuishi kwa dada mtu naona poa tu, mtafutie hata mwanandugu wako au house girl awe anakaa nae sasa akiondoka tena ujue kashindikana.

Sio kosa kukaa kwa dada kama anaogopa hata kama ni wewe usichukulie uanaume wenzetu hawa wana uoga sana usiku mzima.kwa mwezi mzima ndani peke ake ???

Msamehe man.
 
Sikulaumu najua love is blind ila uhalisia utakufunza mzee baba! Huyo mwanamke unaemkumbatia atakufanyia mazito zaidi akili itakapokurudia amekurudisha nyuma mara 10 ndio utajua hujui!
Huyu ndugu ana madhaifu makubwa mno na kibaya zaidi bado halioni hilo.....historia inatanabaisha kuwa huyu jamaa siku moja atakuja kulia kilio kikuu sana.....
 
Ni tragedy kubwa vitu vingine sio kawaida au huyu jamaa ametunga hii mada?

Maana mimi binafsi siwezi kwenda mahali bila kumjulisha mwenzi wangu hata kama niwe wapi,inaweza kutokea case hujaaga kabla lkn lazima umjulishe mwenzio ulipo na kwake yeye inaapply hivohivo najua whereabouts zake zote.

Sasa huyu mwenzangu mwezi mzima hujui mwenzio alipo duh!Sio kwa uhuru huo hata kusaidiwa unaweza kusaidiwa vizuri.Inapoteza mantiki ya ndoa!

Inawezekana hata kuwasiliana hawawasiliani hawa 🤔
samahani dada hujabakiza hata mdogo wako home..😊

Akili hii nimeipenda.
 
Huyo hakutaki na dada yake anajua mengi.Achana nae tu ulee watoto wako.Kamwe usilazimishe mapenzi kwa namna yoyote.
Umeshauri kwa kufokea mkuu utafikiri unaujua undani wao, yeye kasema uyu wa sasa ni wa tatu, kaeleza mapungufu ya wenzie tuuuu yake uyajui inamaana siku zote alizokuwa safari walikuwa hawaongei? Adi anarudi home asimkute mwenzie
 
Huyu ndugu ana madhaifu makubwa mno na kibaya zaidi bado halioni hilo.....historia inatanabaisha kuwa huyu jamaa siku moja atakuja kulia kilio kikuu sana.....
Na yeye atakuwa na madhaifu yake yanayopelekea kuona madhaifu ya wenzie saana kuzidi yake ama anaweza kuwa chanzo cha mapungufu ya wenzie.......inawezekana kuoa wake watatu wooote asiwepo wa kuvumilika na kurekebisha maisha yakasonga? Na wa 4 atakuwa zaidi ya hao waliopita
 
Inaoenekana bado unampenda, msamehe tu.. hata hivyo kukaa kwa dada ake sio vibaya
Hapana mkuu huyu mwana mke simpendi ila tu naangalia madhara kwa watoto na kazi zangu, nakaa nae kimkakati (strategical marriage) kama kuna njia ya kumacha peaceful hata leo usiku ningemuacha tu.
 
Nilivyosafari kuenda kwenye shughuli zangu za biashara takriban mwezi moja na nusu, jana nilirudi nikakuta mke wangu hayupo kasafiri na kuenda kwa Dada yake kukaa huko na nyumbani hamna mtu yeyote kuna giza kote, nikakagua nyumba yote na Kigari changu nikaona vyote viko salama nikamshukuru Mungu kwa hilo, nilienda kwa majirani labda wana taarifa yoyote kawachia na yuko wapi wakaniambia huyu hayupo nyumbani karibia mwezi na wiki niliduwaa

Nikampiga simu yake, mbona haupo nyumbani uko wapi? kaniambia iko kwa Dada yake Kinondoni nikamuomba anipe funguo wa nyumbani nipate kuingia na kupumzika, ka nialekeze nije nimsubirie kwenye kituo fulani nikaenda faster usiku huo nilivofika nikampigia simu takriban dakika 10 Dada mtu kajitokeza na funguo akanipa sikumsemesha kitu nikaondoka zangu mpaka nyumbani nikaingia ndani nikaona kila kitu kipo sawa ila kuna dalili za kuwa nyumba imekaa zaidi ya mwezi bila watu.

Sikumpigia simu tena kwasababu nilikuwa na hasira za kufa mtu nikajipa time nitulie kwanza, ila nilikua najiuliza huyu mwanamke nimfanye nini, kumtimua sio rahisi kwasababu ana kitoto changu kichanga mwaka moja na nusu kina nyonya, kwao hakuna mazingira mazuri kulea mtoto japo wanaishi Town ila mama aliekuwa nguzo ya familia alishafariki, Baba yake kashastaafu maisha yao kwa jumla sio, hawana uhakika wa kula milo mitatu, nyumba yao niya urithi tena wako zaidi ya watoto nane.

