Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Kapicha mkuu tuone hayo matakroooJana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Anakutafutia watejaJana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Nenda Dawati la Jinsia lililo karibu nawe
😂😂😂😂😂😂Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Umejuaje ni makalio yakoJana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Hiyo ni dharau bro you're the man muweke chini mkanye tandika hata makofi mzee why akupige we shoga kwaniJana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Alainishe nyoro au sio ?...Ni kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
upo kwao sasa hivi mbwa yule.Hiyo ni dharau bro you're the man muweke chini mkanye tandika hata makofi mzee why akupige we shoga kwani
Kuwa mwanaume sio mvulana
NishamuachaHama Kwel Ile kauli ya Dunia Ina mambo naiyona inavyofanya kazi
Soma tena utajuaUmejuaje ni makalio yako
UNATAKA nilale vipi mzee usingizi ni nusu ya kifo.😂😂😂😂😂😂
Jipige kifua mara 4 useme Mimi ni mpumbavu, fala, denzi, mjinga alafu fala kwenye hii dunia
Mpaka mkeo anakupiga picha tena za makalio jua kuna kipindi alikuwa anagawa penzi kwa mtu mwingine wakati wewe umelala hujitambui
Mwanamme nikulala kwa machale unalalaje kama mtu aliyekufa?
Nina miaka 30 mke wangu ana miaka 24Hichi kitu hakiwezekani. Kama ni kweli basi mtakuwa ni watu wa ajabu na mnaishi maisha ya kustaajabisha sana. Bila shaka mtakuwa wote vijana, 20+, hamuheshimiani na mkeo ni mswahili mwenye tabia zisizoeleweka na IQ 50-.
Otherwise nimechekeka sana.
Sasa nalo hilo ni jambo la kujisifia? Status kuna shida gani?Tatizo vijana mmekua nyororo sana, mnataka muonekano gentlemen ndio maana wanawake wanapata ujasiri kama huu.
Mimi huyu mtoto wa mama mkwe hata ujasiri wa kinipost facebook au insta hana. Kuna siku aliniweka status whatsapp nikampiga marufuku.
Acha usenge ww🚮🚮🚮huyo mwanamke anakuona wewe ni mwanamke mwenzie ndiyo maana anaweza fanya hayo na kuna siku utakuta kakuzamishia tango.