Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

Tatizo vijana mmekua nyororo sana, mnataka muonekano gentlemen ndio maana wanawake wanapata ujasiri kama huu.

Mimi huyu mtoto wa mama mkwe hata ujasiri wa kinipost facebook au insta hana. Kuna siku aliniweka status whatsapp nikampiga marufuku.
 
huyo mwanamke anakuona wewe ni mwanamke mwenzie ndiyo maana anaweza fanya hayo na kuna siku utakuta kakuzamishia tango.
 
Kq
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Kapicha mkuu tuone hayo matakrooo
 
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Anakutafutia wateja
 
Hichi kitu hakiwezekani. Kama ni kweli basi mtakuwa ni watu wa ajabu na mnaishi maisha ya kustaajabisha sana. Bila shaka mtakuwa wote vijana, 20+, hamuheshimiani na mkeo ni mswahili mwenye tabia zisizoeleweka na IQ 50-.

Otherwise nimechekeka sana.
 
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
😂😂😂😂😂😂

Jipige kifua mara 4 useme Mimi ni mpumbavu, fala, denzi, mjinga alafu fala kwenye hii dunia

Mpaka mkeo anakupiga picha tena za makalio jua kuna kipindi alikuwa anagawa penzi kwa mtu mwingine wakati wewe umelala hujitambui

Mwanamme nikulala kwa machale unalalaje kama mtu aliyekufa?
 
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Umejuaje ni makalio yako
 
Hama Kwel Ile kauli ya Dunia Ina mambo naiyona inavyofanya kazi
 
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Hiyo ni dharau bro you're the man muweke chini mkanye tandika hata makofi mzee why akupige we shoga kwani

Kuwa mwanaume sio mvulana
 
😂😂😂😂😂😂

Jipige kifua mara 4 useme Mimi ni mpumbavu, fala, denzi, mjinga alafu fala kwenye hii dunia

Mpaka mkeo anakupiga picha tena za makalio jua kuna kipindi alikuwa anagawa penzi kwa mtu mwingine wakati wewe umelala hujitambui

Mwanamme nikulala kwa machale unalalaje kama mtu aliyekufa?
UNATAKA nilale vipi mzee usingizi ni nusu ya kifo.
 
Hichi kitu hakiwezekani. Kama ni kweli basi mtakuwa ni watu wa ajabu na mnaishi maisha ya kustaajabisha sana. Bila shaka mtakuwa wote vijana, 20+, hamuheshimiani na mkeo ni mswahili mwenye tabia zisizoeleweka na IQ 50-.

Otherwise nimechekeka sana.
Nina miaka 30 mke wangu ana miaka 24
 
Tatizo vijana mmekua nyororo sana, mnataka muonekano gentlemen ndio maana wanawake wanapata ujasiri kama huu.

Mimi huyu mtoto wa mama mkwe hata ujasiri wa kinipost facebook au insta hana. Kuna siku aliniweka status whatsapp nikampiga marufuku.
Sasa nalo hilo ni jambo la kujisifia? Status kuna shida gani?
 
Back
Top Bottom