Mimi niko 38 na mke wangu iko 34 kumuacha manaake ni wakika wa kulea watoto wangu wawili utakua mgumu lakini kwasababu kipato chao ni duni sanaa, huyu mwanamke kanifanyia visa vingi kwanza ni muongo sana alishawahi kunificha kifo cha Mama yake kashaniongopea mambo mengi lakini kwasababu hayana madhara ya moja kwa moja na ya puuzia tu, nilifikia maamuzi mtoto wetu wa std 4 kumpeleke shule ya bweni sio kwamba nilipenda hapana kumuepusha kuiga tabia mbaya za mama ake.

Niseme tu mimi sina bahati katika kupata mke sahihi, kwasababu kabla ya huyu nilikua kuna Dada moja tume date nae takribani miaka 4 tukabahatika na kupata mtoto kilicho kuwa kimebakia nikuenda ku kujitamblisha kwao tu, ila yule demu hapana, alikuwa anasafiri almost kila weekend yani yeye na safari za kuenda makwao, aruhusi, mauleedi Dua, yalikua too much paka makonda wa ma busi ya kuenda Tanga wakaanza kumjua alikua anajua mabus yote ya route iyo duh nikaona huyu anifae kabisa nikampiga chini.....sasa this time nikashirikisha wazee wangu wanitafutie mke serious kwa kweli wazee hawakuchelewa wakaniambia tayari njoo muonane nikaenda nikaridhia na nikafanya utaratibu wa kumchukua, nilikaa nae kama mienzi mitatu duh nikaja kumkuta kumbe anakula mirungi (veve) nilichoka nikaona sina namna(mke wakutafutiwa ni shida). ndo nikaja kumpata huyu, ila nimemchoka vituko vyake ila sina la kufanya, pesa yangu elimu yangu havinisaidie kwasasa isipo kuwa uvumilivu tu.

Leo kama saa nane huyu bibie (mke) kanipigia simu kuniuliza hatima yake.....nikamwambia mie siwezi kuongea hi issue kwenye simu pata sehemu tuongea ana kwa ana akanielekeza pa kumkuta tuyaongee, nikaendesha ki (baby walker) changu paka pale, nilivofika akaanza kuwa mkali najifanya kuleta mambo ya nyuma nikawa kimya kwasabb alilenga kuniondoa kwenye mada, tu nikamuuliza anataka lipi kajibu kurudi nyumbani kwanini ulipacha eti ana paogopa duh nikamuuliza sasa ukurudi unaenda kukaa nani kwasababu baada ya wiki moja naenda kusafiri tena utapakimbia? Akasema hapana eti hatarudia. Ila huyu mama muongo mambo mengi anaapa ila anayarudia tu.

To cut the story short nilimpa option tatu achague moja. Kum -suspend kwa miezi mitatu akiwa kwao au aombe talaka au nimpige viboko vitano. Kaamua nimchape viboko vitano yaishe. ila personally am not a violent man na sijawahi kuchapa mke yeyote hili jambo lime nipa wakati mgumu sanaa, namimi sitaki unafiki nataka nafsi yangu iridhike, akifanya adhabu yangu yoyote.

Wakuu ndo nimemfikisha home sina hata 30minutes sijui ndo nimchape au kuna adhabu nyingine zaidi ya hiyo mnishauri, ila kumbukeni huyu mwana mke ni msumbufu sanaa muonģo ila sijawahi kupata ushahidi wowote wa uzinzi kwake. Naomba ushauri na uzoefu wenu ahsanteni.
WEWE NI TAHIRA, BWEGE, JINGAAAA MAMAEE.

YAAAN KWANZA NI MUONGO

PILI, HAKUA KWA DADA YAKE, ALIKUA KWA BWANA NDIO MAANA FUNGUO KAKULETEA DADA YAKE.( WANAWAKE.WACHEPUKAJ WATAKUAMBIA ALIOGOPA UTAMPIGA ,UONGOOOOOOO)
UKWELI NIKUA ALIKUA KWA JAMAA, NAIVO AKAONA INSHU KUAGA GHAFLA.

TATU, YAAN YEYE NDO ANAKUAMBIA WAPI MKUTE???? MSENGEE WEWE ,LIDHAIFUUUU FALAAA WEWE..NAWEWE UKAENDESHA KIDUDS KAKO KUMFATA ??? MANYOKO ZAKO.

NDIO MAANA AKAONA AWE MKALI KUBADILI MADA

NNE, UKUMAA NI KUMPA ADHABU ZA KUCHAGUA , WEEE FALA KABISA, YAAAN UMPE OPTIONS??? MAMAEE ETI VIBOKO VITANO????

AMEKUONA FALAAAAAAAA MBWAAA KENGEEE KABISAAAAA.


BOYA WEEE HUONI KUA DEM KESHAKUPIMA KAONA WEE NI MWANAUME DHAIFU SANA????? KWA TAARIFA YAKO, DADA YAKE NAYEYE MWENYEWE WOTE WANAJUA HUO MCHEZO , NAANAJUA HATA AFANYEJE HUWEZ MUACHA.


