Mke wangu amesema amenichoka, amechoka na anaomba nimpe nauli aende kwao

Mke wangu amesema amenichoka, amechoka na anaomba nimpe nauli aende kwao

Niaje wana gwan?

Aisee maisha ya ndoa ni kichefu chefu aisee na yanakera na kuchukiza kabisa aiseee ni very streful kabisa wakuu usikubali ushauriwe kuhusu mahusiano au ndoa maana ni kichefu chefu kabisa

Leo asubuhi mke wangu amenitamkia amenichoka, amechoka na anataka kurudi kwao na amesema anataka nimpe nauli.arudi kwao huko bariadi ila siku kadhaa alimtumia mtu picha zake mwanaume fulani huko kwao na alikua ana msisitizia huyo mwanaume aoe mwanamke wa kanisani aiseee na pia akawa anamwambia kama mwanaume amenichoka nipite huku aiseee

Natafuta mbinu nimpige chini na kiukweli nimemchoka kabisa
Pesa kikwazo.. ila pia una kisirani ndio chanzo.
 
Hii mishe sikia kwa mwenzako unaweza ukaona Kama hadithi ila kadri siku zinavyoenda Mambo yanakuwa tofauti
 
Niaje wana gwan?

Aisee maisha ya ndoa ni kichefu chefu aisee na yanakera na kuchukiza kabisa aiseee ni very streful kabisa wakuu usikubali ushauriwe kuhusu mahusiano au ndoa maana ni kichefu chefu kabisa

Leo asubuhi mke wangu amenitamkia amenichoka, amechoka na anataka kurudi kwao na amesema anataka nimpe nauli.arudi kwao huko bariadi ila siku kadhaa alimtumia mtu picha zake mwanaume fulani huko kwao na alikua ana msisitizia huyo mwanaume aoe mwanamke wa kanisani aiseee na pia akawa anamwambia kama mwanaume amenichoka nipite huku aiseee

Natafuta mbinu nimpige chini na kiukweli nimemchoka kabisa
Ulioa malaya
 
Mpe ticket na talaka, hizi fursa huwa haziji mara mbili. Kama ame kutamkia kabisa muache aende zake, kuendelea kukaa nae ataku sumbua huyo.
 
Sasa unasubiri Nini,mpaka akuwekee sumu kwenye chakula ndiyo uelewe,Mimi akisema anqtqkq kwenda kwao tu,fasta Nampa nauli nenda.
Kwanza Sina undugu nae,ni marafiki tu.
 
Back
Top Bottom