MPUUZI WEWE, ET NAWEWE UNASEMA HUWEZI KUMUACHA???

[emoji117][emoji117][emoji117]KWA TAARIFA YAKO ALIKUA KWA BABA MTOTO WAKE .

KUBALI KATAAA, HUYO MTOTO SIO WAKO. NA INAWEZEKANA KABISA HAO WATOTO WOTE SIO WAKOOOOO.


[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]KUZAA NA MWANAMKE MTOTO AU WATOTO SIO.KIGEZO CHA YEYE KUKUDHARAU NAKUKUTENDA UTUMBO HUO.

YAAN WEEE SIJUI NIKAJAMAA KA PWANI.


HUYO DADA MTU ANAKUBALIJE KUKAA NA MKE WA MTU MWENYE MTOTO????


FALAAA WEWEE, HUNA AKILI, WEWE NI MJINGAAAA WA KUPINDUKIA.


NMEKUTUKANA.
 
Ni tragedy kubwa vitu vingine sio kawaida au huyu jamaa ametunga hii mada?

Maana mimi binafsi siwezi kwenda mahali bila kumjulisha mwenzi wangu hata kama niwe wapi,inaweza kutokea case hujaaga kabla lkn lazima umjulishe mwenzio ulipo na kwake yeye inaapply hivohivo najua whereabouts zake zote.

Sasa huyu mwenzangu mwezi mzima hujui mwenzio alipo duh!Sio kwa uhuru huo hata kusaidiwa unaweza kusaidiwa vizuri.Inapoteza mantiki ya ndoa!

Inawezekana hata kuwasiliana hawawasiliani hawa [emoji848]
Umeona eeh.

Mie pia nmeshangaa. Na ulimwengu huu wa mawasiano kiganjani!!!


Ila ndoa zina vimbwanga. Mambo mengine ukiskia mpk utabisha kama yanatokea
 
FUKUZA IYO MBUZI ,KAMA KWELI UNATAKA UISHI.

WATOTO WASOMESHEE, MTUMIE PESA KWA AJILI YA MDOGO, NAYEYE AKIKUA UNACHUKUA

MKUBWA MPELEKE SHULE YA BWENI.

UKISHINDWA , MUITE NDUGU WAKO WAKIKE AKUANGALIZIE NYUMBA UNAPOKUA MIZUNGUKON.




AISEEE, UNAKUAJE NA MWANAMKE HAKUHESHIMU??? UNAISHIJE NAMWANAMKE ANAKUDHARAU NAMNA HII???


FALA SANAAA.
 
Yaan wee mtoa mada khaaaa

Mambo ya ajabu sanaaaaa

Kwa taarifa yako, wanawake.wengi wanaonyonyesha huogopa kutombwaa watoto wanapokua chini ya miezi sita.

Ila wako anamwaka nanusu...yaan hapo mkeo anapigwa sanaaaa yaan analiwa.

Tena km ni wakanda ya ziwa, kule wanamadawa wanamfanyia mtoto hata akiwa na miezi mitano, baada yahapo anaanza kutiwa, bila hata kumuathiri mtoto.


Fala weewe ,najua kakudanganya kua, HAWEZ KUKUSALITI KISA ANANYONYESHA???



UWIII HAHAHAHAH, Wanaliwa sanaaa yaaan wanaliwa sanaaaaaa
 
Ni tragedy kubwa vitu vingine sio kawaida au huyu jamaa ametunga hii mada?

Maana mimi binafsi siwezi kwenda mahali bila kumjulisha mwenzi wangu hata kama niwe wapi,inaweza kutokea case hujaaga kabla lkn lazima umjulishe mwenzio ulipo na kwake yeye inaapply hivohivo najua whereabouts zake zote.

Sasa huyu mwenzangu mwezi mzima hujui mwenzio alipo duh!Sio kwa uhuru huo hata kusaidiwa unaweza kusaidiwa vizuri.Inapoteza mantiki ya ndoa!

Inawezekana hata kuwasiliana hawawasiliani hawa 🤔
Hamna solid communication yani😝😝😝 yani kila mtu anajiendea kama mbuzi wa manispaa
 
Yaan wee mtoa mada khaaaa

Mambo ya ajabu sanaaaaa

Kwa taarifa yako, wanawake.wengi wanaonyonyesha huogopa kutombwaa watoto wanapokua chini ya miezi sita.

Ila wako anamwaka nanusu...yaan hapo mkeo anapigwa sanaaaa yaan analiwa.

Tena km ni wakanda ya ziwa, kule wanamadawa wanamfanyia mtoto hata akiwa na miezi mitano, baada yahapo anaanza kutiwa, bila hata kumuathiri mtoto.


Fala weewe ,najua kakudanganya kua, HAWEZ KUKUSALITI KISA ANANYONYESHA???



UWIII HAHAHAHAH, Wanaliwa sanaaa yaaan wanaliwa sanaaaaaa
Ye anahisi maziwa yanapiga super glue kule chini
 
Back
Top Bottom